Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
Nape kwenye masuala ya usafi wa familia hatakiwi kuonge chochote......pamoja na kuwa kiongozi muandamizi..na afisa mwandamizi jeshini na mwishoni akamalizia kama mshauri wa rais siasa.. Mzee wake Moses Nnauye...alikuwa akiishi "mitaani"....hakuwa na nyumba ya kuishi....alikuwa akikaa peke yake kwenye apartments alizokodishiwa na Ikulu...wakati anaugua ..ilibidi ahamie kwa makamba alipougulia hadi mauti.....na hata jukumu la msiba alilibeba makamba........
Nape alipewa kazi CCM kama huruma kwa mzee wake ...kwani kati ya watoto wa mzee Nnauye ...ndie pekee aliyeonekana kusoma kidogo,,,,inabidi awashukuru kina mzee mkapa na malecela waliomshauri aache kugombana na akina Nchimbi ..wakampeleka Kivukoni Akapata Diploma ...wakamsogeza pale ccm makao makuu kitengo cha mambo ya nje ...alipokosana tena na akina Nchimbi ..mkapa na malecela wakamshauri na kumtafutia chuo India akafanya degree ya sanaa.......awashukuru sana!!
Pamoja na hayo yote ndugu zake Nape na mama zake [wake wa mzee wake] ...sijui ni wivu au nini walikuwa ...wanamtuhumu Nape kuwa hakuwa mtoto wa mzee Nnauye...hata hivyo hili ikaja kuonekana ni chuki tu za ndugu yake juu yake hasa kutokana na ndugu zake wengi kuwa majalala na kukataa shule au kutosoma!!
Ni muhimu sana Nape akaacha kuongelea masuala ya uadilifu wa kifamilia ..kwani yeye familia ni zero....apige siasa!!
Nape alipewa kazi CCM kama huruma kwa mzee wake ...kwani kati ya watoto wa mzee Nnauye ...ndie pekee aliyeonekana kusoma kidogo,,,,inabidi awashukuru kina mzee mkapa na malecela waliomshauri aache kugombana na akina Nchimbi ..wakampeleka Kivukoni Akapata Diploma ...wakamsogeza pale ccm makao makuu kitengo cha mambo ya nje ...alipokosana tena na akina Nchimbi ..mkapa na malecela wakamshauri na kumtafutia chuo India akafanya degree ya sanaa.......awashukuru sana!!
Pamoja na hayo yote ndugu zake Nape na mama zake [wake wa mzee wake] ...sijui ni wivu au nini walikuwa ...wanamtuhumu Nape kuwa hakuwa mtoto wa mzee Nnauye...hata hivyo hili ikaja kuonekana ni chuki tu za ndugu yake juu yake hasa kutokana na ndugu zake wengi kuwa majalala na kukataa shule au kutosoma!!
Ni muhimu sana Nape akaacha kuongelea masuala ya uadilifu wa kifamilia ..kwani yeye familia ni zero....apige siasa!!