Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,405
- 191,534
Kinga ni bora kuliko tiba 😸 msione soo ni mambo ya kawaida tu.
Kinga ni bora kuliko tiba 😸 msione soo ni mambo ya kawaida tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lediz fest
Babe mie nasubiri tu huo mshindo wa mabilioni. Niwe mrs bilionea.Usije ukawa umeelewa unavyotaka [emoji39]
Kwahiyo unasubiri nikubembeleze?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie wangu ukimjua utanicheka wallahi
Me nina roho Ngumu Myahudi Jr II yeye anawaza torati tuuMkuu id yako na ya Myahudi Jr II huwa zinanichanganya sana aise yaani nikiona mmoja wenu amecomment mahali huwa akili mpaka iload ni yupi kati yenu
[emoji1787][emoji1787]Hata usinipe pole mkuu..hiyo hali nilishaikataaga kitambo na mwamba alitoka kwenye Mishipa yangu ya damu.
Mpaka sasa hajawahi kujua na hatokuja kujua....usikute ni mbabu wa watu hukoo[emoji3][emoji2][emoji2][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Pleasure is all mine jmn 😻! Welcome to my world Karmarito cwicito[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wewe hapo
[emoji23][emoji23] [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babe mie nasubiri tu huo mshindo wa mabilioni. Niwe mrs bilionea.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Me nina roho Ngumu Myahudi Jr II yeye anawaza torati tuu
Aaaah!! Ndo imetoka hiyo.[emoji23][emoji23] [emoji3][emoji3]
Na vile hujuagi kubembeleza sasa! Kaa hivyo hivyo ndiyo vizuri!
Hata uelekeo huna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]R...[emoji16]
Nipo huku tangu uzi unaanza[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukimpenda mtu, ukimkubali mtu...wewe mwambie tu. Siku ukisikia alipata ajali ya bodaboda akafa utajuta hukumwambia jinsi ulivyojisikia juu yake.Hata uelekeo huna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeenda chaka vibaya mno
Kwanza huyo R sijui hata ni nani[emoji1787]
Karma nitumie pm nimekuruhusuHivi naanzaje kumtaja hapa jamani! Naogopa taarifa zitamfikia halafu atanionaje sijui yani!
Mimi nikimkubali mtu namwambia tu kama nakukubali hapaUkimpenda mtu, ukimkubali mtu...wewe mwambie tu. Siku ukisikia alipata ajali ya bodaboda akafa utajuta hukumwambia jinsi ulivyojisikia juu yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nikimkubali mtu namwambia tu kama nakukubali hapa
Siwezagi kukaa kimya