uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia anazindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa wahusika wa ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

    https://www.youtube.com/watch?v=lTwq-sOG2Is Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria katika Matukio ya Ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Ikulu jijini Dar es Salaam...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Masharti na mashinikizo ya vyama vya siasa na asasi za kiraia katika kujenga msingi wa maridhiano hiyari ya waTanzania kuelekea katiba mpya yapuuzwe

    Kama ambavyo ilitokea kabla na katika uchaguzi mkuu wa oct.2025, wenye misimamo ya vyama vyao ikiwa ni pamoja na kususia uchaguzi mkuu walipuuzwa. Nadahni ni muhimu sana kama taifa kusonga mbele katika utaratibu huo huo kwamba atakae suasia au kuja na mashariti ya chama chake kuelekea maridhiano...
  3. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Vurugu zilifanyika usiku Oktoba 29 wakati sehemu kubwa ya nchi walishapiga kura

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ametetea uhalali wa serikali iliyopo madarakani na matokeo ya uchaguzi mkuu, akieleza kuwa vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi zilianza tarehe 29 usiku baada ya wananchi wengi kote nchini kuwa tayari wameshapiga kura...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 AZAKI: Hali ya usalama, amani, haki na uwajibikaji Tanzania imekuwa tete tangu siku ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025

    Wawakilishi wa Azaki Tanzania, Julai 16, 2026, wamesema kuwa hali ya usalama, amani, haki na uwajibikaji nchini imekuwa tete tangu kukamilika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025. Walibainisha kuwa mivutano ya kiusalama na ukiukwaji wa haki za binadamu umechochewa na hatua za watawala...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Salum Mwalimu: Nilitumia milioni 400 kwenye kampeni za Urais uchaguzi mkuu 2025

    Salum Mwalimu aliyekua Katibu Mkuu wa CHAUMMA na Mgombea Urais wa chama hicho 2025, akizungumza kupitia kipindi cha One on One cha Wasafi TV amesema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwenye kampeni chama kilitumia milioni 400 Tumetumia kama shilingi milioni 400 hivi". "Tulilazimika kutumia...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Rais aliyeshinda Uchaguzi kwa 98% achukiwe namna hii na waliomchagua? Kila kukicha anazidi kuchukiwa na Serikali yake wanaonekana waongo?

    Ukishinda uchaguzi kwa kwa 98% maana yake unakubalika. Yaani wananchi wanakukubali na utendaji kazi wako unakubalika. Nashangaa huyu kiongozi wetu kushinda uchaguzi kwa 98% alafu mitaani kila raia anaonyesha chuki dhidi ya serikali yake. Na hata kila jambo analolifanya hakuna anayelikubali...
  7. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mambo mengine manne Tanzania inatakiwa kufanya ili kuepuka kitanzi cha Marekani ukitoa Maridhiano

    Wakuu; Ukitoa lile la Maraidhiano ambalo Serikali na CCM wameamua kulibeba na kutumia chawa na kupe wao kusambaza, haya ni mambo mengine manne ambayo wakiyafanya na baada ya Marekani kuthibitisha kuwa kweli yamefanyika ndio wataondoa vikwazo vyao na kuendelea kushirikiana na Tanzania... (1)...
  8. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Media zimeendelea kutumika kama toilet paper suala la mahusiano kati ya Marekani na Tanzania!

    Wakuu, Script ni ile ile yaani, serikali ikivurunda badala ya kutafuta njia ya kutatua tatizo yenyewe ndio kwanza inamwagia Petroli kwenye moto! Bado Tanzania wana machungu juu ya kilichotokea, upande wa Magharibi wanaendelea kutupiga nyundo kila siku, serikali na CCM wako bize kulipa online...
  9. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Haki za Binadamu: Umoja wa Ulaya waendelea kuibana Tanzania kuwajibika kwenye matukio ya Uchaguzi wa 2025

    Wakuu, Yaani akisimama nchale akikaa nchale, hakuna kupumbua, ni mwendo wa kula mabanzi back to back mpaka kieleweke! Ila haya yote ameyataka mwenyewe, kila kitu ameshauriwa lakini wapiii, sikio la kufa! Hapo bado hujaangalia upinzani wa ndani. Badala yake anajaza watu wa nyumbani kwenye...
  10. Stroke

