Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,053
Ila nimeiskia asubuhi kwenye media,ila tu sikuipata vizurisiamini hii story till i get evidence, mtu anaweza tunga story tu, kaa ni kweli weka ushahidi, asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nimeiskia asubuhi kwenye media,ila tu sikuipata vizurisiamini hii story till i get evidence, mtu anaweza tunga story tu, kaa ni kweli weka ushahidi, asante
Hivyo hivyo, tatizo tulio wengi huarakisha lakini kwa Mungu hakuna lishindikanaloNoma iyo mkuu. Sema duniani kila kitu kinawezekana, unachoona hakipo wenzio washakizoea.
Kwa maana Nyingine Dashboard inaonyesha Muda wa service umepita coz kilometers zimesoma SanaMimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa
Kuwa mpole nina kazi yangu sitegemei , pesa ta mwanaume. mwanaume nilie nae anatimiza majukumu yake kama mme.usicoment kwa hasira life is all about choice.Kwa maana Nyingine Dashboard inaonyesha Muda wa service umepita coz kilometers zimesoma Sana
Mtampata mara ngapi tena? Mnapendaga kuigiza muonekane wema. My dia life is about choice. Nakumbuka sikuwahi kukurupuka kwenye mahusiano nilikuwa nikikaa hata nika 3 yrs bila mtu siku nakuja kupata mtu anakuja exactly kitu moyo unapenda. Wewe tukana upendavyo ila usifikiri kila mtu anakurupuka kuanzisha mahusiano. Kuwa mpole.Wanawake wa aina yako ni wapumbavu wa mwisho! Hauna mapenzi ya kweli,Wewe unachoangalia ni pesa! Siku zikiisha na wewe unaingia mitini.MSALITI kama wewe hupaswi kuachwa kuishi! Badala ya kuangalia mapenzi ya dhati unaangalia material things! Utapata tu mwenye pesa alafu akutoe kafara! Kwa kuwa hana mapenzi ya kweli na wewe siku akiugua au akafukuzwa kazi akafilisika ndio mwisho weni! MUNGU akusaidie!
Ndio mahitaji yangu yote nayamudu coz nafanya kazi, una swali jingine?
We umeaminije hii story?Poleni wafiwa ila wasukuma mna roho mbaya
C.c SHIMBA YA BUYENZE
Sasa watu wanasikitika vitu vya kusadikikaKwani lazima wewe uamini? Ukiona chai pita kule. Wengine watapita hapa, tukaonane mbele ya safari.
Bas sitii neno coz umeconclude mkuuto yeye ameamua tu kutengeza story msukuma .
Nikuambie mtu yeyote anaweza kuua Kwa staili yeyote kama ubinadamu utaondoka kwake Kwa sababu ya msongo wa mawazo, hii kuwasema wasukuma Kwa sababu Tu ya tukio moja Hilo . Yaonekana to yeye anachuki binafsi sijui aliitoa wapi aangalie naye Kwa chuki hii ya kuwachukia wasukuma ajikute anaua msukuma
Wangapi huku usafani wanauana, wanakatana mapanga wanajeruhiana aliwahi kusema na sababu ni za wivu Tu wa mapenzi
Hili tukio lichukuliwe kama binadamu Tu kafanya mauaji.
Ila inauma Darajani kila mtu kaongea lake
Nawewe karibu Kibirizi huku kigoma Saa2 tunaenda kumzika fisi aliyekamatwa Jana usiku ana miguu ya binadamu Na mikono ya chumaKaribu inyala mbeya,Leo SAA 4 tunaanza safari kwenda zika mboz.Asante kwa ulichojisikia kucomment huenda kweli ni kichekesho kwako mkuu