Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,848
- 20,697
Miaka minne hii isiwafanye msherehekee kupindukia.Narudia hakuna Uhuru usio na mipaka.Na kumbuukeni kwamba 2025 kuna uchaguzi,na Samia atakuwa mgombea tu kama wengine na ni lazima apitishwe na Chama.Mtanyooka tu na propaganda zenu!
Zama zimebadilika. Hakuna kutekana tena wala kubambikiana kesi za uhujumu uchumi.