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Chadema kwa ujinga wao tu bila kuzuiwa na yeyote waliamua kutoshiriki uchaguzi mkuu wa 2025. Waliamua kutosaini kanuni za uchaguzi, ilhali vyama vingine 18 vilisaini na kushiriki uchaguzi. Baada ya kujinyima haki hiyo wenyewe kwa mahaba yao, wameamua kuita kila kitu ni haramu, Wanataka...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, (Maarufu tume ya Jaji Chande) inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake rasmi leo Alhamisi, Aprili 23, 2026 kwa Rais Samia Suluhu. Siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Wagombea Urais kutoka Vyama 16 baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025

    RAIS SAMIA AKUTANA NA WAGOMBEA URAIS WA TANZANIA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi, 2026, alikutana na wagombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Wasira: Uchaguzi ni gharama na gharama yake nyingine ni hasira tu, ukishindwa unakasirika sana

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira amewataka viongozi na makada wa chama hicho kuachana na vinyongo na hasira iliyosababishwa na uchaguzi mkuu uliopita na badala yake waunganishe nguvu katika kuijenga nchi. Wasira amesisitiza kuwa viongozi wanaoomba kuchaguliwa katika nyadhifa za...
  14. Nyendo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania

    Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa kushtua" uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, ikiwemo tuhuma za mauaji ya kinyume cha sheria na...
  15. P

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kwa Rais wa Ghana: Kila kitu kipo salama Tanzania baada ya uchaguzi

    Ya kweli haya ndugu zangu? Kila kitu pipo shwari baada ya uchaguzi? Mambo yamerejea kama kawaida na uchumi umekua? ===== "Tanzania tuko watulivu na tuko sawa. Kisiasa, kila kitu kiko chini ya udhibiti baada ya uchaguzi wetu wa Oktoba. Sasa nchi imerejea katika hali ya kawaida na tunaendelea...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ripoti: Tanzania ilipata hasara ya Tsh. bilioni 637.8 baada ya kuzimwa mtandao Oktoba 29, 2025

    Kuzimwa kwa intaneti wakati wa uchaguzi mkuu kuanzia Oktoba 29 hadi Novemba 3, 2025 kumesababisha hasara inayofikia zaidi ya dola milioni 250, sawa na shilingi za Tanzania bilioni 637.8 Hayo yamebainishwa kwenye Ripoti ya Tathmini ya Utawala wa Mtandao 2025, iliyochambua uadilifu na uhuru wa...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kesi za kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 Zanzibar, zakutana na kikwazo Mahakamani

    https://www.youtube.com/watch?v=VvgEZ6hch6A Kwa mara nyingine tena, kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar wa Oktoba 29 mwaka jana zimeambatana na kikwazo baada ya upande wa Jamhuri kuhoji uhalali wa viapo vilivyoandaliwa katika kesi hiyo. Hoja hiyo imewasilishwa mbele ya Jaji Salma...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kijiji cha Mayonje (Sumbawanga), tangu Novemba 2025 hatuna maji baada ya bomba kupasuka

    Ndugu zangu, hali ya upatikanaji wa maji katika Kijiji cha Mayonje, Kata ya Milepa katika Halmashauri ya Sumbawanga Vijijini, imekuwa ya kusikitisha sana, tangu mwezi wa 11, 2025 mwanzoni baada ya Uchaguzi Mkuu mpaka sasa, tumekuwa tukiishi bila huduma ya maji safi. Chanzo cha tatizo ni bomba...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Butiku: Tishio la kupigwa risasi liliwafanya watu kukaa ndani. watu milioni 5 mliambiwa mkae ndani na mlikaa

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kuwa tishio la watu kupigwa risasi liliwafanya mamilioni ya wananchi kubaki majumbani. Alisema kuwa takribani watu milioni tano waliambiwa wabaki ndani na walitii agizo hilo. Ameongeza kuwa vijana...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kamati Kuu ACT Wazalendo kukutana Januari 18, Dar kujadili ripoti ya Uchaguzi Mkuu 2025

    Jumapili tarehe 18 Januari, 2026 Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo itakutana jijini Dar es salaam ikiwa ni kikao chake cha kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015. Katika kikao hicho, Kamati Kuu inatarajia kupokea na kujadili taarifa ya Sekretarieti ya Chama Taifa na kutoa maelekezo ya...
Back
Top Bottom