dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Niwatakie mfungo mwema.
Nimesikia kwenye kipindi cha njiapanda leo huyo mdada alikaribishwa na mwenyeji wake huko dar, lakini juzi wakati mfungo unakaribia mwenyeji wake akamwambia aondoke maana mfungo unaanza!
Sasa mwezi mtukufu na kutimua wageni inakaaje kaaje hii? Ukizingatia mgeni mwenyewe alikuja kwa ajili ya matatizo ya kuuguza.
Dini inasema hivyo au ni roho mbaya tu ya mwenyeji?
Nimesikia kwenye kipindi cha njiapanda leo huyo mdada alikaribishwa na mwenyeji wake huko dar, lakini juzi wakati mfungo unakaribia mwenyeji wake akamwambia aondoke maana mfungo unaanza!
Sasa mwezi mtukufu na kutimua wageni inakaaje kaaje hii? Ukizingatia mgeni mwenyewe alikuja kwa ajili ya matatizo ya kuuguza.
Dini inasema hivyo au ni roho mbaya tu ya mwenyeji?