Natafuta mganga wa kienyeji konki
Waganga wa namna hiyo uwezi kuwapata hivi hivi , maana siku izi wako na licence za gavaa na wamepewa do na don't alafu zaidi zaidi kuna wengine ukienda na mambo ya kutaka kuharibu anakuaribu wewe ataki umchafulie beness yake
 
mishe haziendi kabisa
kila kitu kimesimama. ninafamilia inanitegemea,kodi , mahitaji yote juu yangu.

naombeni machaka wakuu namm nikapikwe mambo yanyooke watoto wafurahie maisha . mambo bado magumu sana
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Vipi mkuu ulifanikiwa kumpata mtaalam?
 
mishe haziendi kabisa
kila kitu kimesimama. ninafamilia inanitegemea,kodi , mahitaji yote juu yangu.

naombeni machaka wakuu namm nikapikwe mambo yanyooke watoto wafurahie maisha . mambo bado magumu sana
Kaoge ndivangundu same...ukirud ulete mrejesho
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Mkuu agiza drone huko Iran unamlenga yule yule

Mimi nikitulia nitatengeneza drone ya kwangu kwaajili ya wezi wa simu, siku ya tukio nitatoa taarifa polisi
 
Huu uzi sijui kwanini mtu kaufufua leo, nikiona hizi mambo najikuta namuheshimu kila mtu ofisini na mtaani maana kuna mtu anaweza kukuchukia tu na kama ndo anamganga wake hakawii kukufanyia jambo.

Hizi mambo sio poa wazee tusifanyiane tuambizane tu usoni.
 
Huu uzi sijui kwanini mtu kaufufua leo, nikiona hizi mambo najikuta namuheshimu kila mtu ofisini na mtaani maana kuna mtu anaweza kukuchukia tu na kama ndo anamganga wake hakawii kukufanyia jambo.

Hizi mambo sio poa wazee tusifanyiane tuambizane tu usoni.
Ukijaa kwenye 18 unasafishwa tu
 
shida nishaenda sana mwisho nimeishia kupigwa tu
Hakuna Mganga wakukupa utajiri wala mafanikio yoyote .

Mimi ninao watu wangu wa karibu Ambao wamekuwa wakiloga Sana Ila hakuna kilichobadilika kwenye maisha yao.

Utaangaika Sana na utaliwa Sana hela .


Ni upumbavu mkubwa kuamini kuwa Binadamu mwenzako anaweza kukupa utajiri wa kishirikina .

Ingekuwa inawezekana basi huko Africa mnavyoabudu uchawi mgekuwa mnamaisha mazuri.
 
mishe haziendi kabisa
kila kitu kimesimama. ninafamilia inanitegemea,kodi , mahitaji yote juu yangu.

naombeni machaka wakuu namm nikapikwe mambo yanyooke watoto wafurahie maisha . mambo bado magumu sana
ukitaka utajiri nenda shinyanga na mwanza kidogo, tafuta wale wanamzik wa asiri wakubwa watakupa conection.
Shinyanga ulizia msanii anaeitwa INAGA ni mganga pia mkubwa hadi viongoz wakubwa wapo pale.

ukitaka kinga nenda kigoma au burundi na sumbawanga
 
Hakuna Mganga wakukupa utajiri wala mafanikio yoyote .

Mimi ninao watu wangu wa karibu Ambao wamekuwa wakiloga Sana Ila hakuna kilichobadilika kwenye maisha yao.

Utaangaika Sana na utaliwa Sana hela .


Ni upumbavu mkubwa kuamini kuwa Binadamu mwenzako anaweza kukupa utajiri wa kishirikina .

Ingekuwa inawezekana basi huko Africa mnavyoabudu uchawi mgekuwa mnamaisha mazuri.
Wewe ni muongo au Bado mtoto Mdogo.. Huko afrika...wewe uko ulaya? , au nyinyi ndio mnasema Bora kuwa mbwa ulaya kuliko kuishi afrika...unaishi ulaya unafikiri kila anayeishi afrika ni kapuku kama wewe..Kaa na matajiri wakupe stori dogo ...
 
Back
Top Bottom