Dkt Mwigulu anaingia katika rekodi ya Mawaziri wachache wa Fedha ambao hawajatajwa popote katika CAG report ya ubadhirifu.

Nkerejiwa

Senior Member
Feb 25, 2014
146
214
View attachment 2804314
Mwigulu ameeleza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndo sababu ya CAG kama taasisi/ofisi kuongezewa bajeti zaidi ya 60% ya awali ili aweze fanya ukaguzi kila kona na kila angle.

Leo hii CAG wa Tanzania ndo mkaguzi pekee katika EAC ambae ana bajeti kubwa, na haijawahi tokea hili chini ya Waziri yeyote wa Fedha nchi hii!

Dr. Mwigulu anaingia katika list ya Mawaziri wachache wa Fedha ambao hawajatajwa popote katika CAG report wala PAC report kuhusika na ubadhirifu wa kitu chochote ndani ya nchi hii!

Mwigulu, ndo miongoni mwa waziri wachache wa Fedha nchi hii ambao wamewahi vutia mitaji mingi, financial capitals kuingia katika uchumi wetu na miradi ya kimkakati kwa masharti rafki na practical.

Hakuna wakati nchi hii report ya CAG yenyewe imewahi kukiri kwamba 90% y a Mapendekezo ya mkaguzi katika miradi ya maendeleo yamefanyiwa kazi na miradi imetekelezwa kwa wakati zaidi ya wakati huu.

Hakuna wakati nchi hii ripoti ya CAG na ile ya PAC zimewahi jadiliwa kwa uwazo wa namna hii.

Tanzania imekua nchi ya kwanza kuwa na hati safi ya mapitio (Review) toka IMF katika mikopo ya ECF kwa ukanda huu wa EAC.

Review hii ina maana kwamba, Mapato yote ya nje, mikopo na misaada (grants) vimetumika kama viliyokusudiwa.

Hivyo basi uimara wa ofisi ya CAG ni matokeo ya uimara wa uongozi wa Wizara ya Fedha kwa sababu;

1. Ndo parent Ministry na Bajeti inapatishiwa huko.

2. Kwa sababu utashi wa uongozi wa Wizara ndo unaeza determine uimara wa Taasisi ya CAG.

Hizi ndo roles Mwigulu ka play hadi leo tuna taasisi imara ya CAG yenye financial resources za kutosha kufanya wanachofanya.

Kwa mara nyingine ukweli umezishinda Propaganda za wabaya wake.
 
View attachment 2804314
Mwigulu ameeleza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndo sababu ya CAG kama taasisi/ofisi kuongezewa bajeti zaidi ya 60% ya awali ili aweze fanya ukaguzi kila kona na kila angle.

Leo hii CAG wa Tanzania ndo mkaguzi pekee katika EAC ambae ana bajeti kubwa, na haijawahi tokea hili chini ya Waziri yeyote wa Fedha nchi hii!

Dr. Mwigulu anaingia katika list ya Mawaziri wachache wa Fedha ambao hawajatajwa popote katika CAG report wala PAC report kuhusika na ubadhirifu wa kitu chochote ndani ya nchi hii!

Mwigulu, ndo miongoni mwa waziri wachache wa Fedha nchi hii ambao wamewahi vutia mitaji mingi, financial capitals kuingia katika uchumi wetu na miradi ya kimkakati kwa masharti rafki na practical.

Hakuna wakati nchi hii report ya CAG yenyewe imewahi kukiri kwamba 90% y a Mapendekezo ya mkaguzi katika miradi ya maendeleo yamefanyiwa kazi na miradi imetekelezwa kwa wakati zaidi ya wakati huu.

Hakuna wakati nchi hii ripoti ya CAG na ile ya PAC zimewahi jadiliwa kwa uwazo wa namna hii.

Tanzania imekua nchi ya kwanza kuwa na hati safi ya mapitio (Review) toka IMF katika mikopo ya ECF kwa ukanda huu wa EAC.

Review hii ina maana kwamba, Mapato yote ya nje, mikopo na misaada (grants) vimetumika kama viliyokusudiwa.

Hivyo basi uimara wa ofisi ya CAG ni matokeo ya uimara wa uongozi wa Wizara ya Fedha kwa sababu;

1. Ndo parent Ministry na Bajeti inapatishiwa huko.

2. Kwa sababu utashi wa uongozi wa Wizara ndo unaeza determine uimara wa Taasisi ya CAG.

Hizi ndo roles Mwigulu ka play hadi leo tuna taasisi imara ya CAG yenye financial resources za kutosha kufanya wanachofanya.

Kwa mara nyingine ukweli umezishinda Propaganda za wabaya wake.
Uko sahihi kabisa. Hata MWIGULU ni haki yake kuwa na Chawa wa hiari au wa kulipwa.
 
View attachment 2804314
Mwigulu ameeleza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndo sababu ya CAG kama taasisi/ofisi kuongezewa bajeti zaidi ya 60% ya awali ili aweze fanya ukaguzi kila kona na kila angle.

Leo hii CAG wa Tanzania ndo mkaguzi pekee katika EAC ambae ana bajeti kubwa, na haijawahi tokea hili chini ya Waziri yeyote wa Fedha nchi hii!

Dr. Mwigulu anaingia katika list ya Mawaziri wachache wa Fedha ambao hawajatajwa popote katika CAG report wala PAC report kuhusika na ubadhirifu wa kitu chochote ndani ya nchi hii!

Mwigulu, ndo miongoni mwa waziri wachache wa Fedha nchi hii ambao wamewahi vutia mitaji mingi, financial capitals kuingia katika uchumi wetu na miradi ya kimkakati kwa masharti rafki na practical.

Hakuna wakati nchi hii report ya CAG yenyewe imewahi kukiri kwamba 90% y a Mapendekezo ya mkaguzi katika miradi ya maendeleo yamefanyiwa kazi na miradi imetekelezwa kwa wakati zaidi ya wakati huu.

Hakuna wakati nchi hii ripoti ya CAG na ile ya PAC zimewahi jadiliwa kwa uwazo wa namna hii.

Tanzania imekua nchi ya kwanza kuwa na hati safi ya mapitio (Review) toka IMF katika mikopo ya ECF kwa ukanda huu wa EAC.

Review hii ina maana kwamba, Mapato yote ya nje, mikopo na misaada (grants) vimetumika kama viliyokusudiwa.

Hivyo basi uimara wa ofisi ya CAG ni matokeo ya uimara wa uongozi wa Wizara ya Fedha kwa sababu;

1. Ndo parent Ministry na Bajeti inapatishiwa huko.

2. Kwa sababu utashi wa uongozi wa Wizara ndo unaeza determine uimara wa Taasisi ya CAG.

Hizi ndo roles Mwigulu ka play hadi leo tuna taasisi imara ya CAG yenye financial resources za kutosha kufanya wanachofanya.

Kwa mara nyingine ukweli umezishinda Propaganda za wabaya wake.
Heri yako umepata ajira ya kuja kumpamba Mwigulu wenu huyo, ebu niambie CCM nani sio jambazi pale wewe mleta mada.

Tanzania ni ngumu kutoka coz walio wengi elimu shida ni njaa tu, kama wewe mleta afadhali umeajiriwa hongera sana, sasa danganya kondoo wa Tanzania😁😁😁😁😁
 
Unaweza Kuta wewe umeandikiwa ukapewa...Wizi wote na deal zote za kutuibia nchi hii zinasababishwa na watu wajinga kama wewe...kama tungekua na watu wanajitambua ni tofauti...Kundi kubwa la wajinga linatuumiza wote
 
Tundu Lisu: Machawa wako kila kona
Kweli kabisa Mkuu. Fedha za Watanzania zinapotea Kwa kuliwa na wachache huku aliyezitoa kakaa kimya halafu anatokea Zwazwa mmoja anasema mtoaji hahusiki? Unatokae fedha mwezi huu zinatafunwa, miezi mitatu mbele unatoa tena nyingine, Kwa nini tusione hiyo ni channel yako ya utafunaji? Yaani mwandishi alitegemea ripoti ya CAG iseme Waziri Mwigulu alitafuna bil.1.9 za mradi filani ndo aone Waziri kakwiba?
 
Swali.
1. Kwamba kutotajwa inamaanisha ukamilifi wake?
2. CAG aliwahi kulalamika kuhusu kushindwa kutimiza kazi zake kwa ufanisi kutokana na ufinyo wa bejeti?
Na kama siyo hii nyongeza tuiiteje, kupanda kwa gharama za maisha na uendeshaji au hongo ili aje na ripoti kama hiyo?
3. Mawaziri gani wametajwa? ( mdau hapo juu pia ameuliza swali hili hakumjibu)
Tupe orodha tujue yumo/hayumo na aina ya uhusika kama ni direct /indirect.
 
Heri yako umepata ajira ya kuja kumpamba Mwigulu wenu huyo, ebu niambie CCM nani sio jambazi pale wewe mleta mada.

Tanzania ni ngumu kutoka coz walio wengi elimu shida ni njaa tu, kama wewe mleta afadhali umeajiriwa hongera sana, sasa danganya kondoo wa Tanzania😁😁😁😁😁
Wewe tupo pamoja Kila siku humu nawaambia nchi yetu inaongozwa na Majambazi...Hilo halipingiki ndio maana siku hizi magari hayatekwi tena kumbe watu wamebuni mbinu nyepesi ya ujambazi.

Wanafanya ujambazi kwenye kiyoyozi harafu bunduki wanatushikisha wananchi tuwAlinde🙆🤣🙆🤣​
 
Mwigulu, ndo miongoni mwa waziri wachache wa Fedha nchi hii ambao wamewahi vutia mitaji mingi, financial capitals kuingia katika uchumi wetu
Wewe utakuwa ama ni mwigulu mwenyewe, au chawa wake au mke wake..

Kama kweli kuna fedha nyingi umevutia nchini, ni kwa nini umesababisha mzigo wa tozo nyingi zaidi kwa wananchi kuwahi kuwepo katika historia ya nchi?!
 
View attachment 2804314
Mwigulu ameeleza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndo sababu ya CAG kama taasisi/ofisi kuongezewa bajeti zaidi ya 60% ya awali ili aweze fanya ukaguzi kila kona na kila angle.

Leo hii CAG wa Tanzania ndo mkaguzi pekee katika EAC ambae ana bajeti kubwa, na haijawahi tokea hili chini ya Waziri yeyote wa Fedha nchi hii!

Dr. Mwigulu anaingia katika list ya Mawaziri wachache wa Fedha ambao hawajatajwa popote katika CAG report wala PAC report kuhusika na ubadhirifu wa kitu chochote ndani ya nchi hii!

Mwigulu, ndo miongoni mwa waziri wachache wa Fedha nchi hii ambao wamewahi vutia mitaji mingi, financial capitals kuingia katika uchumi wetu na miradi ya kimkakati kwa masharti rafki na practical.

Hakuna wakati nchi hii report ya CAG yenyewe imewahi kukiri kwamba 90% y a Mapendekezo ya mkaguzi katika miradi ya maendeleo yamefanyiwa kazi na miradi imetekelezwa kwa wakati zaidi ya wakati huu.

Hakuna wakati nchi hii ripoti ya CAG na ile ya PAC zimewahi jadiliwa kwa uwazo wa namna hii.

Tanzania imekua nchi ya kwanza kuwa na hati safi ya mapitio (Review) toka IMF katika mikopo ya ECF kwa ukanda huu wa EAC.

Review hii ina maana kwamba, Mapato yote ya nje, mikopo na misaada (grants) vimetumika kama viliyokusudiwa.

Hivyo basi uimara wa ofisi ya CAG ni matokeo ya uimara wa uongozi wa Wizara ya Fedha kwa sababu;

1. Ndo parent Ministry na Bajeti inapatishiwa huko.

2. Kwa sababu utashi wa uongozi wa Wizara ndo unaeza determine uimara wa Taasisi ya CAG.

Hizi ndo roles Mwigulu ka play hadi leo tuna taasisi imara ya CAG yenye financial resources za kutosha kufanya wanachofanya.

Kwa mara nyingine ukweli umezishinda Propaganda za wabaya wake.
Utakuwa muha ww, maana ninyi ndo mpo vzr kwenye uchawa!!
 
View attachment 2804314
Mwigulu ameeleza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndo sababu ya CAG kama taasisi/ofisi kuongezewa bajeti zaidi ya 60% ya awali ili aweze fanya ukaguzi kila kona na kila angle.

Leo hii CAG wa Tanzania ndo mkaguzi pekee katika EAC ambae ana bajeti kubwa, na haijawahi tokea hili chini ya Waziri yeyote wa Fedha nchi hii!

Dr. Mwigulu anaingia katika list ya Mawaziri wachache wa Fedha ambao hawajatajwa popote katika CAG report wala PAC report kuhusika na ubadhirifu wa kitu chochote ndani ya nchi hii!

Mwigulu, ndo miongoni mwa waziri wachache wa Fedha nchi hii ambao wamewahi vutia mitaji mingi, financial capitals kuingia katika uchumi wetu na miradi ya kimkakati kwa masharti rafki na practical.

Hakuna wakati nchi hii report ya CAG yenyewe imewahi kukiri kwamba 90% y a Mapendekezo ya mkaguzi katika miradi ya maendeleo yamefanyiwa kazi na miradi imetekelezwa kwa wakati zaidi ya wakati huu.

Hakuna wakati nchi hii ripoti ya CAG na ile ya PAC zimewahi jadiliwa kwa uwazo wa namna hii.

Tanzania imekua nchi ya kwanza kuwa na hati safi ya mapitio (Review) toka IMF katika mikopo ya ECF kwa ukanda huu wa EAC.

Review hii ina maana kwamba, Mapato yote ya nje, mikopo na misaada (grants) vimetumika kama viliyokusudiwa.

Hivyo basi uimara wa ofisi ya CAG ni matokeo ya uimara wa uongozi wa Wizara ya Fedha kwa sababu;

1. Ndo parent Ministry na Bajeti inapatishiwa huko.

2. Kwa sababu utashi wa uongozi wa Wizara ndo unaeza determine uimara wa Taasisi ya CAG.

Hizi ndo roles Mwigulu ka play hadi leo tuna taasisi imara ya CAG yenye financial resources za kutosha kufanya wanachofanya.

Kwa mara nyingine ukweli umezishinda Propaganda za wabaya wake.
Acheni kujimwambafy...bado tuna safari ndefu ya kuwashughulikia mafisadi
 
Back
Top Bottom