britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kila litamkwapo neno Gamba akilini kwa wengi umfikiria Mtu aliye au anyemiliki kadi ya Kijani kwa Kifupi mwanchama wa CCM aliye na ngazi serikalini,
Ilifika muda kila likitajwa neno Gamba unamuwaza Nape na kukwidana kwake na yale Majina ya Rostamu ,Lowassa na Chenge kwa kifupi AEA
Ikaanza kampeni maalumu ya Kutokomeza Magamba ndani ya chama
Kuna walio weza kutikisika lakini wengine walishindwa kutoka,
CCM ikajinasibu 2015 Kwamba mastermind wa Ugambani Lowassa kutimuliwa kaelekea UKAWA, japo ulikuwa mpango maalumu,
Katika Gazeti la Mzalendo lenye Kichwa
CCM INAWEZA “KUJIVUA GAMBA”?
ASHAKH (KIONGOZI)
20/08/2013
Ikumbukwe miaka miwili nyuma ndani ya chama tawala CCM kuliibuka kundi lenye mzozo na kundi jengine kuputia dhana na kauli mbiu ya “Kujiva Gamba”. Kauli hii ilitokana na lile kundi la viongozi waliojiona kuwa ni wasafi mbele ya kundi la viongozi walioshukiwa kujihusisha na mambo rushwa.
Uhasama ukajengeka miongoni mwao hivyo kutakiwa wale wote wanaojihusha na vitendo vya ufisadi kujchukuliwa hatua ya kuvuliwa nyadhifa za uongozi na kufukuzwa uanachama.
Kama vile unayebeba kilo 100 za usufi, dhana ya kujivua gamba ndani ya CCm haikuweza kutekelezwa. Licha ya kuonekana wepesi wake, ugumu ulikuwa umezidi na kuumiza migogo ya viongozi na wale wote walizaa dhana hii.
Leo hii fununu zimetanda kutaka utekelezaji wa dhana ile, kwa baadhi ya viongozi wa CCM Zanzibar kupendekeza baadhi ya wananchama wao wavuliwe gamba. Tofauti kidogo sababu kuu ya kuvuliwa gamba na pale mwanzo. Mara hii ni kwa wale wanachama waliotumia fursa ya kuwataka Watanzania wote washiriki na watowe maoni yao katika upatikanaji wa katiba mpya ya Tanzania.
Hii ni aibu, kwani kama mwananchi wa Tanzania bila ya kujali itikadi ya chama, kutoa maoni ni haki ya kila mtu kwa mujibu wa sheria. Vipi leo kuwe na fukutu la kufukuzwa uanachama kwasababu tu mawazo yako yako kinyume na mawazo ya wengine.
Hivi kweli CCM inaweza kujivua gamba? Vipi kwa wale wengine waliokuwa na mawazo sawa na wanachama wanaofukuzwa uanachama. Tukichukulia mifano kama vile Jaji Joseph Warioba, Dr Salim Ahmed Salim, Mzee Hassan Nassor Moyo, na wengineo wote hawa ni CCM nao hawakubaliani na Ilani ya CCM kupatikana katiba mya, jee na wao watafukuzwa uanachama?
Yataka ujasiri “Kujivua Gamba”
Nikaenda Mbali nikawaza zangu kwamba ni kweli kama ingetumika nguvu sana kuvua watu magamba ingekuwa shida sana?
nimepitia Uzi mmoja hapa uliomshauri nape kuwa CCM kujivua gamba ni kuiua kabisa
JE MAGAMBA HAYO NI YALE YALE, AU KUNA MENGINE YAMESHAONGEZEKA HUKO CCM?
waweza kujisomea pia hapa chini
Ilifika muda kila likitajwa neno Gamba unamuwaza Nape na kukwidana kwake na yale Majina ya Rostamu ,Lowassa na Chenge kwa kifupi AEA
Ikaanza kampeni maalumu ya Kutokomeza Magamba ndani ya chama
Kuna walio weza kutikisika lakini wengine walishindwa kutoka,
CCM ikajinasibu 2015 Kwamba mastermind wa Ugambani Lowassa kutimuliwa kaelekea UKAWA, japo ulikuwa mpango maalumu,
Katika Gazeti la Mzalendo lenye Kichwa
CCM INAWEZA “KUJIVUA GAMBA”?
ASHAKH (KIONGOZI)
20/08/2013
Ikumbukwe miaka miwili nyuma ndani ya chama tawala CCM kuliibuka kundi lenye mzozo na kundi jengine kuputia dhana na kauli mbiu ya “Kujiva Gamba”. Kauli hii ilitokana na lile kundi la viongozi waliojiona kuwa ni wasafi mbele ya kundi la viongozi walioshukiwa kujihusisha na mambo rushwa.
Uhasama ukajengeka miongoni mwao hivyo kutakiwa wale wote wanaojihusha na vitendo vya ufisadi kujchukuliwa hatua ya kuvuliwa nyadhifa za uongozi na kufukuzwa uanachama.
Kama vile unayebeba kilo 100 za usufi, dhana ya kujivua gamba ndani ya CCm haikuweza kutekelezwa. Licha ya kuonekana wepesi wake, ugumu ulikuwa umezidi na kuumiza migogo ya viongozi na wale wote walizaa dhana hii.
