Tochuku
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 5,181
- 8,082
Asalaam Aleykum...
Kumekua sana na mada ama wimbi la watu wanaotafuta mafanikio ama utajiri kupitia waganga.
Lakini pamoja na yote sekta hio imegubikwa na utapeli mwingi kuliko kawaida na ubabaishaji mwingi usio na kifani, achilia mbali USIRI mkubwa sana wa jambo lenyewe.
Baada ya kufikiria kwa mda sana na kusoma na kusikia sana nimekuja kupata ufahamu wa yafuatayo,
Chukulia mfano wewe unayetafuta utajiri huo asili yako ni mmakonde, na kama una mizimu ya kimakonde, unaenda kutafuta utajiri kwa mtaalam mwenye mizimu ya kinyaturu, hapo jiulize swali je itawezekana kweli kwamba mizimu yako ya asili yako watakubali kwamba wakuachie alimradi umekubali mwenyewe bila kulazimishwa kua upate huo utajiri kupitia mizimu ya asili nyingine?
Pia wajuvi watanisaidia hapa, je kila mtu ana mizimu ya asili anahyotoka automatically anapozaliwa au sio kila mtu ana uwezo wa kua na mizimu , yan umezaliwa hauna mizimu ya kwenu ila pengine unafanya Ibada zao, au umezaliwa lakini mizimu imeambatana na wewe...inakuaje hapo? Wajuvi watanisaidia hapa
Tukirudi kwenye mada kuu, baada ya kujiuliza kua asili ya tofaut ya kwako na ya mtaalam unayeenda kupata utajiri je itawezesha wewe kufanikisha jambo LAKO? Vipi ukisema kama wewe ni mmakonde ukatafute mafanikio ya kiuchumi kupitia waganga wa asili yako...Yani wamakonde ..
Nimeonelea hivyo baada ya kuona watu wengi wakitapeliwa na matapeli waganga wanatapeli kweli watu wasio na ufahamu wa undani wa haya mambo, hivyo mpambanaji embu tafakari na ufanye maamuzi sahihi
Kwa wale pengine wasiotaka kujihusisha na mizimu, wanaitaji labda utajiri wa kuwatumia majini katika shuhuli zao za kila siku, hapa tusimumunye maneno, kama huyo mtaalam( haswa wa vitabu) hawezi kusoma kisomo Cha kumuita jini Live Aje hapo mlipo na uongee shida zako na aidha AKUPE Pete iliyotoka ujinini ama pesa na masharti basi hapo niseme unatapeliwa, kimbia.
Njia za kufanikiwa zipo, nyingine za asili, nyingine za kutafuta ila mwisho wa siku Dunia Haina huruma, hakuna asietaka kufanikiwa ila tuwe makini kupata Njia sahihi, zilikuepo na zipo tuzitumie lakini lazima utafute maarifa kwanza.
Kumekua sana na mada ama wimbi la watu wanaotafuta mafanikio ama utajiri kupitia waganga.
Lakini pamoja na yote sekta hio imegubikwa na utapeli mwingi kuliko kawaida na ubabaishaji mwingi usio na kifani, achilia mbali USIRI mkubwa sana wa jambo lenyewe.
Baada ya kufikiria kwa mda sana na kusoma na kusikia sana nimekuja kupata ufahamu wa yafuatayo,
Chukulia mfano wewe unayetafuta utajiri huo asili yako ni mmakonde, na kama una mizimu ya kimakonde, unaenda kutafuta utajiri kwa mtaalam mwenye mizimu ya kinyaturu, hapo jiulize swali je itawezekana kweli kwamba mizimu yako ya asili yako watakubali kwamba wakuachie alimradi umekubali mwenyewe bila kulazimishwa kua upate huo utajiri kupitia mizimu ya asili nyingine?
Pia wajuvi watanisaidia hapa, je kila mtu ana mizimu ya asili anahyotoka automatically anapozaliwa au sio kila mtu ana uwezo wa kua na mizimu , yan umezaliwa hauna mizimu ya kwenu ila pengine unafanya Ibada zao, au umezaliwa lakini mizimu imeambatana na wewe...inakuaje hapo? Wajuvi watanisaidia hapa
Tukirudi kwenye mada kuu, baada ya kujiuliza kua asili ya tofaut ya kwako na ya mtaalam unayeenda kupata utajiri je itawezesha wewe kufanikisha jambo LAKO? Vipi ukisema kama wewe ni mmakonde ukatafute mafanikio ya kiuchumi kupitia waganga wa asili yako...Yani wamakonde ..
Nimeonelea hivyo baada ya kuona watu wengi wakitapeliwa na matapeli waganga wanatapeli kweli watu wasio na ufahamu wa undani wa haya mambo, hivyo mpambanaji embu tafakari na ufanye maamuzi sahihi
Kwa wale pengine wasiotaka kujihusisha na mizimu, wanaitaji labda utajiri wa kuwatumia majini katika shuhuli zao za kila siku, hapa tusimumunye maneno, kama huyo mtaalam( haswa wa vitabu) hawezi kusoma kisomo Cha kumuita jini Live Aje hapo mlipo na uongee shida zako na aidha AKUPE Pete iliyotoka ujinini ama pesa na masharti basi hapo niseme unatapeliwa, kimbia.
Njia za kufanikiwa zipo, nyingine za asili, nyingine za kutafuta ila mwisho wa siku Dunia Haina huruma, hakuna asietaka kufanikiwa ila tuwe makini kupata Njia sahihi, zilikuepo na zipo tuzitumie lakini lazima utafute maarifa kwanza.