Ndugu zangu..
Ni najiona kabisa, baada ya mwaka 1 au 2 ni taanza kuingia rasmi kwenye purpose yangu..
I was made to become the GOAT yaani kwenye field yangu, au kile nikifanyacho.
I'm highly favored by the most high na niseme tu ya kuwa nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa karama hii kuu..
Ipo siku Nitakuja humu kuwakumbusheni yaha maneno. Sio kwa ubaya ila nataka mujionee how Good the lord is..
If he chooses you, he will hide you in plain sight until it's your time to shine.
I once said by mwaka 2040 Nitakuwa mtu maarufu duniani.. Ni kweli kabisa, hii ni vision niliyo iona since I was a bitty little boy.
Naomba niwakumbushe tu wale wenye malengo makubwa na wwameoneshwa na Mungu wazidi kuamini, maana it must come to pass.
View attachment 3666450