LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,537
- 12,540
Watoto hawa wana shida. Na mbaya zaidi hata namna kusaidika hata wao pia hawajuiUbishi na ujuaji hutokufikisha popote..
Endelea kuandika goals zako na plans zako jf....
Watoto hawa wana shida. Na mbaya zaidi hata namna kusaidika hata wao pia hawajuiUbishi na ujuaji hutokufikisha popote..
Endelea kuandika goals zako na plans zako jf....
Mbaya zaidi yeye mwenyewe hajui kama yupo katika hali mbaya kiasi hichoHuu uzi ni wa mtu aliyekata tamaa ya maisha na kukosa dira kabisa,ila akaamua tu kujifariji kama vile miujiza itatokea kwa kuwaza tu!
Wenye malengo hua hawapayuki hovyo,wala hawajipangi kuja kumkomesha mtu au kumprove wrong mtu,
Wakubwa tu na wataalamu wa saikolojia ya Binadamu ndio tutauelewa huu uzi au kumjua mleta mada ni mtu wa aina gani,
Toka mwanzo kabisa nilimueleza mleta mada matatizo aliyo nayo ila kwa sasa hivi naona wana JF wengi pia wameshaliona tatizo la mleta mada,
Dont tell people your plans,show them your results.
Kila la heri mkuuNdugu zangu..
Ni najiona kabisa, baada ya mwaka 1 au 2 ni taanza kuingia rasmi kwenye purpose yangu..
I was made to become the GOAT yaani kwenye field yangu, au kile nikifanyacho.
I'm highly favored by the most high na niseme tu ya kuwa nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa karama hii kuu..
Ipo siku Nitakuja humu kuwakumbusheni yaha maneno. Sio kwa ubaya ila nataka mujionee how Good the lord is..
If he chooses you, he will hide you in plain sight until it's your time to shine.
I once said by mwaka 2040 Nitakuwa mtu maarufu duniani.. Ni kweli kabisa, hii ni vision niliyo iona since I was a bitty little boy.
Naomba niwakumbushe tu wale wenye malengo makubwa na wwameoneshwa na Mungu wazidi kuamini, maana it must come to pass.
View attachment 3666450
Je, uko katika maisha yangu ujue dira yangu?Huu uzi ni wa mtu aliyekata tamaa ya maisha na kukosa dira kabisa,ila akaamua tu kujifariji kama vile miujiza itatokea kwa kuwaza tu!
Wenye malengo hua hawapayuki hovyo,wala hawajipangi kuja kumkomesha mtu au kumprove wrong mtu,
Wakubwa tu na wataalamu wa saikolojia ya Binadamu ndio tutauelewa huu uzi au kumjua mleta mada ni mtu wa aina gani,
Toka mwanzo kabisa nilimueleza mleta mada matatizo aliyo nayo ila kwa sasa hivi naona wana JF wengi pia wameshaliona tatizo la mleta mada,
Dont tell people your plans,show them your results.
Hujishangai unabishana na Forums? unabishana na kila mtu? JF kuna watu wa kila aina,kuna wataalamu wa kila aina humu,watakujua kwa kusoma maandishi yako tu,Je, uko katika maisha yangu ujue dira yangu?
Mbona unaandika kijbe alafu unataka kukipaka intellectualism?
Saikolojia gani unayoijua wewe? Acha nongwa na kuleta energy hasi ukidhani utamdhoofisha mtu hapa
Kipindi nataka kuingia kwenye MZIKI nilijua nikuingia studio na record na shoot over kumbe mambo hayako hivoHuu uzi ni wa mtu aliyekata tamaa ya maisha na kukosa dira kabisa,ila akaamua tu kujifariji kama vile miujiza itatokea kwa kuwaza tu!
Wenye malengo hua hawapayuki hovyo,wala hawajipangi kuja kumkomesha mtu au kumprove wrong mtu,
Wakubwa tu na wataalamu wa saikolojia ya Binadamu ndio tutauelewa huu uzi au kumjua mleta mada ni mtu wa aina gani,
Toka mwanzo kabisa nilimueleza mleta mada matatizo aliyo nayo ila kwa sasa hivi naona wana JF wengi pia wameshaliona tatizo la mleta mada,
Dont tell people your plans,show them your results.
Tunamuambia kiume analeta ujuaji, Diamond Platnumz naye alikuwa na ndoto za kuwa tajiri namba moja duniani.Ubishi na ujuaji hutokufikisha popote..
Endelea kuandika goals zako na plans zako jf....
Wewe unafahamu kila kitu, una uzoefu wa maisha kuliko wengine, hutaki kusikiliza ushauri wa wengine na unajisifu sana..Ujuaji?
Kuna ujuaji gani hapo mkuu?
Amefikia kwenye denial stage...Hujishangai unabishana na Forums? unabishana na kila mtu? JF kuna watu wa kila aina,kuna wataalamu wa kila aina humu,watakujua kwa kusoma maandishi yako tu,
Tatizo lako kumbe ni kubwa zaidi hata ya nilivyokua nikidhani!
Ndo mmekaa mnapashana habari? Y'all keep talking about the GOAT in the makingHujishangai unabishana na Forums? unabishana na kila mtu? JF kuna watu wa kila aina,kuna wataalamu wa kila aina humu,watakujua kwa kusoma maandishi yako tu,
Tatizo lako kumbe ni kubwa zaidi hata ya nilivyokua nikidhani!
Nimekataa nini?Amefikia kwenye denial stage...
Hii hatua ni kama pale mtu ni mlevi, au teja, lakini anapoambiwa kuhusu uhalisia anaona yeye yupo sahihi na wanaomshauri ni wachawi... yeye ni mjanja na anafahamu anachofanya...
Mbona huwa mnapenda kuwa weka watu kwenye mabox kisa wanasimamia wanacho amini?Wewe unafahamu kila kitu, una uzoefu wa maisha kuliko wengine, hutaki kusikiliza ushauri wa wengine na unajisifu sana..
Hutaki kupingwa , unabishana kuonekana upo sahihi wakati wote...
Ni vigimu kwako kukubali hufahamu kitu flani na ukubali ukajifunza...
Nikuambie tu hizo ni sifa zako... kwa hizo sifa jumlisha na uropokaji wa plans zako na goals, I bet , hufiki popote ndugu...
Maana unachofanya hapa ndicho kina reflect nje ya jf...