dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,876
karibu nami nishike mkono
unatoka wapi na unaitwa nani
unatoka wapi na unaitwa nani
Kinacho niuma anaweka flash ya nyimbo Temboni yeye anaenda kulala Goba usingizi mtamuTena baada ya hapo wapige marufuku makanisa yote yanayokesha na makelele spika wanafungulia hadi mwisho na kuweka flash ya kwaya huku wao wamakwenda kulala na kusumbua wagonjwa na watoto wasisinzie na kupumzika.
Kero sana, hata kuongea na simu ikiita huwezi.Mimi mwenyewe mnywaji nguli
Ila makelele nooo
Kuna bar tunakaa na tunakunywa bila
Sauli sema hiki kizaz cha amapiano singeli ndy shida
Ova
Adhana inapiga kelele sana, italazimika wapunguze sauti...mimi nimelala kupumzisha akile alafu nasikia adhana.Adhana ni muito wa ibada. Hata wewe inakuhusu adhana na ungeifurahia kama ungejua tafsiri ya maneno yanayotamkwa. Karibu kwenye uislam
Wafunge bar, wafunge makanisa na misikiti inayopiga kelele kama lengo kuu ni kupunguza na kuondoa kelele.Rais Samia kupitia NEMC umeaamua kuuwa baishara za watu na kuuwa biashara za watu ni sawa na kuuwa watu kabisa!
Mh Rais wewe na wasaidizi wako mnakula raha kila siku na mko angani kila siku mnakula asali lakini sisi wananchi wengine burudani yetu ni muziki lakini mmeona tunafaidi sana ndio maana sasa mnaitumia NEMC kuhakikisha mnatupora hata hiki tulichobakiwa nacho!
Mh ukiwasikiliza baadhi ya wamiliki wa bar utagundua kabisa NEMC sasa hawana tofauti na TRA wanao funga biashara za watu Pia ni wazi kabisa hata wamiliki wenyewe hawajui kabisa hicho kipimo cha kelele badala yake wanashitukizwa na kuambiwa muziki umezidi kiwango hivyo wanafungiwa bar zao na biashara!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wanazifungua baadhi ya bar na kumbi kutokupiga muziki kabisa…kupitia EFM nimewasikia baadhi ya wamiliki wa bar wakieleza kwa uchungu jinsi ambavyo wameharibiwa biashara zao!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wamezifungia kabisa baadhi ya bar kupiga muziki kabisa ikiwemo Liquid bar ya Dar.
Hivi kweli bar gani itaendeshwa bila muziki nchi hii? Mama Samia hawafanya biashara mnataka wakale wapi? Wataishi vipi?
Hivi kwanini mnataka kuigeuza nchi hii ni ya kidini?
Jamani pesa za serikali mnazitumbua peke yenu na hakuna anayewafanya chochote sasa mnatuzuia hata sisi kuburudika na muzuki? Mnataka tukaishi wapi?
Kelele ni sauti kubwa ambayo inatolewa kwa mda mrefu bila kupumzikaZote ni kelele hata ikiwa Kwa dakika moja
Kelele ni sauti kubwa ambayo inatolewa kwa mda mrefu bila kupumzika
Kiujumla kiongozi uwezi kushangaa kitu kwa saut watu wakasema umepiga keleleKwa tafsiri yako
Kwanini usiweke alarm kwenye simu yako ikakukumbusha dunia imeshasogea sana hata kiswaswadu kina alarmAdhana ni muito wa ibada. Hata wewe inakuhusu adhana na ungeifurahia kama ungejua tafsiri ya maneno yanayotamkwa. Karibu kwenye uislam
Kiujumla kiongozi uwezi kushangaa kitu kwa saut watu wakasema umepiga kelele
We pita hivi,hama tu sayar ndo ushauri unaokufaa,ila huna hoja ya msingiSisi pia tuna allergy na mabango ya kizushi tunayolazimishwa kuyasoma kila siku stress na pressure zinatupanda.
Bar sio mahali sahihi kisheria kupiga muziki, kama unataka kupiga muziki, fuata utaratibu huu.Rais Samia kupitia NEMC umeaamua kuuwa baishara za watu na kuuwa biashara za watu ni sawa na kuuwa watu kabisa!
Mh Rais wewe na wasaidizi wako mnakula raha kila siku na mko angani kila siku mnakula asali lakini sisi wananchi wengine burudani yetu ni muziki lakini mmeona tunafaidi sana ndio maana sasa mnaitumia NEMC kuhakikisha mnatupora hata hiki tulichobakiwa nacho!
Mh ukiwasikiliza baadhi ya wamiliki wa bar utagundua kabisa NEMC sasa hawana tofauti na TRA wanao funga biashara za watu Pia ni wazi kabisa hata wamiliki wenyewe hawajui kabisa hicho kipimo cha kelele badala yake wanashitukizwa na kuambiwa muziki umezidi kiwango hivyo wanafungiwa bar zao na biashara!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wanazifungua baadhi ya bar na kumbi kutokupiga muziki kabisa…kupitia EFM nimewasikia baadhi ya wamiliki wa bar wakieleza kwa uchungu jinsi ambavyo wameharibiwa biashara zao!
NEMC wamekwenda mbele zaidi wamezifungia kabisa baadhi ya bar kupiga muziki kabisa ikiwemo Liquid bar ya Dar.
Hivi kweli bar gani itaendeshwa bila muziki nchi hii? Mama Samia hawafanya biashara mnataka wakale wapi? Wataishi vipi?
Hivi kwanini mnataka kuigeuza nchi hii ni ya kidini?
Jamani pesa za serikali mnazitumbua peke yenu na hakuna anayewafanya chochote sasa mnatuzuia hata sisi kuburudika na muzuki? Mnataka tukaishi wapi?
Nyimbo moja maximum unatumia dakika ngapUnashangaa Kwa dakika tano?