My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Aaaah mdogo angu, mtu amekuja amekupa salamu si unamjibu tu salamu yake, then ndiyo unamsikiliza anasemaje. Ikiwa ni jambo kama hili ndiyo unamwambia tu hilo haliwezekani. Akiwa muelewa haya, asipoelewa ndiyo unampiga na kufuli
Bora aendelee kukaza tu kwa usalama wa ndoa yake.
Ni ngumu mno kutokuendelea kumjibu mtu ukianza maana moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vote, una ugonjwa wa kufisha,ni nani awezaye kuujua?
 
Kuliko hata mama yako mzazi!!

Something is wrong somewhere.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mama.mzazi naweza kuongea nae jambo lolote bila kumwogopa, ila huyu naogopa maana hajawahi kunionyesha any friendly attitude, kuna wakati nilikua naccoment kwenye uzi wake flani hivi basi alinipa like nikajikuta nimekumbatia simu maana sikutegemea, hazoeleki sijui ni mimi tu au hata kwa wengine
 
Inaweza isiwe rahisi kihivyo mkuu, tusimame tupige sala ili kumnusuru huyu ndugu, kalemewa😂😂
Nilishawahi kuwa kwenye hiyo hali Chief so naielewa vizuri sanaaaa..nilijikaza kuliko kawaida kumtamkia wala kumfungulia uzi..nilianza kusoma JF offline kwa muda wa mwaka I promised myself sitomfuatilia tena huyu master.nilichagua kumpotezea mazima..it wasn’t easy aiseh..

Gesi wat sasa....ni namuona wa kawaida kabisa na stori tunapigaga hapa hapa kwenye comment na hajijui na hatokuja kujijua
 
Nilishawahi kuwa kwenye hiyo hali Chief so naielewa vizuri sanaaaa..nilijikaza kuliko kawaida kumtamkia wala kumfungulia uzi..nilianza kusoma JF offline kwa muda wa mwaka I promised myself sitomfuatilia tena huyu master.nilichagua kumpotezea mazima..it wasn’t easy aiseh..

Gesi wat sasa....ni namuona wa kawaida kabisa na stori tunapigaga hapa hapa kwenye comment na hajijui na hatokuja kujijua
Huyo atakua Eli79 huyu mwamba nimemuona pia mara kadhaa aki interact na huyo my crush sema nimefuatilia naona wana urafiki wa kuheshimiana tu not anything intimate
 
Nitamtaja ila sio kwa ubaya na singependa kuelewaka vibaya, i respect the lady kukiko hata mama mzazi, sipendi nimvunjie heshima
Hapo nilipobold si sawa mkuu..
Binafsi ninakuelewa sana naielewa hiyo hali.

Mtake radhi mama yetu tafadhali huko alipo.hakuna mwanamke yeyote duniani anaeweza ifikia thamani ya mama.please edit hiyo kitu tafadhali.

Huyo mwanamke unamzungumzia hapa ni matamanio ya mwili tu unayojuu yake ingetokea ukawa nae hii heshima unayo mpka sasa kabla ya kumpata usingempa baada ya kumpata
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom