Hakuna anaefanya uchawi kwa "shukran" tu.

Sema unataka ufanyiwe kazi gani, mjomba'ngu kishapata ulaji hapa. Hata ukitaka mtu busha na nanihii yake imtokee kichwani anakufanyizia.

Tangaza unataka afanywe nini tukwambie gharama zake, nipo nae hapa karibu mtaalaam wa kutokea Kisiju.
Nataka nikuloge tufunge ndoa pamoja na uzee wako I don't care
 
Hakuna anaefanya uchawi kwa "shukran" tu.

Sema unataka ufanyiwe kazi gani, mjomba'ngu kishapata ulaji hapa. Hata ukitaka mtu busha na nanihii yake imtokee kichwani anakufanyizia.

Tangaza unataka afanywe nini tukwambie gharama zake, nipo nae hapa karibu mtaalaam wa kutokea Kisiju.
weka picha
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Umevurugwa
 
mkuu ulinipa namba ya mganga yuko Tanga lakini kila siku anafos nimpe hela ya vifaa sijui na madudu gani.

kila nikimwambia niko busy subiri haelewi ananipangia mpaka mda wa kufanya shughuli zangu.

Kusema kweli nahisi mnafahamiana na huyu mtu, na mnafanya kazi pamoja
Mkuu ndo huyu huyu jamaa mimi alinipa namba pia PM nikampigia ananiambia sio lazima niende tanga anaweza kufanya mambo huku huku nilipo kama nitatuma elfu 50 ya vifaa nikamwambia poa, nikamuuliza ni vifaa gani unahitaji? akawa anazuga kama hajanisikia anachange mada nimamuuliza tena ni vifaa gani unahitaji? akakata simu baada ya dakika 2 akanitumia sms ya vifaa sijui usinga na madudu mengi tuu kaandika akakaa kidogo then akapiga akauliza kama sms nimeiona nikamwambia ndio (nilichohisi lile swali la kuulizia vifaa gani lilimchanganya akawa hajui anijibu nini ndo akakata ili apate mda wa kuwauliza watu) akaniuliza hela unatuma lini sasa ili usiku nianze kazi nikamwambia jioni asee alikua anapiga simu za kuulizia hela natuma lini mpka basi nikasema kweli mganga ananjaa ila baadae nilimchana kua wewe ni tapeli tafuta kazi ya kufanya hajawahi kunitafuta tena.
 
Mkuu ndo huyu huyu jamaa mimi alinipa namba pia PM nikampigia ananiambia sio lazima niende tanga anaweza kufanya mambo huku huku nilipo kama nitatuma elfu 50 ya vifaa nikamwambia poa, nikamuuliza ni vifaa gani unahitaji? akawa anazuga kama hajanisikia anachange mada nimamuuliza tena ni vifaa gani unahitaji? akakata simu baada ya dakika 2 akanitumia sms ya vifaa sijui usinga na madudu mengi tuu kaandika akakaa kidogo then akapiga akauliza kama sms nimeiona nikamwambia ndio (nilichohisi lile swali la kuulizia vifaa gani lilimchanganya akawa hajui anijibu nini ndo akakata ili apate mda wa kuwauliza watu) akaniuliza hela unatuma lini sasa ili usiku nianze kazi nikamwambia jioni asee alikua anapiga simu za kuulizia hela natuma lini mpka basi nikasema kweli mganga ananjaa ila baadae nilimchana kua wewe ni tapeli tafuta kazi ya kufanya hajawahi kunitafuta tena.
Mganga
 
Waungwana kama hili jambo hujalipenda naomba upite usiongee chochote naongea na wenye hasira na maisha wapambanaji watu waliofanikiwa kupitia uchawi bila kutoa MTU hivo vitu vipo

Naanza kwa kusema Nishajalibu kila njia ya kupata pesa nimekwama biashara nimefanya kazi za kuajiliwa ndo usiseme lakin sioni mwanga wowote

Nshatafuta waganga lakini nimeishia kutapeliwa ombi langu kwenu yoyote anaemjua mganga mzuri mtaalamu wa mali tafadhali naomba aje inbox nipo serious

Nipo dar es salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom