rafiki yangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jang hyuk

    JamiiForums Tanzania Q net na rafiki yangu wa utotoni Mungu anawaona kwa mlichonifanyia

    Ila Q net mnanifanya naishi kama digi digi kwenye mji wa watu 🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥹😭😭. Ndugu zangu mwenye kazi yoyote mwanza naomba Nina hali ngumu sana.
  2. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hatari ya matumizi majina bandia,jf Rafiki yangu kafariki na alikuwa member hapa ILA sijui alikuwa anatumia jina Gani? JE sifi Leo nikifa mtajuaje?

    Mara ya mwisho nilikutana nae kwenye kijiwe chake cha wavuvi camp" fish point, huyu hakuwa Rafiki tu Bali alikuwa classmet wangu chuo kikuu. Tukiwa wavuvi camp,A.K.A Fish point uku tukiwa tunaisubilia kusasamvua lisamaki kubwa, tukaanza kubadilishana story, nakumbuka aliniuliza SWALI ili na ndo...
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Baada ya zaidi ya Miaka 50 nakutana na Rafiki yangu wa Udogoni Salum ''Gordon West'' Khalili

    BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 50 NIMEKUTANA NA RAFIKI YANGU WA UDOGONI SALUM "GORDON WEST" KHALIL Nimesimama nje ya Masjid Maamur tumetoka kwenye Akid ni baada ya swala ya Isha na kuna msongamano. Nimesogea pembeni vurugu ya magari, Bajaj na Bodaboda ipungue. Mtu mmoja katika kundi ananionyesha mtu...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Picha: Kuna rafiki yangu anatafuna Aloevera kama bigG

    Rafiki yangu moja ana uwezo wa ajabu wa kutafuna aloevera for fun, kama wewe ambavyo unaweza kutafuna mua, mandazi au kunywa soda Ikumbukwe hakuna kitu kichungu zaidi ya aloevera mimi niliwaibkuipaka usoni kulikua na tatizo kidogo lakini nilivoipaka nikashangaa ladha yake naisikia kabisa. Kuna...
  5. Chibike

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: Rafiki yangu wa karibu alipotea baada ya kuokota PETE. Je, umeshawahi kukumbwa na mikasa baada ya kuokota vitu kama Pete?

    Ramadhani (Sio jina halisi), nmelazimika kuficha utambulisho wake kwa sababu maalumu kabisa. Ramadhani alikua rafiki yangu wa karibu sana, tulishirikiana mambo mengi sana. Ramadhani alikua mcheshi sana, na pia alikua mtu wa tizi sana, na zaidi mdadisi mno na ni "daring person" Yan mtu anaetaka...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    Habari za usiku wakuu bila shaka, mupo salama. Leo imekuwa siku mbaya sana kwangu baada ya kupokea taarifa za kifo cha rafiki yangu, gERVASS maarufu kama Baraka. Alikuwa anaishi maeneo ya Malamba Mawili, sehemu inaitwa Bwawani. Ni mitaa ambayo niliwahi kuishi pia. Baraka alihamia huko tangu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndio siku nilipogundua rafiki yangu ni nyoka, wewe ulijuaje rafiki yako ni msalaliti ?

    Nilipata dili safi, nikamtafuta huyu ninayemwita “rafiki” twende tukapige kazi tugawane 50/50 kama wanaume. Kumbe mwenzangu ana roho ya korosho. Bila kuniambia neno, akaenda kwa boss aliyenipa kazi nyuma ya mgongo wangu. Kufika huko akauliza nimemchaji sh ngapi. Akaambiwa ile ile bei...
  8. nzalendo

    JamiiForums Tanzania NImemkumbuka sana rafiki yangu Mwl.Chalamila (RIP)

    Huyu Mwalimu alikuwa muungwana sana,,,,ndio maana siku zote naamini mtu mwema huwa anaishi kwenye fikra na mioyo ya watu daima. Kwa kifupi tulifurahia sana maisha ya ujana tofauti na mimi yeye alikuwa siyo mtu wa kinywaji zake gahwa na fegi, Alikuwa ni mwenyeji wangu kila nilipokuwa nafika...
  9. Lighton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeshikilia Hatma ya ndoa ya Rafiki yangu

    Habar za usiku huu wakuu NItaeleza kwa ufupi. Huyu ambaye nazungumzia mada yake ni rafiki yangu sana, tunafanya wote kazi sehem moja. Sasa Kuna huyu rafiki yangu mwingine ambaye ni WA nyumbani, ni mjasiriamali ana ofisi yake anafanya biashara zake, ni smart sana. Huyu rafiki yangu...
  10. Chibike

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakutafuta rafiki yangu Changchun yatai

    Mwanangu hata sijui uko wapi kama uko hai ama vipi, na haya masekeseke yaliyotokea , tuliachana ulikua kwenye harakati za uchimbaji madini mgodi wa mwime kahama ulikua unapambana kweli kutafuta wadau wakupe tafu mmalizie muingie zone ya madini chini, ukapotea gafla mwanangu. .. Je uko Salama...
  11. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Mdogo wa Rafiki yangu ameingiziwa kitu kwenye account ili aende Mkutanoni Kawe

