FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,055
- 109,408
Nyumbani au kwenye biashara?Aisee Mimi natafuta wa kuzuia nisiibiwe au zindiko la kuzuia wizi..
Nyumbani au kwenye biashara?Aisee Mimi natafuta wa kuzuia nisiibiwe au zindiko la kuzuia wizi..
Nataka nikuloge tufunge ndoa pamoja na uzee wako I don't careHakuna anaefanya uchawi kwa "shukran" tu.
Sema unataka ufanyiwe kazi gani, mjomba'ngu kishapata ulaji hapa. Hata ukitaka mtu busha na nanihii yake imtokee kichwani anakufanyizia.
Tangaza unataka afanywe nini tukwambie gharama zake, nipo nae hapa karibu mtaalaam wa kutokea Kisiju.
weka pichaHakuna anaefanya uchawi kwa "shukran" tu.
Sema unataka ufanyiwe kazi gani, mjomba'ngu kishapata ulaji hapa. Hata ukitaka mtu busha na nanihii yake imtokee kichwani anakufanyizia.
Tangaza unataka afanywe nini tukwambie gharama zake, nipo nae hapa karibu mtaalaam wa kutokea Kisiju.
na majukumu pia utasema 'IDC'Nataka nikuloge tufunge ndoa pamoja na uzee wako I don't care
Chukuwa bakuli jeupe la udongo ntakuelekeza cha kufanya utaona kila kitu mubashara hapo hapo ulipo.weka picha
Una mkwalaChukuwa bakuli jeupe la udongo ntakuelekeza cha kufanya utaona kila kitu mubashara hapo hapo ulipo.
Mambo madogo hayo.
Hili jamaa tapeli nakupa warning nah
Hiiidunia ni zaid ya uijuavyo. Huwez kuniPM kwa message za kitotHili jamaa tapeli nakupa warning nimemaliza.
Hili jamaa tapeli
Hili jamaa tapeli nakupa warning nimemal
OkHili jamaa tapeli nakupa warning nimemaliza.
mkuu ulinipa namba ya mganga yuko Tanga lakini kila siku anafos nimpe hela ya vifaa sijui na madudu gani.Hiiidunia ni zaid ya uijuavyo. Huwez kuniPM kwa message za kitot
Ok
UmevurugwaPoleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Mkuu ndo huyu huyu jamaa mimi alinipa namba pia PM nikampigia ananiambia sio lazima niende tanga anaweza kufanya mambo huku huku nilipo kama nitatuma elfu 50 ya vifaa nikamwambia poa, nikamuuliza ni vifaa gani unahitaji? akawa anazuga kama hajanisikia anachange mada nimamuuliza tena ni vifaa gani unahitaji? akakata simu baada ya dakika 2 akanitumia sms ya vifaa sijui usinga na madudu mengi tuu kaandika akakaa kidogo then akapiga akauliza kama sms nimeiona nikamwambia ndio (nilichohisi lile swali la kuulizia vifaa gani lilimchanganya akawa hajui anijibu nini ndo akakata ili apate mda wa kuwauliza watu) akaniuliza hela unatuma lini sasa ili usiku nianze kazi nikamwambia jioni asee alikua anapiga simu za kuulizia hela natuma lini mpka basi nikasema kweli mganga ananjaa ila baadae nilimchana kua wewe ni tapeli tafuta kazi ya kufanya hajawahi kunitafuta tena.mkuu ulinipa namba ya mganga yuko Tanga lakini kila siku anafos nimpe hela ya vifaa sijui na madudu gani.
kila nikimwambia niko busy subiri haelewi ananipangia mpaka mda wa kufanya shughuli zangu.
Kusema kweli nahisi mnafahamiana na huyu mtu, na mnafanya kazi pamoja
MgangaMkuu ndo huyu huyu jamaa mimi alinipa namba pia PM nikampigia ananiambia sio lazima niende tanga anaweza kufanya mambo huku huku nilipo kama nitatuma elfu 50 ya vifaa nikamwambia poa, nikamuuliza ni vifaa gani unahitaji? akawa anazuga kama hajanisikia anachange mada nimamuuliza tena ni vifaa gani unahitaji? akakata simu baada ya dakika 2 akanitumia sms ya vifaa sijui usinga na madudu mengi tuu kaandika akakaa kidogo then akapiga akauliza kama sms nimeiona nikamwambia ndio (nilichohisi lile swali la kuulizia vifaa gani lilimchanganya akawa hajui anijibu nini ndo akakata ili apate mda wa kuwauliza watu) akaniuliza hela unatuma lini sasa ili usiku nianze kazi nikamwambia jioni asee alikua anapiga simu za kuulizia hela natuma lini mpka basi nikasema kweli mganga ananjaa ila baadae nilimchana kua wewe ni tapeli tafuta kazi ya kufanya hajawahi kunitafuta tena.
Ni kweli ila tapeli anajulikana 2Kama umeshindwa kumpata Mganga kutokea Mitaani...!
Basi hapa ndo straight unakwenda kutapeliwa Wazi wazi, na wataokutaperi ni wale wanaojifanya Wanajua Ushirikina lakini wanafanya mambo mengine! Na wana majina yao hapa jf...!
WapiSawa
Suluhisho Umelipata Njoo Na Sadaka Yako Iliyonona Tuombe Pamoja
Na Kwa Uwezo Wa Mungu. Magumu Yako Yatakuwa Historia
Nitakuvika Nira Laini Na Mzigo Mwepesi Sana
Amen , Amen Man Of God
Wapi