Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Hakuna kipengele kinachozungumzia uuzwaji wa Bandari, na hakuna mkataba wowote ulioingiwa

Rushwa ni adui wa haki.

Mtu mzima unaongeea kama mtoto wa darasa la pili.
 
Huyu jamaa sijamuelewa hata kidogo hata sijui alikuwa anasema nini? Tatizo serikali imeshindwa kutoa majibu kwenye maswali mhimu. Ndo maana jaya AG hana cha kujibu hana
 
Walioelewa mtuambie mm sijaelewa lolote..Nilitegemea kama AG ungetambaa na ulalo wa Sheria ukichambua issues ambazo wananchi wana mashaka nazo mfano..Useme hii miaka sio milele wala sio mia ila iko hivi na vile..useme pia nchi itafaidika hivi na vile kuanzia mwaka huu mpaka huu...sasa ukianza kusema miradi inakwama kweli bandari ikiendeshwa na DP world ndio miradi haikwami??? miradi gani?? wewe toa majibu ya hoja za wananchi sio miradi imekwama...Nchi hii dah ni ya kuhurumia sana...
kasema wazi yeye hajayaona yote hayo usemayo kwenye mkataba, wewe hayo umeyaona wapi?
 
Feleshi kanifurahisha sana, kwa kifupi kawaambia "bileshi" kwa Kiarabu, maana yake patupu au bure.

Short and clear, haya, haraka nendeni mahakamani. Mikataba hupingwa mahakamani siyo story tu za mitandaoni. Hamjajifunza kwa marehemu Mtikila?
 
Mimi binafsi bado sijaona majibu kwa hoja za wananchi kwa baadhi ya vipengele tata katika huu mkataba ,instead key leaders ambao nilitegea watoe ufanunuzi kipengele baada ya kipengele naona wanafanya danadana tu . Jamani Kukiri kukosea sio dhambi ,biblia inasema "He who remains stiff necked after many rebukes will suddenly be destroyed without remedy"
 
Mimi binafsi bado sijaona majibu kwa hoja za wananchi kwa baadhi ya vipengele tata katika huu mkataba ,instead key leaders ambao nilitegea watoe ufanunuzi kipengele baada ya kipengele naona wanafanya danadana tu . Jamani Kukiri kukosea sio dhambi ,biblia inasema "He who remains stiff necked after many rebukes will suddenly be destroyed without remedy"
Vipengele vipi "tata"?
. HKuna Tata wala Benz.
 
Walioelewa mtuambie mm sijaelewa lolote..Nilitegemea kama AG ungetambaa na ulalo wa Sheria ukichambua issues ambazo wananchi wana mashaka nazo mfano..Useme hii miaka sio milele wala sio mia ila iko hivi na vile..useme pia nchi itafaidika hivi na vile kuanzia mwaka huu mpaka huu...sasa ukianza kusema miradi inakwama kweli bandari ikiendeshwa na DP world ndio miradi haikwami??? miradi gani?? wewe toa majibu ya hoja za wananchi sio miradi imekwama...Nchi hii dah ni ya kuhurumia sana...

Mimi sjamuelewa kabisa
 
Usitufanye Sisi Wa-Tanzania kuwa Ni mbumbu ki-hivyo.Kwani kusema Bandari
Imeuzwa,Ni Lazima iandikwe kwenye vipengele vya mkataba kwamba,Tumeuza Bandari?Hiyo Ni NAHAU Kama anavyosema Mzee Makamba.Maana yake Ni kwamba,hUO mkataba una vipengele vya ovyo Vingi,ambavyo havina maslahi kwa Taifa la Tanganyika(Maana Hapa siwezi kusema Tanzania maana mkataba huu hauihusishi Zanzibar.)Hata kwenye milango
Ya Ofisi za police na mahakama,milango yao wameandika "HATUPOKEI RUSHWA".Lakini ingia kwenye Hiyo Ofisi uone utakavyoisoma namba.Hapa Mwanasheria mkuu kajibu Kihuni na kwa utemi.Hujatutendea haki Sisi tulio wajuaji Kama Wewe(Ingawa hatuna madaraka)
 
Usitufanye Sisi Wa-Tanzania kuwa Ni mbumbu ki-hivyo.Kwani kusema Bandari
Imeuzwa,Ni Lazima iandikwe kwenye vipengele vya mkataba kwamba,Tumeuza Bandari?Hiyo Ni NAHAU Kama anavyosema Mzee Makamba.Maana yake Ni kwamba,hUO mkataba una vipengele vya ovyo Vingi,ambavyo havina maslahi kwa Taifa la Tanganyika(Maana Hapa siwezi kusema Tanzania maana mkataba huu hauihusishi Zanzibar.)Hata kwenye milango
Ya Ofisi za police na mahakama,milango yao wameandika "HATUPOKEI RUSHWA".Lakini ingia kwenye Hiyo Ofisi uone utakavyoisoma namba.Hapa Mwanasheria mkuu kajibu Kihuni na kwa utemi.Hujatutendea haki Sisi tulio wajuaji Kama Wewe(Ingawa hatuna madaraka)
Kwi Kwi kwi teh teh teh


Ndiyo umesema nini?
 
