Kwanini naunga mkono baadhi ya harakati za serikali kuzuia muziki wa juu kupita kiasi unaopigwa na baadhi ya baa nchini

kali linux

JF-Expert Member
May 21, 2017
1,996
5,054
Hello bosses and roses...

Niwe mkweli tu, hata kwa wateja ukipeleka questionaire ya haya mambo ya kupiga mziki kwa sauti kubwa kupitiliza bar wengi (actually karibu 80%) watasema hio miziki izimwe tu. Sababu zangu naweka hapa chini.

1) UBOVU WA SOUND SYSTEM
Sound system za bar nyingi ni za quality ya chini sana, yaan mziki ni kama wanapiga mabati na masufuria tu. Na wanaweka sauti ya juu inakua fujo kupitiliza, mziki upo juu lkn hata bass husikii, si bora wayazime tu.

2) USHAMBA
watu baadhi (hasa wanaolalamikia hili la kupunguza mziki) hawajui tofauti ya bar na night club. Mziki wa night club ndio huwa upo juu sababu hata inavyopaswa kujengwa kitaalam inabidi iwe na ile design kama ya studio, yaan kuwepo na sound absobers zinazozuia sauti kutoka nje, hata nchi za wenzetu utakuta night club ukiingia ndani hamsikilizani lkn pale mlangoni mnasikilizana. Sisi huku bar watu wanadhan ndio night club, bar inabidi iwe na mziki wa kawaida tu

3) Bar unaenda kunywa, kurelax na pia ni kama meeting point na wadau, sasa hio meeting point ukute mziki mkuubwa na kiukweli asilimia kubwa ni kama wanagonga tu mabati na masufuria, mtasikilizanaje?

Na hata hawa wanaomiliki Lounges hapa dar baadhi ni washamba tu, yaan mziki wa Lounge bado unakua na makelele kama bar za uswahilini tu. Mtu mnaenda kusign deal kwenye lounge lkn unakutana na mziki wa hovyo balaa.

Kwa hio ndugu Leak kabla hujawatetea hawa wanaopiga miziki hii naomba kwanza ufanye research, na ikiwezekana fungua hata poll hapa jf tuone sababu haya mambo yanamu-affect mteja na wala sio mmiliki wa bar.

DIS THREAD FOR Rais Samia kupitia NEMC wamedhamiria kuuwa baishara ya baa na sanaa kwa ujumla. Baa itaendeshwa vipi bila muziki? Liquid Bar wamezuiwa kupiga muziki
 
Kwenye mabar tu, makanisa haya mapya nayo changamoto kweli kwa majirani, wagonjwa na wazee, mengi wanafungulia mziki kwa juu Sana.
 
Kwenye mabar tu, makanisa haya mapya nayo changamoto kweli kwa majirani, wagonjwa na wazee, mengi wanafungulia mziki kwa juu Sana.
Ofcoz ni noise pollution, lkn kwa leo tuongelee hizi bar, sababu bar ni nyingi kuliko hata makanisa, kwa takwimu unaweza kukadiria uwepo wa kanisa moja lenye hizo kelele kwa bar 10 au 15
 
Nasikia bar kama 2 maarufu Sinza zimefungwa!.
Japo kufungwa kabisa sio solution ila kwanza tukiri hili ni tatizo.

Cha muhimu ziwepo standards tu za kufuatwa, na wawepo watu wa kukagua, na ikiwezekana ziwepo hata leseni au documents kama certificates za kuonesha bar fln inakidhi vigezo vya kupiga mziki, kuanzia quality ya vifaa hadi structure ya eneo jenyewe
 
Makanisa nayo yazuiwe kupiga mziki wa juu, kuna makanisa ya walokole aaaah! Hadi kero. Kwahiyo hii amri isiishie kwenye mabar tu. Nawasilisha
Hello bosses and roses...