Leo hii fununu zimetanda kutaka utekelezaji wa dhana ile, kwa baadhi ya viongozi wa CCM Zanzibar kupendekeza baadhi ya wananchama wao wavuliwe gamba. Tofauti kidogo sababu kuu ya kuvuliwa gamba na pale mwanzo. Mara hii ni kwa wale wanachama waliotumia fursa ya kuwataka Watanzania wote washiriki na watowe maoni yao katika upatikanaji wa katiba mpya ya Tanzania.
Hii ni aibu, kwani kama mwananchi wa Tanzania bila ya kujali itikadi ya chama, kutoa maoni ni haki ya kila mtu kwa mujibu wa sheria. Vipi leo kuwe na fukutu la kufukuzwa uanachama kwasababu tu mawazo yako yako kinyume na mawazo ya wengine.
Hivi kweli CCM inaweza kujivua gamba? Vipi kwa wale wengine waliokuwa na mawazo sawa na wanachama wanaofukuzwa uanachama. Tukichukulia mifano kama vile Jaji Joseph Warioba, Dr Salim Ahmed Salim, Mzee Hassan Nassor Moyo, na wengineo wote hawa ni CCM nao hawakubaliani na Ilani ya CCM kupatikana katiba mya, jee na wao watafukuzwa uanachama?
Yataka ujasiri “Kujivua Gamba”
Nikaenda Mbali nikawaza zangu kwamba ni kweli kama ingetumika nguvu sana kuvua watu magamba ingekuwa shida sana?
nimepitia Uzi mmoja hapa uliomshauri nape kuwa CCM kujivua gamba ni kuiua kabisa
NAONA SASA WOTEEE WAMERUDI ZAO CCMNimeona ni vyema nimpe angalizo K/mwenezi wa chama cha CCM ndugu Nape, Ni ukweli kwamba CCM ilipofikia sasa kujivua Gamba haiwezekani ila ninaloliona mbele ya chama hiki ni kifo cha mende.
Nimesoma Gazeti la mwanahalisi tuhuma nyingi wanazorushiana waheshimiwa mbalimbali wanaowania kiti 2015 kupitia chama hicho ni dalili ya kujiangamiza kabisa. Membe against Lowasa, Uswahiba wa Lowasa , Kinana, Membe, Rostam na Sita uliokuwepo awali umegeuka kuwa wadui miongani mwao.
Mara tunasikia Lowasa amedhamiria 2015, Sumaye asemi lolote lakini bado yumo, Sitta, Membe mwenyewe, Mwandosya japo yuko kimyakimya, Uwezi ukaacha kumzungumzia Kigoda maana alikuwa swahiba mkubwa wa Beni, na pengine bado anauchungu wa kudondoshwa na wengine wengi. Kinachoendelea sasa ni kupigana vijembe ndani ya Chama hicho. Nakumbuka Msekwa alipojaribu kumunyooshea kidole EL kuwa harakati zako za 2015 zitakiharibu chama, yeye alijibu kwani kuna dhambi kufanya hivyo au kuna mtu mumemuandaa ? Msekwa akanyamaza
Hayo machache tu, leo hii Nape unazungumzia kujivua gamba kwa kuondoa mafisadi ndani ya chama chako wakati jambo dogo la kukijenga chama ili kitengamae limekushinda ?
Yapo mengi yanayoonyesha chama hicho kuendelea kuwa Imara ni jambo lisilowezekanika, mtafanyeje ili CCM iaminiwe na watanzania ?
JE MAGAMBA HAYO NI YALE YALE, AU KUNA MENGINE YAMESHAONGEZEKA HUKO CCM?
waweza kujisomea pia hapa chini
CCM na sera za kujivua gamba na kutokuitwa waheshimiwa viongozi wa chama hicho
Sera za kujivua gamba za ccm zimeishia wapi, mbona huko wanakozunguka hawazungumzii suala hili?
www.jamiiforums.com
Nionavyo: Ccm inategemea huruma za Chenge, Lowassa na Rostam kujivua gamba
Kwa hali ilivyo sasa hivi ni Kwamba CCM haiwezi kumfukuza Chenge, Lowasa wala Rostam, kitu kilichokuwa kinapanfwa ni wao kuwaomba hao Jamaa wajitoe. Huu ni Mchezo wa Kuigiza ambao CCM wameshaona itakula kwao maana Pamoja na Kuja na Staili ya Kujivua Gamba naona Sasa wanaitwa Chama Cha Magamba...
www.jamiiforums.com
Kujivua gamba ni mbinu ya ccm kumsafisha ******
Jaman watz nadhani mmejionea dhahir kuwa serikali ye2 kupitia ccm haina nia ku2nusuru sis watz dhid ya maish mabov 2nayokumbana nayo kila kukich bali wanaangaika kikinusur chama cha ccm. Watawafumbiaje macho mafisadi wanaosababish hal ya watz na taifa kwa ujumla kuwa duni then waangaike na...
www.jamiiforums.com
Kukomaa kwa Gamba la CCM
CCM wametangaza kujivua gamba...lakini nyoka mnyama ambaye ndiye haswa mwenye sifa ya kujivua gamba hufanya hivyo kila baada ya muda fulani kwani gamba hilo hukomaa tena. Je CCM wameweka utaratibu wa kujivua gamba baada ya muda gani? Je kama nyoka anavyokufa baada ya kujivua gamba mara kadhaa...
www.jamiiforums.com