    Kwa kweli Mama mikumi tena. Dogo anasema Weekend kesho tutamtafute yeye kuanzia Biriani mpaka wale walevi Mkojo wa Shetani. Mimi allahamdulilah sinywi vitu kharamu ila najua kaka yake mjaa laana kesho atakunywa sana. Naambiwa mapolisi walio mafunzo pia wamepewa nguo za kiraia na kuingiziwa...
  12. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Namtafuta kijana wa rafiki yangu

    Huyu kijana baada ya baba yake kufariki alikaa kwangu.... kwa kifupi baba yake alikuwa ni rafiki yangu sana,,,tulisafiri nae mikoa mbalimbali ya Tanzania kibiashara..... HUyu rafiki yangu asili yake ni Uarabuni,,,,na huyu kijana wake mama yake ni mswahili kutoka huko mikoani tunakofanya...
  13. Strong and Fearless

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nime share a hotel room na rafiki yangu wa kiume

    Kuna my friend wa kazini mwanaume tulikua na training mkoani so akasema tupunguze gharama tu share hotel room, nikasema it’s fine, Basi kufika uko hotelini akaanza mambo ya ajabu akaenda kuoga, katoka hajavaa nguo ikabidi mimi nijifanye nipo busy naangalia movie, Aya akapanda kitandani kulala...
  14. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yangu kamususa mke

    Rafiki yangu kamususa mke baada ya kugundua anamchiti na mke amegoma kuomba msamaha ila jamaa amesema huyo mke wake anakaa uchi kama njia ya kumrudisha jamaa kwenye mstari na huyo jamaa amejikuta akirudisha mahusiano huku akijua fika mke wake anamchiti, japo amesema anampango wa ku muvu lakini...
  15. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namtafuta rafiki yangu 'Rehema Abdallah Moris' alikuwa anaishi ghorofa za shekilango (NHC),Dar es Salaam.

    Habari waungwana! Namtafuta rafiki yangu kipenzi Rehema Abdallah Moris mara ya mwisho kuwasiliana nae ni mwaka 2011 kama sijasahu. Tulikuwa na urafiki wa karibu sana mara nyingi nilikuwa namtembelea shekilango tunapiga stori zetu ubungu plaza hotel,stand shekliango au kwenye migahawa ya maeneo...
  16. Youbettersleep

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yangu kaoa ila kashindwa kuacha kulala na malaya

    Wajomba jana hapa Mwanza Bar ya Bundesliga Nyasaka nilikutana na rafiki yangu wa muda mrefu sana, katika kupiga 1 moto 1 baridi akaanza kuniambia ABCD tangu alipooa.....!! Huyu rafiki yangu tumezunguka sehemu nyingi sana site na kila kona chafu chafu za matrafiki wa usiku anajua na ndio michezo...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Kisa Cha kweli cha Rafiki yangu Tajiri ambaye kwa sasa anaokota Makopo

    Tafadhali naomba usikilize radio yetu hapa kisha add kama favorite Jesus News Radio Leo nataka nikupe kisa cha kweli cha rafiki yangu wa O-level. Mwamba huyu aliyetoka familia ya kawaida kabisa, lakini alikuwa na kiu ya mafanikio isiyo na mfano. Tukiwa shule hakuwa mwanafunzi wa kushika namba...
  18. Vamigo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa rafiki yangu ananitaka ili alipe kisasi Kwa mume wake

    Ndugu zangu Moja Kwa Moja kwenye mada, nina mshikaji tumeshibana ki mtindo Japo mm nina mapungufu na yeye pia anayo ila tumechagua kusonga kama washikaji. Umri wetu ni 28+. Mwamba alianza ku date na rafiki wamke wake ambaye ni jirani yake, kama mjuavyo mapenzi yalivo na nguvu ilikua ni ngumu...
  19. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Ndoto ya Mauti ya Rafiki Yangu

    Maboss kwema umu? Aya mandoto bhaana miyeyusho kweli jana usiku nimeshituka mida mibovu balaa baada ya lindoto la kutisha nimeota rafiki yangu wa kike ambaye tulikuwa tunapiga naye job wilaya fulani za mikataba endelevu kisha akaacha na kusepa ,nimeota bhana eti hakuondoka salama ni kama...
  20. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu Marry Diana, kama haupo kwenye ndoa naomba nikuoe

    Kwanza niseme natanguliza heshima zote kwako best yangu Marry Diana. Pengine utafurahishwa ama kuchukizwa na bandiko hili, siwezi kuzuia hisia zako lakini ninaweza kuzipooza kwa kusema neno Samahani. Marry nimeona kitu cha ziada ndani yako, bila shaka tutafiti tukiwa pamoja tukipambana na hili...
Back
Top Bottom