Wanaume mmebaki wachache. Mnalalamika sana, nani kwani kuvumilia shida ndo kuwa wife material?Humu sijui kwa nini watu wakisikia mwanamke anapenda pesa wanakuwa triggered kweli kweli na wanakuwa wakali kama pili pili.
Sijui nani aliyetudanganya wanaume kwamba mapenzi ya kweli lazima yawe struggle love.
Kuna kitu hakipo sawa, btw poleni wafiwa.
Nani kakwambia mimi natafuta mme? Kuwa mpole siokotioti ovyo.Na tutakutia mpaka huko chini kuwe kweusi, hatuoi wanawake wa kariba yako.
After all mimi sitafuti mme maana tiyari ninae. Sasa huyu alojifanya ana mapenzi ya dhati yupo wapi? Mbona kauliwa?Nyie ndo mnaliwa na kubwagwa na wenye hela maana unajionesha kabisa umefata hela.
Huyo mtoto sijui anaachwa katika hali gani daaSad, alikuwa single mom....watu wakachonga sana. Huolewi coz ni Malaya, kama si Malaya mbona umezalishwa hujaolewa...na blah blah kibao.
Na hao ndo wanaume wanawatakaga ni chapa ilale tuu, kuja kushtuka ana 39 na huyo mwenye pesa hajampata bado😂😂Nyie ndo mnaliwa na kubwagwa na wenye hela maana unajionesha kabisa umefata hela.
Huyo mume wako angesoma hapa angekuacha tu maana angejua akifulia utamuachaAfter all mimi sitafuti mme maana tiyari ninae. Sasa huyu alojifanya ana mapenzi ya dhati yupo wapi? Mbona kauliwa?
Imagine mtu kaoa demu haliwezi mpenda kama hana hela inamaana mme wake akifulia tu atakimbiaNa hao ndo wanaume wanawatakaga ni chapa ilale tuu, kuja kushtuka ana 39 na huyo mwenye pesa hajampata bado![]()