KASHAMBURITA
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 200
- 630
Habari zenu wakuu naomba kuuliza naweza kutumia transript ya chuo katika kuapply ajira za upolisi zilitoka 2022 Note nimemaliza chuo mwaka huu kwaiyo vyeti bado
Tumia whatever,usisubirie results Bali fanya experiment ili upate jibu kamili. Fanya research uje na jibu lako mwenyewe. Mana hii dunia kila mtu anayo biased or subjectivity zake.Habari zenu wakuu naomba kuuliza naweza kutumia transript ya chuo katika kuapply ajira za upolisi zilitoka 2022 Note nimemaliza chuo mwaka huu kwaiyo vyeti bado
Me nina uzoefu nilishaomba hizo nafasi mara nyingi tu hawatakagi transcript,weka vyeti kama hauna omba jaribu ila hawakubaliHabari zenu wakuu naomba kuuliza naweza kutumia transript ya chuo katika kuapply ajira za upolisi zilitoka 2022 Note nimemaliza chuo mwaka huu kwaiyo vyeti bado
Shukrani mkuuMe nina uzoefu nilishaomba hizo nafasi mara nyingi tu hawatakagi transcript,weka vyeti kama hauna omba jaribu ila hawakubali
Cheti cha jeshi unacho?Habari zenu wakuu naomba kuuliza naweza kutumia transript ya chuo katika kuapply ajira za upolisi zilitoka 2022 Note nimemaliza chuo mwaka huu kwaiyo vyeti bado
Ninacho mkuuCheti cha jeshi unacho?
Ili ndio jibu sahihi
Uwe unasoma tangazo la kazi boss iliIvi kwa wale wenye fani husika, nao ni lazima uwe umepitia jkt ama?
Ni muhimu kuwa nacho ila kuna baadhi hupita pia hata kama hawana. So apply bahati inaweza kuwa yako.Uwe unasoma tangazo la kazi boss ili
kuepuka maswali ya aina hii.
Cheti Cha jkt ni lazima kwa wenye fani na wasio na fani.
Amepita nani bhna tusianze kudanganyana apa ushaambiwa cheti cha jkt ni lazima uwe nacho alaf mtu ashasema hana unamwambia aapply acheni matumiz mabaya ya muda unless kama una mbuyu utakao kubeba sawaNi muhimu kuwa nacho ila kuna baadhi hupita pia hata kama hawana. So apply bahati inaweza kuwa yako.
Je mfano umepitia Mujibu JKT unaweza omba Kupitia Form fourAmepita nani bhna tusianze kudanganyana apa ushaambiwa cheti cha jkt ni lazima uwe nacho alaf mtu ashasema hana unamwambia aapply acheni matumiz mabaya ya muda unless kama una mbuyu utakao kubeba sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu mujibu kwa kweli am not so sure ila coz wamesema wanataka wenye vyet vya jkt na kile cheti cha mujibu pia nacho ni cha jkt me naona unaweza ukajaribu kwa iko cheti u never know maana hata wenyew ukisoma tangazo lao vizuri wamegeneralize tuu hawajaspecify kama ni mujibu au volunteerJe mfano umepitia Mujibu JKT unaweza omba Kupitia Form four
Maana nayo ni changamotoKuhusu mujibu kwa kweli am not so sure ila coz wamesema wanataka wenye vyet vya jkt na kile cheti cha mujibu pia nacho ni cha jkt me naona unaweza ukajaribu kwa iko cheti u never know maana hata wenyew ukisoma tangazo lao vizuri wamegeneralize tuu hawajaspecify kama ni mujibu au volunteer
Sent using Jamii Forums mobile app