Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Hii kauli ni ya makonda na wala sio ya serikali: unajua anapenda sana kumfurahisha mkulu sasa kwenye kujipendekeza kwake kuna pitiliza mpaka unakuta unakuta anakengeuka na kuongea vitu visivyo na mantiki; sasa hata bunge zima ni kama linamchukia.
Oooh! Sikuwa nalijua hilo Mtani.

Serikali wa naweza tuharibia mpira kabisa
ona kauli ile kama ile ya mwakyembe kwamba wachezaji wa kigeni mwisho kucheza wa 5. siku zote tumekuwa tukitumia wachezaji wa nyumbani taifa stars ilifika wapi;
Ila niliona sehemu wanasema mpaka watakapokaa kuijadili na wahusika kwani mpira hauendeshwi kwa kauli za mdomoni bali kwa kanuni na taratibu ambazo huwa wanasema ni lazima ziwe kimaandishi

Hahaha au joto la Brazilian limemwingia pia.
ama lengo ni ku waakoa na hamsa tulizopanga kuwapiga mwaka huu
Hahahahaa. Hilo msahau Mtani kwani patachimbika msimu ujao.
 
Duuh! Niulize Mtani kwani bado yupo Misri?
Yupo anaendeleza uhamasishaji;

Juzi kawachukulia njumu mpya za adidas kila mchezaji;

Hahaha ushauri wangu akirudi apumzike
apunguze publicity awe kama mrisho gambo mkuu wa mkoa wa arusha
 
Nao wachezaji watangaze msimamo, wasuse mechi, upuuzi wa ccm siyo wa kuuendekeza.Bure kabisa ccm.
 
Makosa ya mtu ambaye mnamwita mjinga kweli ndio yawafanye welevu waitenge taifa starts?, tujithamini upya vijana wetu wanahitaji sapoti yetu na ni vijana wa TZ sio wa CCM. I beg to submit to you genius cohort.
 
Back
Top Bottom