Daah mzee baba hawa watu pasua kichwa saanaWa namna hiyo anakuja na wewe unamuongezea ujauzito mwingine kisha unapiga chini ili awe busy na watoto.
Hapo tayr kashamzalisha 2 na alimkuta na 1 wa mtu mwingine kamkimbia kawekwa mwingine jumla 4 baba watatuWa namna hiyo anakuja na wewe unamuongezea ujauzito mwingine kisha unapiga chini ili awe busy na watoto.
Inyara ya Halengo RC au ya pepline mteremkoni relini mkuuNiweke picha aliyokatwa katwa au?
Unatolea mfano as if ni uhalisia. Je, ni ndoa ngapi za namna hiyo hutokea......!Hapo wakufanana naye hakosekani,.2016 nilishuhudia ndoa Baba 50yrs na mke 40 na kila mtu hajawahi olewa kuoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu ,,Najiskia vibaya coz am also victim na haya majanga ya ndoa.
Mungu atusamehe.
ndo ile ishu ya mabula nn nmeona kwa millard ayo?
Ewaaa na wanasema mwana hajafa, sasa mtoa taarifa hapa kanivuruga
Victims ni weng sana, cha msing kusonga mbeleNajiskia vibaya coz am also victim na haya majanga ya ndoa.
Mungu atusamehe.
Sio rahisi saana inahitaji imani kweli kweliVictims ni weng sana, cha msing kusonga mbele
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mzee na wewe ni msukuma nini?Anae jali sana pia ndie anae umiza sana akichokozwa kupitiliza.