de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 12,643
- 25,058
- Thread starter
- #81
Acha kuongea kitu kwa sababu ya mihemko ya kishamba.I can assure you no one is inspired kama yupo m-tag hapa tuone , ulichofanikiwa kupata mpaka sasa ni watu wanaokuona kama mwehu tu. Lakini pia hiki unachokiita affirmations ni show off tu.
Namsubiri huyo mtu aliyekuwa inspired
If hujawa inspired pita kushoto na tuendelee na mambo yako.
Show off hiyo ni tafsiri yako