Siyo kwamujibu wa chama, ni kwamujibu wa PPRA....Public Procurement Regulatory Authority. Chadema inatumia ruzuku ambazo ni mali ya wananchi (kodi za wananchi) hakinunui vitu kwa mujibu wa chama au kamati kuu kinatakiwa kifuate ACTS!
What Chadema did is WRONG! Baregu, Kitila Mkumbo , Mnyika na Zito walikuwa against na wazo hili la Mbowe na Slaa!!
Kitu kisichoeleweka hapa ni nini? kinachotetewa hapa ni nini?
Ni kweli magari yalitumika tangu yakiwa mapya ...lakini
1. Mbowe alipaswa kuingia mkataba na chama chake kuhusu hayo magari kuanzia mwanzo ( ab initio), na Chadema hawakupaswa kupokea kitu kipya..bure bila kuandikikishiana kuwa nini kitafanyika
2. Magari hayo ya Mbowe yamenunuliwa kwa pesa yake ya binafsi? je kuna auditing inafanyika kutofautisha mali za chadema, mali binafsi za mbowe, n.k
3. facts kuwa Mbowe ana influence kila steji katika manunuzi ni sawa na kujiuzia, I mean ALIJUA TOKA MWANZO lengo lake ni nini! This kind of biashara is against the rules
Kuna faida nyingi kwa Mbowe kuiuzia chadema magari kwa sasa ,,,,tuache huko
I believe na nimesema mara nyingi mwisho wa DOUBLE STANDARD NI AIBU! TUKISEMA TUNAKATAA UFISADI NI ULIO CCM NA ULIO CHADEMA NA KWINGINEKO KOTE! TUKISEMA maamuzi ya base zaidi upenzi wetu ndio aibu hizi zinwakumba wengi humu ambao mke mbele kuisema CCM ili hali kwenu hakujakaa sawa
Leo hii mkuu wangu bila woga unaandika sentensi hiyo hapo juu....kana kwamba haujui sakata zima, kweli unataka kusema akina baregu wajinga mpaka waishauri
SO IS NOT KAMATI KUU WAMEAMUA NINI , BALI SHERIA YA MANUNUZI INASEMA NINI...........where problems starts
Wabs,
Kweli kuna tatizo katika sourcing ya hizo machines, the procedure was not competitive
However, kinachogonga chadema hapo si suala la used machines hapana, bali ni procedure.... huwa kuna exceptions za kununua kitu kilicho-used hasa kama ni only acquisition was for a "specific duration purpose" - projects set-ups if the following a re considered
- cost asessment
- duration of teh project/assignment
- declarations and disclosures
- na mengine
tusidanganyane kwenye used or new, kila kimoja chawezekana... hata single sourcing ambayo serikali inaitumia sana (refer Toyota) kupata baadhi ya equipment and supplies (you will learn more from single sourcing practice na emergency procurement kwa MSD na wizara ya fya... wamebobea hapo
binafsi nadhani tatizo la chadema ni
kukosa good accounting system inayoelekeza to teh dots procurement procedures, nahisi wana guideline tu
hawajaheshimu procurement profesion , na hili ni kwa vyama vyote - with the volume of acquisitions now, they need fully certified members au wa-outsource procurement
it is a lesson learnt na basing on the business volume, compared to trillions we lose each year under CCM leadership, lazima tuwape big up kwa kugundua mapema na tuwapongeze zitto, baregu, mkumbo na wote waliogundua hilo... SI KWASABABU CHADEMA NI PENDWA BASI WAVUNJE TARATIBU
HATUENDI HIVYO
Now, a parting shot.... hivi tunajua jinsi ccm walivyo-acquire mabango, tisheti, kofia, magari nk wakati wa kampeni??? mimi najua, can one compare the magnitude of fraud, ill-procurement procedures na accountability level between cdm and ccm during elections???? - WELL, IF WE WANT TANZANIA (AND NOT POLITICAL RUBBISH) THEN WE SHOULD FOCUS THERE
MTM - FOR THE LOVE OF TANZANIA