Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,399
- 191,512
Ni mtazamo tu masela msijenge chuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Salam zako za rambi rambi zimekaa kimgomo sana . Tutaangalia namna ya kuzifikisha.
Ni mtazamo tu masela msijenge chuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Salam zako za rambi rambi zimekaa kimgomo sana . Tutaangalia namna ya kuzifikisha.
Kwanza unapendaje pesa za mtu?! Inabidi uwe na kichaa kupenda pesa ya mwingine. Mtu atafute wewe utumie?![emoji23][emoji23][emoji23] swali zuri. Anapenda hela anazake au kusumbuana tu. Ukipenda pesa uwe na pesa au ujue kutafuta au vipi mkuu.??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu saana mkuu una hustle afu mtu aje atumie kiulainiKwanza unapendaje pesa za mtu?! Inabidi uwe na kichaa kupenda pesa ya mwingine. Mtu atafute wewe utumie?!
Aisee hizi picha sio za kushare bila discretion.....ITAKUWA AME PATA CHANJO HUYO MMEWE FIRST DOZI YA J.J
View attachment 1887524View attachment 1887525
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Najiskia vibaya coz am also victim na haya majanga ya ndoa.Dah! Ndoa hizi..[emoji23] it only gets worse kila kuchwapo.. Anyway tuendelee kujifukiza
Hii ishu imetokea Inyala ama wewe ndo wa Inyala?Sad, alikuwa single mom....watu wakachonga sana. Huolewi coz ni Malaya, kama si Malaya mbona umezalishwa hujaolewa...na blah blah kibao.
Akaona isiwe shida kwa kuwa natongozwa ngoja niolewe na yeyote yule ...akajivutia msukuma ambaye si mtumishi bali mkulima.Kumbe msukuma nae kaenda kimalengo. Mwanamke kanunua uwanja kaanza kujenga bwana kaz yake kusimamia mama yupo job. Mara msukuma kaanza mbwembwe, hamtaki mtoto aliyemkuta, anamhasa mkewe ampeleke kwa baba ake. Mke alishatelekezwa muda huyo baba anamtoa wapi.
Mwalimu ikabidi amwambie bas tuachane, mwanaume kamwambia ukitaka tuachane bas tuuze nyumba tugawane pesa ndo tuachane. Mwanamke kasema siuzi coz ni yangu na nimejenga kwa ajili ya watoto. Ugomvi huo umesababisha mwanaume ajifanye ameaga anaondoka kumbe kaenda kunoa panga kitaa. Ndo ivo mwanamke kaoga, ainame apakae mafuta kakatwakatwa kama mnyama.
Sad,sad,sad....yaan kumbe jamaa nae kanywa sumu now tumepata taarifa nae kakata moto huko hospital. SINGLE MOMZ MSIFORCIWE....MABACHERORS MSILAZIMISHE NDOA. MARRIAGE IS NOT EVERYTHING! Inyala mbeya.
Ingekuwa ndio hivyo basi wanawake wote wangengoja hadi huo umri kuolewa .Usiwaharakishe hakuna cha 39 ndoa ni ndoa tu hata kama ni 45
Kuna msemo fulani wa kizungu unasema, Unmarried women like to keep other women unmarried like them.Atazaa vipi 45, mdada inabidi awahi tu kuolewa
Ha ha ha ha ha hicho kitabu kilichokwambia ndoa ipo kaajiri ya kukutanisha vikojoleo nadhani utakuwa ni wa freemasons [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani ndoa ni kuzaa tu,ndoa ni kuburudisha vikojoleo kiuhuru
Kwa kuwa ni jf dunia ya anonymity you can lie all day. In real life inawezekana sivyo usemavyo.Mtampata mara ngapi tena? Mnapendaga kuigiza muonekane wema. My dia life is about choice. Nakumbuka sikuwahi kukurupuka kwenye mahusiano nilikuwa nikikaa hata nika 3 yrs bila mtu siku nakuja kupata mtu anakuja exactly kitu moyo unapenda. Wewe tukana upendavyo ila usifikiri kila mtu anakurupuka kuanzisha mahusiano. Kuwa mpole.
Wa namna hiyo anakuja na wewe unamuongezea ujauzito mwingine kisha unapiga chini ili awe busy na watoto.Mm nina ndugu yangu alimuoa mwanamke tena mke wa pili aisee alikua mwanamke wale wanaojua kuigiza upendo aisee utasema huyu mke kweli kumbe alifuata senti za ndugu ikiwa yy hana zake huyo.mwanamke. maisha yameenda baadae pesa ikakata weee mke wa pili mpenda pesa mbona alisitisha ndoa akakimbia akamuacha mke wa kwanza akaenda olewa tena na mtu ambae mambo fresh. Sema Mungu alimlipa maana kazalishwa mtu na jamaa anakataa mtoto c wake akihesabu muda alomuoa anaona kapigwa sasa mtoto anampeleka kwa ndugu yangu nayeye hamtaki maana muda aliomuacha hakuwa na mimba hivyo mwanamke tuseme alikua mdangaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri huo unapata wapi mwanaume kijana. Cha zaidi atapata wazee wenye matatizo ya kiafya.....Inategemeana na jinsia mkuu.
Kwa wakiume hiyo miaka ni sawa tu kwa wanawake lazma kutakua na ukakasi kidogo mkuu.
Labda aolewe na mtu mzima mwenzie ila vijana watamsumbua sana sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alaf mwisho wa siku anakuja kusema kuwa wanaume wote ni mbwa, kumbe umalaya wake ndio umemfanya awaache wanaume wanaojielewa awafate mbwa wenzie
Madokta wa UD inabidi wafanye utafiti kwann mabinti wazuri kimaumbile huwa na zero brain capacity?!Hela hana na akili pia hana!! Sasa mwanaume wa hivyo wa nini? Poleni wafiwa.
Maneno yako sizani kama yanafanana na maisha ya ndoaIngekuwa ndio hivyo basi wanawake wote wangengoja hadi huo umri kuolewa .
Unachosema hapo ni sawa na mtu asome awe na degree yake kisha umshauri kuwa asiwe na haraka ya kuomba kazi. Atulie home acheki tu movies, ale bata asubirie hadi afike umri wa kustaafu (kuanzia miaka 50+) then ndio akaanze kutembeza bahasha kuomba kazi kwenye makampuni.
Hivi unadhani kuishi na mtu nyumba moja maisha yako yote kisha mjenge familia ni swala la kujifunza na kulizoea ndani ya wiki?! Plus katika umri huo unakwenda kwenye ndoa kwa malengo yapi?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ww ni mwanamke,na umeshafika second half ya miaka 30 yaani above 35+ unaitafuta 40 wewe ndoa achana nayo. Umri wa kutafuta mahusiano serious kwa mwanamke ni kuanzia 17 (kwa wale wenye miili inayokua mapema na kipevuka mapema, ila most ni kuanzia 19 au 20) hadi 24.
Kuanzia 25 hadi 30 hapo wewe kama mtoto wa kike tunaita lala salama zone. Jua unatembelea gari inayoanza kufeli break na muda wowote inaongeza kasi sababu inaelekea korongoni kujibamiza kwenye mawe yaliyo huko chini kina kirefu.
Choice ni yako kuruka ikiwa katika mwendo wastani au usubiri mauti.
Kwa kutaja Kabila Mnatukosea sana adabu, Mbona tupo Wasukuma wenye roho ya utu wema!Imetokea Leo mkuu,msukuma kafanya yake