Amesema hayo akiwa wapi?
Hivi ni kwanini watu wengi na haswa viongozi wetu ni wagumu kukubali makosa, mbona kukubali kukosea ni njia asili ya mwanadamu kujisahihisha, kwani ni nani kati wa yetu sisi binadamu anae weza kwenda moja kwa moja bila kukosea
Tatizo sio kukubali makosa.
Hawana uwezo wa uongozi, ndio maana wao hawakubali makosa,sababu wanaamini kiongozi hakosei.
 
Kuna sehemu mheshimiwa hakutoa ufafanuzi wa kisheria.
Mfano
1. Amesema hakuona palipoandikwa miaka Mia au milele lkn pia hakuona ukomo wa mkataba.
2. Hakutoa ufafanuzi kuhusu kile kipengele Cha maritine issues Ni Mambo ya muungano. Mbona wazanzibari hawakupelekewa huu Moto?
3. Kuna kipengele kinachosema Hawa wakubwa zetu DP wakitaka sehemu yoyote withing our territory specifically Tanganyika wapewe kwa gharama zetu. Kuna sehemu Tanzania Kama ikulu au vikosi vya jeshi havijawa excluded kwenye hiyo clause.
Anyway, I stand to be corrected
 
DF033D3E-7D13-43EF-9308-11843218512C.jpeg


Binafsi nimeshangazwa na maelezo yake kuhusu iko kipande kukielezea kama layman applying literal meaning. Badala ya kutoa technical explanation za sheria kinatokea wapi kimsingi.

Ni hivi background ya hiko kipengele kuna aina mbili ya kutatua migogoro ya kibiashara.
1. Litigation
2. Alternative Dispute Resolution (ADR).

Litigation ni kupitia mahakama, mara nyingi za host nation. Process zake huwa ndefu na ushahidi mwingi unahitajika. Wafanyabiashara hasa international investors don’t like that jumlisha na possibilities maamuzi yake yanaweza kuwa influenced na viongozi wa nchi husika.

ADR ni njia nyingine ya kutatua mgogoro bila ya kutumia mahakama ila kwa kutumia experts wa industry husika. Zipo processes kadhaa ila main ni 5.

(i) Early Neutral Evaluation (ENE).

Hii inahusisha parties kuchagua mtu wanaedhani ni sahihi kukitokea sintofahamu kupelekewa mgogoro kama anaweza utatua. Ndio msingi wa article 3(2) kuundwa kwa ‘consultative committees’ teams za majadiliano kuongea mambo ya uwekezaji na mengine. Na wamesema wizara ya ujenzi kupitia katibu mkuu atapewa kipaumbele kwanza kutatua mgogoro wa DPW na TPA. Ikishindikana baada ya siku 90 bila ya kuafiki maamuzi yaliyo tolewa hapo mgogoro unaweza kwenda arbitration.

Kabla ya arbritration kuna hatua zingine zinaweza fatwa ila sio lazima kufuata huo mlolongo.

(ii) Adjudication hii ni kama arbitration anaitwa neutral expert kusikiliza mgogoro na kutoa maamuzi, ila sio legal binding.

(iii) Mediation more detailed compared to adjudication ila na yenyewe maamuzi yake sio legal binding.

(iv) Arbitration (final expert determination), watanzania wengi wanadhani hizi ni mahakama. Hapana hii aina tofauti na hatua yeyote hapo, huyo arbitrator pia anachaguliwa na pande mbili na huwa ni expert on the industry. Tofauti yake hatua za awali kwenye ADR sio legal binding, whereas maamuzi ya arbitration ni legal binding.

Ndio maana kwenye mikataba ya kimataifa uwezi kukosa hiko kipengele cha dispute resolution.

Sasa mwanasheria mkuu analeta porojo sijui za diplomasia ya nchi and other nonsense, wakati diplomatic process zinazo ongelewa ni hizo hatua za awali za ADR.

Unajiuliza sana huko kwenye LNG sijui wamesaini kitu gani kama hawa ndio wanasheria wa serikali, maana huko kuna hesabu za advanced management accounting na sheria juu; utatia akili. Ndio maana mtu kama January anavyoona rahisi hayo mambo unajichekea tu pembeni.
 
Back
Top Bottom