Naomba code ya ushindi kwanini siku hizi wanawake wanatoa sana namba za simu ila kukamilisha project wanazingua?

Naomba code ya ushindi kwanini siku hizi wanawake wanatoa sana namba za simu ila kukamilisha project wanazingua?

Brain Kingdom

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
7,004
Reaction score
14,551
Naomba mbinu takatifu nje na pesa , kwanini mademu wanatoa namba kirahisi sana ila wagumu kuingia box, wanaboa mimi nawatukana nawauliza ulidhani mimi mjomba wako.

Pesa ni ngumu utawala huu wa Hassan, kutoa advance mtihani.

Leteni code mkwamo uko wapi baharia wa Malawi nakwama
 
Wanauza kisasa zaidi
Kwanza anataka mkutane sehemu ya makulaji na vinywaji kedekede kwa mfuko wako na nauli yako
Siku hizi wanawapanga kama mapimbi siku ya kuwapa utamu baada ya kuona umemhudumia anavyotaka. Ukianza maongzi nae atakuambia kodi inaisha, simu kioo kimepasuka mara charge system, mama anaumwa na ukiwa mbali anaanza kukuambia yeye ndio anaumwa.
Neno la tafakari ya siku; " Hakuna mwanamke asiye na mwanaume ila wapo wanaume wasio na wanawake" Tafakari na uchukue hatua
 
Wanauza kisasa zaidi
Kwanza anataka mkutane sehemu ya makulaji na vinywaji kedekede kwa mfuko wako na nauli yako
Siku hizi wanawapanga kama mapimbi siku ya kuwapa utamu baada ya kuona umemhudumia anavyotaka. Ukianza maongzi nae atakuambia kodi inaisha, simu kioo kimepasuka mara charge system, mama anaumwa na ukiwa mbali anaanza kukuambia yeye ndio anaumwa.
Neno la tafakari ya siku; " Hakuna mwanamke asiye na mwanaume ila wapo wanaume wasio na wanawake" Tafakari na uchukue hatua
Hakielimu
Nge nge
 
Utaambiwa nakuja kwa heshima tu ila sitakaa sana, mwanangu anaumwa nakuja kwa heshima yako, nami majibu lisaa tu BAO 3 ntakamilisha ntakupa elfu20 ya dawa upite pharmacy 🤣🤣🤣, poa mtume boda anifate
 
Naomba mbinu takatifu nje na pesa , kwanini mademu wanatoa namba kirahisi sana ila wagumu kuingia box, wanaboa mimi nawatukana nawauliza ulidhani mimi mjomba wako.

Pesa ni ngumu utawala huu wa Hassan, kutoa advance mtihani.

Leteni code mkwamo uko wapi baharia wa Malawi nakwama
Ukipata JIBU muafaka ni tag,Mkuu NAMI utakua umenisaidia
 
Utaambiwa nakuja kwa heshima tu ila sitakaa sana, mwanangu anaumwa nakuja kwa heshima yako, nami majibu lisaa tu BAO 3 ntakamilisha ntakupa elfu20 ya dawa upite pharmacy 🤣🤣🤣, poa mtume boda anifate
Hahahaha,unatuma na anakuja au ndio Ile mnaita kala nauli ?
 
Back
Top Bottom