Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,603
- 235,487
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana nayo ile, tuanze upya tusirejee mikosi. Unatoa hutoi?
Hebu taja kwanza I'd
Ukute nilikuwa naelekea kukubali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana nayo ile, tuanze upya tusirejee mikosi. Unatoa hutoi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu taja kwanza I'd
Ukute nilikuwa naelekea kukubali.
Yaani sijui hata unataja watu gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nishamjua! Anaanzia na M!
Ghafla hivi!Basi kubali huku huku tu![emoji39][emoji847]
Okay basi tushamjua, asante mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hili ni jibu la jamaa akimtetea crush
Thread: https://www.jamiiforums.com/threads...ngu-anaponiquote.1845059/page-8#post-38319869
Ghafla hivi!
Siwezi [emoji1787]
Bora uniambie tu I'd yako nyingine
Doooh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui Hata umemficha wapi! Na ndiye huyo L niliyekuwa namaanisha!
Mwenzako amekufa ameoza kwa Da'Vinci [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mara ya kwanza niliona umechangia uzi fulani back in 2014, nilikua mgeni hapa JF ila i can't tell how i felt about you nakuadmire secretly, since then, i promised myself to love you with all my heart, sina uhakika kama unajua kwa sababu sijawahi kukutamkia, whenever i log in here, the first person to look for is you, huwa naangalia umecomment nini, umelike kwa nani, na nani amekumention, naweza kuingia JF mwezi mzima nisiseme chochote, nakuangalia tu wewe naona furaha
You are a beautful soul, a real woman, wife material, a mother, smart, and God fear.
Kuna wakati huwa natamani nikuibukie PM ila naogopa, najua umeolewa na una familia, huwa hujichanganyi sana hapa jukwaani na huwa huchangii kwenye nyuzi zenye matani mengi
Ni mshauri mzuri sana, you respect everyone na sio rahisi ukwaruzane na watu.kuna wakati huwa unapoa kabisa kama vile haupo, sijui nikuambiaje wewe mwanamama, nakupenda hadi nahisi kupoteza fahamu, kila nikijitahidi kukutoa akilini mwangu nafeli
Kuna wakati nilikutumia PM za salamu, hukuwahi kunijibu hata moja wala hukuonyesha kujali.niliumia sana, nilikata tamaa ya kuendelea kukutafuta PM na sikua hata na ujasiri wa kueleza hisia zangu juu yako, tatizo ni kwamba you are too perfect kila nikiangalia sioni dosari yako
Huwa nasikia wivu nikiona mtu amekusifia au amekumention kwa jambo lolote, tena nikiona kidume amekuwekea emoj za love basi hali ya hewa huwa inabadilika hata nyumbani huwa sitaki hata wife anisemeshe. natamani ningekua nakumiliki wewe, nikuchunge na kukuficha
Aaah siwezi kuendelea kusema ila leo nimeamua nitoe ya moyoni labda nitapata ahueni.I do admire you secretly mama.
Karibuni tuwatakie wale secret admirers wetu heri ya siku ya wanawake
Mwendelezo ambao sijui ulipotokea?[emoji1787]Ghafla ipi wakati ni mwendelezo huu, acha kuchezea bahati mrembo.[emoji2957]
Kuwa na huruma aisee. Huyu anaweza hata akajidhuru huko aliko [emoji16][emoji16][emoji16]Mwenzako amekufa ameoza kwa Da'Vinci [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi HS sikumfikiria kabisa maana huwa hasemi sana mambo ya familia yake au watoto sijui mume.Mimi kilichofanya nisimfikirie Heaven Sent ni pale aliposema kwamba the woman yuko serious. Hainteract sana na watu na hauwezi kumkuta kwenye nyuzi zenye matani mengi.
Nimeshazoea HS wangu kwenye baadhi ya nyuzi za matani yupo sana tu anachangiaga na huwa anainteract sana na watu. Lakini zile sifa nyingine zote sasa ndiyo zinaendana na za HS.
Microphone test[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa si tunatest microphone kwanza
Yaani kaa kwa kutulia mtaalamu nawaletea mikeka[emoji1787]Safi! Nasubiri! [emoji16][emoji16] [emoji41][emoji41]
Ndio mapenzi yalivyo mkuu, principle iko hivi [emoji116][emoji116]Kuwa na huruma aisee. Huyu anaweza hata akajidhuru huko aliko [emoji16][emoji16][emoji16]
Nitamtaja mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu mtaje aisee
Huyu hapa ulim quote [emoji116][emoji116][emoji116]Huyo member simjui
Nitamtaja wiki ijayo[emoji1787][emoji1787]Na wa karma mtaje
Isjekuwa tunazunguka humu humu [emoji1787][emoji1787]
Hahaha ati "amkanye ajue moja.
unadhani hata huyo mtende ana interest na ww??Hili ni jibu la jamaa akimtetea crush
Thread: https://www.jamiiforums.com/threads...ngu-anaponiquote.1845059/page-8#post-38319869