Jamani natafuta mganga wa kienyeji

Jamani natafuta mganga wa kienyeji

jiwekuu770

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
2,246
Reaction score
1,646
Nina matatizo ambayo siyaelewi kabisa yamenitokea na yameendelea kuwepo!!Na mambo yangu hayaendi sawa sawa katka kila kona ya maisha yangu!! Nahis kuna nguvu Kali zinanizonga nahitaji mtaalam syo hawa wanaojitangaza wenye njaa! Wanalaghai tu watu nahitaji mganga wa kweli asiyefanyia dhiki ya hela!! Kama kuna mtu ameshawahi kupata ufumbuzi au anamjua !! Au alikua na shida nayey akatatuliwa !! Msaada!!
Natanguliza shukrani !!
 
Mkuu mbona mambo hayaendi sawa kwa wa tz wote ....hata mganga mwenyewe mambo yake hayamuendei sawa mkuu
Sina maana hali ya uchumi!! Kuna vitu vinatokea naona siyo vya kawaida!!
 
Nina matatizo ambayo siyaelewi kabisa yamenitokea na yameendelea kuwepo!!Na mambo yangu hayaendi sawa sawa katka kila kona ya maisha yangu!! Nahis kuna nguvu Kali zinanizonga nahitaji mtaalam syo hawa wanaojitangaza wenye njaa! Wanalaghai tu watu nahitaji mganga wa kweli asiyefanyia dhiki ya hela!! Kama kuna mtu ameshawahi kupata ufumbuzi au anamjua !! Au alikua na shida nayey akatatuliwa !! Msaada!!
Natanguliza shukrani !!
Nimecheki id na avator yako duuuh kwelo shida haina mbabe!!! Ngoja akina mshama jr waje ....btw pole sana
 
Nina matatizo ambayo siyaelewi kabisa yamenitokea na yameendelea kuwepo!!Na mambo yangu hayaendi sawa sawa katka kila kona ya maisha yangu!! Nahis kuna nguvu Kali zinanizonga nahitaji mtaalam syo hawa wanaojitangaza wenye njaa! Wanalaghai tu watu nahitaji mganga wa kweli asiyefanyia dhiki ya hela!! Kama kuna mtu ameshawahi kupata ufumbuzi au anamjua !! Au alikua na shida nayey akatatuliwa !! Msaada!!
Natanguliza shukrani !!
Mkuu,kwan una matatzo gan ambayo umemuomba Mungu yakamshinda ambay mganga atayaweza?
 
Nina matatizo ambayo siyaelewi kabisa yamenitokea na yameendelea kuwepo!!Na mambo yangu hayaendi sawa sawa katka kila kona ya maisha yangu!! Nahis kuna nguvu Kali zinanizonga nahitaji mtaalam syo hawa wanaojitangaza wenye njaa! Wanalaghai tu watu nahitaji mganga wa kweli asiyefanyia dhiki ya hela!! Kama kuna mtu ameshawahi kupata ufumbuzi au anamjua !! Au alikua na shida nayey akatatuliwa !! Msaada!!
Natanguliza shukrani !!
Unapatikana wapi?
 
Kaka acha kuwapelekea waganga mbuzi na kuku hizo kula mwenyewe kama ni mwislam simamia imani yako thabiti na kama ni mkiristo Fanya hivyo hivyo maisha yatabadirika kidogo kidogo.
 
Jaribu pale MOI ...Muhimbili..wako mabingwa wa vichwa na mifupa...Usiache pia kumuomba Allah ajaalie wepesi katiks matibabu yako.
 
Sasa mganga atakusaidia nn wakati ye pia anashida zake badili mtizamo wako jifunze kupitia makosa utafanikiwa ongea na walofanikiwa karne hii bado unategemea kugeuzwa Mteja na waganga ona wataalamu wa saikologia watakusaidia zaid.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom