😂😂😂Akili kisoda
😂😂😂Akili kisoda
Ananikera kinoma mzaramo yule... Like non-professional[emoji53][emoji23][emoji23][emoji23]
sichukii mtu mimi ila sipendi unafiki pia uzalendo na mapenzi hayafundishwi.Usiwachukie hivyo Watz wenzako mkuu hao ni vijana wawakilishi wa hili taifa huko Afcon usiwatusi.
Sawa bana Bashite, hii inathibitisha zaidi kuwa ni Bashite. Hebu kula dawa kwanza 💉Unaweza kuwa wewe ndio bashite mkuu, endelea tu kuitafakari.
Simu inaisha charge bado unakomaaMcheza rede wa CCM stars a.k.a mwendawazimu mlinda goal naye wamooo,kha
si mtoto wa 1995 huyu?picha kwa hisani ya dada langu la nguvu, sky eclat
View attachment 1142939
Hivi kumbe ni mzaramo.Ananikera kinoma mzaramo yule... Like non-professional[emoji53]
Mzaramo wa Mkuranga huko😂😂Hivi kumbe ni mzaramo.
Au wa ki-beat.Mzaramo wa Mkuranga huko😂😂
MKIRU[emoji23][emoji23][emoji23]Au wa ki-beat.
Kweli kabisa ShadeeyaYaani acha tu Mtani. Ila watakaokuja na kelele Mtani wote sitawajibu ata. 😀😀😀😀
Sababu nilichokiona humu ukiwa against na uzi unavyosema hata kama sio mpenzi wa siasa wanajua basi we ni CCM.
Hahahhahahaha.....nimeipenda hii
Umeona eeehHahahhahahaha.....nimeipenda hii