Niwe mkweli tu, hata kwa wateja ukipeleka questionaire ya haya mambo ya kupiga mziki kwa sauti kubwa kupitiliza bar wengi (actually karibu 80%) watasema hio miziki izimwe tu. Sababu zangu naweka hapa chini.

1) UBOVU WA SOUND SYSTEM:
Sound system za bar nyingi ni za quality ya chini sana, yaan mziki ni kama wanapiga mabati na masufuria tu. Na wanaweka sauti ya juu inakua fujo kupitiliza, mziki upo juu lkn hata bass husikii, si bora wayazime tu.

2)USHAMBA:
watu baadhi (hasa wanaolalamikia hili la kupunguza mziki) hawajui tofauti ya bar na night club. Mziki wa night club ndio huwa upo juu sababu hata inavyopaswa kujengwa kitaalam inabidi iwe na ile design kama ya studio, yaan kuwepo na sound absobers zinazozuia sauti kutoka nje, hata nchi za wenzetu utakuta night club ukiingia ndani hamsikilizani lkn pale mlangoni mnasikilizana. Sisi huku bar watu wanadhan ndio night club, bar inabidi iwe na mziki wa kawaida tu

3) Bar unaenda kunywa, kurelax na pia ni kama meeting point na wadau, sasa hio meeting point ukute mziki mkuubwa na kiukweli asilimia kubwa ni kama wanagonga tu mabati na masufuria, mtasikilizanaje?

Na hata hawa wanaomiliki Lounges hapa dar baadhi ni washamba tu, yaan mziki wa Lounge bado unakua na makelele kama bar za uswahilini tu. Mtu mnaenda kusign deal kwenye lounge lkn unakutana na mziki wa hovyo balaa.


Kwa hio ndugu Leak kabla hujawatetea hawa wanaopiga miziki hii naomba kwanza ufanye research, na ikiwezekana fungua hata poll hapa jf tuone sababu haya mambo yanamu-affect mteja na wala sio mmiliki wa bar.

DIS THREAD FOR Rais Samia kupitia NEMC wamedhamiria kuuwa baishara ya baa na sanaa kwa ujumla. Baa itaendeshwa vipi bila muziki? Liquid Bar wamezuiwa kupiga muziki
 
Hello bosses and roses...

Niwe mkweli tu, hata kwa wateja ukipeleka questionaire ya haya mambo ya kupiga mziki kwa sauti kubwa kupitiliza bar wengi (actually karibu 80%) watasema hio miziki izimwe tu. Sababu zangu naweka hapa chini.

1) UBOVU WA SOUND SYSTEM:
Sound system za bar nyingi ni za quality ya chini sana, yaan mziki ni kama wanapiga mabati na masufuria tu. Na wanaweka sauti ya juu inakua fujo kupitiliza, mziki upo juu lkn hata bass husikii, si bora wayazime tu.

2)USHAMBA:
watu baadhi (hasa wanaolalamikia hili la kupunguza mziki) hawajui tofauti ya bar na night club. Mziki wa night club ndio huwa upo juu sababu hata inavyopaswa kujengwa kitaalam inabidi iwe na ile design kama ya studio, yaan kuwepo na sound absobers zinazozuia sauti kutoka nje, hata nchi za wenzetu utakuta night club ukiingia ndani hamsikilizani lkn pale mlangoni mnasikilizana. Sisi huku bar watu wanadhan ndio night club, bar inabidi iwe na mziki wa kawaida tu

3) Bar unaenda kunywa, kurelax na pia ni kama meeting point na wadau, sasa hio meeting point ukute mziki mkuubwa na kiukweli asilimia kubwa ni kama wanagonga tu mabati na masufuria, mtasikilizanaje?

Na hata hawa wanaomiliki Lounges hapa dar baadhi ni washamba tu, yaan mziki wa Lounge bado unakua na makelele kama bar za uswahilini tu. Mtu mnaenda kusign deal kwenye lounge lkn unakutana na mziki wa hovyo balaa.


