DPW halazimiki kuajiri wazawa wala kurithi wafanyakazi; watu wa TPA someni sheria na mkataba kabla hamjaacha kazi

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
TPA wanakwepa gaharama za kuishatakiwa lakini kiukweli hakunasehemu DP World anakwenda kuajiri unqualified staffs kwa mujibu wa masharti yake. Labda kama wanakwenda kuwa vibarua kwenye kampuni hii.

Wafanyakazi wa bandari wanachotakiwa kufanya ni kusoma sheria siyo kupata elimu. Matangazo kwa umma yanapaswa kutolewa yakionyesha msimamo mkataba au sheria za nchi wishes za mkurugenzi wa TPA

Swali; Je wafanyakazi wa Bandari wamehaikishiwa na DP world kwamba watapata ajira yakudumu? Mikataba ya DP world wameiona? Wajiulize kwanini wamepewa short notice? Wamasai wanaelewa vyema namna tunavyotumika vibaya dhidi ya wananchi wetu.

DP siyo mjamaa ni mfanyabiashara, anapoajiri alazimiki kupokea maelekezo kutoka serikalini. Watanzania hasa wafanyakazi wa bandari tafuteni wanasheria wawasimamie hawa viongozi wanatumbuliwa kila leo msiwape masikio yenu

Hao wanaotoa elimu wao wanatumia sheria gani? Usishangae wanatumbuliwa then akaja mwingine akasema mimi alikuwepo au ukasikia mkurugenzi wa TPA atumbuliwa kwakuipotosha serikali.

Hawa watu mtakumbuka ni juzi tu wametoka adharani baada ya kelele kuwa nyingi wakasema wanasikiliza maoni ya wananchi. Je kwenye wafanyakazi mnaamini watakuwa wamefanya utafiti wowote wa kimkataba.

Msivunje mkataba TPA ombeni uhamisho. Kutoka TPA to DP world wakiwashinda Mrudi zenu TPA
 
Hapo hakuna uhamisho ni kuchagua kubaki serikalini wakecheze na mitumbwi ya wavuvi kule ukerewe,rufiji,kibondo na bagamoyo au wakaajiriwe sekta binafsi kwa mkataba na wakizingua wanafukuzwa maana DP world wako tayari kuajiri upya hao wamepewa ofa baada ya kukosa kazi TPA maana wengi wao watarudi halmashauri!
Yani kitendo cha kusema utaajiriwa na DPW maana yake unaacha kazi TPA na unakwenda kuajiri DPW na kule ni masharti mapya na hakuna ajira ya kudumu sekta binafsi …hata wasipokwenda DPW wanaweza kuajiri wengine na hawalazimiki kukuajiri wakiona hufai wanaweza wakakukataa na wasikupe mkataba maana hawalazimishwi kuchukua msanii yeyote yule!
 
Hii inamaanisha pale bandarini kulijaa kundi la vilaza ambao walikwamishwa utendaji kazi. Basi hata wakifukuzwa ingekuwepo mkataba wa kuwabana DP waajiri wazawa, wakitaka kuwapa training upya au kutafuta wengine sawa ila ilimradi wawe wazawa.
 
Na hili ndio tatizo kubwa la watanzania kuogopa ufanisi wa kazi. Baada kusoma andiko lako nimejiridhisha kuwa bandari ilikua lazima ibinafsishwe ili kuongeza ufanisi. Watumishi wa bandari watakaokuwa na ubunifu kazini na kufanya kazi kwa bidii nadhani wataendana na falsafa za DP-WORLD ila hao unaowaogopesha kutokana na uzembe wao na kufanya kazi kwa mazowea hawataweza kufanya kazi na DP-WORLD. Chaguo ni lao.
 
Hapo hakuna uhamisho ni kuchagua kubaki serikalini wakecheze na mitumbwi ya wavuvi kule ukerewe,rufiji,kibondo na bagamoyo au wakaajiriwe sekta binafsi kwa mkataba na wakizingua wanafukuzwa maana DP world wako tayari kuajiri upya hao wamepewa ofa baada ya kukosa kazi TPA maana wengi wao watarudi halmashauri!
Yani kitendo cha kusema utaajiriwa na DPW maana yake unaacha kazi TPA na unakwenda kuajiri DPW na kule ni masharti mapya na hakuna ajira ya kudumu sekta binafsi …hata wasipokwenda DPW wanaweza kuajiri wengine na hawalazimiki kukuajiri wakiona hufai wanaweza wakakukataa na wasikupe mkataba maana hawalazimishwi kuchukua msanii yeyote yule!
Wanaweza kuomba uhamisho ,mimi niliomba kwa vile taasisi ilikuwa ipo kweny ukingo wa kufutwa niliomba hapo TPA wakasema hatawaki maofisa nikapata kwingine tena kwa mgongo wa serikali ,nilipewa taasisi za kuchagua mbili .

Hao wanaweza kukaa makwao kwa vile mshahara wao ni ule ule wa TPA ,wanaweza kupeleka majini utumishi then kule wataangalia sehemu gani kuna upungufu wawapeleke au watafute wenyewe.

Kuhusu vyama vya wafanyakazi hapo ndio utajua hawana kazi ,hatotoa neno ng'o japo watu wanachangia.
 
Mbona Bandari zipo nyingi tu wakaongeze ufanisi Bandari ya Tanga au Mtwara.
 
Hii inamaanisha pale bandarini kulijaa kundi la vilaza ambao walikwamishwa utendaji kazi. Basi hata wakifukuzwa ingekuwepo mkataba wa kuwabana DP waajiri wazawa, wakitaka kuwapa training upya au kutafuta wengine sawa ila ilimradi wawe wazawa.
Ukiachana na ukilaza pia ni washirikina mno.

Yaani hawasiti kuua mtu anayewakwamisha kwenye mambo yao.
 
Ukiachana na ukilaza pia ni washirikina mno.

Yaani hawasiti kuua mtu anayewakwamisha kwenye mambo yao.
Mi nawashauri wafanyakazi wasio wavivu na wanaopenda ku build their career waende DPW lakini wale wavivu kuamka na kufanya kazi kwa Tija wabaki TPA….
Lakini pia wale wenye umriankuanzia miaka 45 waende tuu DPW kama wako tayari kufanya kazi ….

Lakini kwa wabongo wanavyo ogopa maisha lazima wabaki TPA
 
Back
Top Bottom