Natafuta mganga wa kienyeji konki
Mwenye uelewa anisaidie maeneo ya dar, bagamoyo kibaha au mkuranga anisaidie.

Kuna hela ya usumbufu kwa atakaenipa connection
Nenda pale msimbazi kwenye klabu ya Simba, kuna basi zima limejaa waganga konki wameriga hadi bodi ya ligi ikachanganyikiwa.
 
Mwenye uelewa anisaidie maeneo ya dar, bagamoyo kibaha au mkuranga anisaidie.

Kuna hela ya usumbufu kwa atakaenipa connection
Screenshot_20250320-082552.jpg
 
Habarini waungwana wana JF naamini mko poa kabisa.

Kama kichwa cha habari kinavyosema "connection ya uhakika".
Connection nnayoitaka hapa ni connection za kupata mafanikio kupitia upande wa kiganga/mganga

Kuhusu kupambana nimepambana sana ila bado sioni future kabisa. Kuna nyuzi nyingi humu watu wakiomba hizo connection ila hao watu hawakuwahi kuleta mrejesho kama walifanikiwa kupata hao waganga wakuwapa utajiri ama laah.

Naamini humu kuna watu wa aina zote so kama hio connection unayo na niuhakika kabisa 100% haina bra bra ndani yake bas utakua umenisaidia sana kunipa hio connection
Lengo langu nikuyapata mafanikio
NOTE; sitaki waganga wanaosafisha nyota. Nataka wanaofanya mambo makubwa kama nilivyo ainisha hapo juu

AHSANTENI SANA NAWAKARIBISHA PM/INBOX
 
Back
Top Bottom