Kwa hio ndugu Leak kabla hujawatetea hawa wanaopiga miziki hii naomba kwanza ufanye research, na ikiwezekana fungua hata poll hapa jf tuone sababu haya mambo yanamu-affect mteja na wala sio mmiliki wa bar.

DIS THREAD FOR Rais Samia kupitia NEMC wamedhamiria kuuwa baishara ya baa na sanaa kwa ujumla. Baa itaendeshwa vipi bila muziki? Liquid Bar wamezuiwa kupiga muziki
Bora ya miziki inayo pigwa kwenye mabaa kuliko inayo pigwa na vilio makanisani hasa warokole
 
Hello bosses and roses...

Niwe mkweli tu, hata kwa wateja ukipeleka questionaire ya haya mambo ya kupiga mziki kwa sauti kubwa kupitiliza bar wengi (actually karibu 80%) watasema hio miziki izimwe tu. Sababu zangu naweka hapa chini.

1) UBOVU WA SOUND SYSTEM:
Sound system za bar nyingi ni za quality ya chini sana, yaan mziki ni kama wanapiga mabati na masufuria tu. Na wanaweka sauti ya juu inakua fujo kupitiliza, mziki upo juu lkn hata bass husikii, si bora wayazime tu.

2)USHAMBA:
watu baadhi (hasa wanaolalamikia hili la kupunguza mziki) hawajui tofauti ya bar na night club. Mziki wa night club ndio huwa upo juu sababu hata inavyopaswa kujengwa kitaalam inabidi iwe na ile design kama ya studio, yaan kuwepo na sound absobers zinazozuia sauti kutoka nje, hata nchi za wenzetu utakuta night club ukiingia ndani hamsikilizani lkn pale mlangoni mnasikilizana. Sisi huku bar watu wanadhan ndio night club, bar inabidi iwe na mziki wa kawaida tu

3) Bar unaenda kunywa, kurelax na pia ni kama meeting point na wadau, sasa hio meeting point ukute mziki mkuubwa na kiukweli asilimia kubwa ni kama wanagonga tu mabati na masufuria, mtasikilizanaje?

Na hata hawa wanaomiliki Lounges hapa dar baadhi ni washamba tu, yaan mziki wa Lounge bado unakua na makelele kama bar za uswahilini tu. Mtu mnaenda kusign deal kwenye lounge lkn unakutana na mziki wa hovyo balaa.


Kwa hio ndugu Leak kabla hujawatetea hawa wanaopiga miziki hii naomba kwanza ufanye research, na ikiwezekana fungua hata poll hapa jf tuone sababu haya mambo yanamu-affect mteja na wala sio mmiliki wa bar.

DIS THREAD FOR Rais Samia kupitia NEMC wamedhamiria kuuwa baishara ya baa na sanaa kwa ujumla. Baa itaendeshwa vipi bila muziki? Liquid Bar wamezuiwa kupiga muziki
Nchi inawashamba wengi sana

USSR
 
Nchi hii tunabembelezana sana. Sheria ya kidhibiti kelele na mitetemo isimamiwe ipasavyo, na kwa weledi bila kuruhusu mianya ya rushwa.

Vyanzo vyote vishughulikiwe vikiwemo kumbi za starehe, 'Bars', nyumba za ibada za dini zote zinazotuhusu, bila kusahau magari na pikipiki zilizobadilishwa mifumo ya sauti.

Wahusika wafunzwe na kushurutishwa kuhakikisha maspika yao hayawi kero kwa jamii inayozunguka eneo husika.

NEMC ihakikishe vipimo vya kelele na mitetemo vipo katika viwango vinavyokubalika.. 'within acceptable limits' kwa nyakati zote usiku na mchana.

Inabidi watu wa nchi wakubali kutii sheria bila shuruti.. vinginevyo washurutishwe.
 
Back
Top Bottom