MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
mpe 👉👅Amen mkuu
Mungu atasaidia kipigo cha mbwa koko kwa wanaCCM
Sanchez magoli kesho CCM mkishinda nikupe nini?
mpe 👉👅Amen mkuu
Mungu atasaidia kipigo cha mbwa koko kwa wanaCCM
Sanchez magoli kesho CCM mkishinda nikupe nini?
Wewe unadhani angepewa odds ngapi kama sio 0.0001Ha ha ha ha tatizo uliniambia niachane na yale makitu... Ile ningewaliza sana akina kanjibah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unadhani angepewa odds ngapi kama sio 0.0001
Mungu tuepushe na huu mpasuko unapelekea mpaka mambo ya kitaifa kuwa ya kundi fulani ndani ya Taifa. Marehemu baba wa Taifa angekuwa hai, angekemea haya mambo kwa nguvu zake zote sijui wastaafu wengine kwanini wanakaa kimya kuona Taifa letu linavunjika vipande vipandeInafurahisha hata mataifa tuliyodhani yana matatizo ya kisiasa na kikabila kama vile Algeria na Kenya kutumia yanayoendelea huko Misri kuleta Umoja wa Kitaifa na kuwa kitu kimoja ila hali hiyo ni tofauti hapa kwetu ambapo tusio wana CCM tumetangaziwa wazi kwamba ile team ya CCM ambao kila mtu anajifunzia kunyoa haituhusu.
Kesho CCM hao wanaenda kukutana na mbweha the fox wa jangwani toka Algeria. Mara ya mwisho CCM hao wa Lumumba walipigwa 7-0.
Naomba nichukue nafasi kumuomba Mungu awabariki Algeria wapige goals 9-0 hapo kesho.
Amen.
Jana alienda kuwanunulia viatu wachezaji kwenye malls za Cairo.. Sasa sijui IPO kwenye program ya kocha ama ...!!
Anavaaga hiyo nanihiii kwan....Hahhahahaa mara watanzania wamekuwa Waalgeria hhahaa...tumeigaya nchi yetu...lol..makonda huko tyt imebanaa
Uliwaona Watanzania wenzako walivyomaliza AFCON kwa style ya pekee😃😃😃Daah! Haya bana Mtani wacha niisubirie saa nne (22:00hrs) nione Watanzania wenzangu watayaaga mashindano wa style gani.
Swadakta manenop yako barabara kabisa ShadeeyaHahahaaa. Nimechekaa.
Ila usifanye hivyo Pacha sababu mwisho wa siku Taifa Stars itabakia kuwa ya Watanzania wote na si ya mtu mmoja au Chama kimoja.
mkuu naomba updates za mechi husika.Daah! Hatimaye nimefika mwisho. Nawaza tu Stars akipata hata suluhu itakuwaje humu. Teh teh teh.
NB: Mtanzania mimi sio mwanasiasa jamani.
mkuu naomba updates za mechi husika.
Haya mambo hata angekuwa Nyerere aingeweza ikiwa wananchi hawatasikilizwa? Umejua sababu ya huo mpasuko? Ukijua haina haja ya Nyerere hata wewe unaweza kufix kama upo kwenye uongozi.Mungu tuepushe na huu mpasuko unapelekea mpaka mambo ya kitaifa kuwa ya kundi fulani ndani ya Taifa. Marehemu baba wa Taifa angekuwa hai, angekemea haya mambo kwa nguvu zake zote sijui wastaafu wengine kwanini wanakaa kimya kuona Taifa letu linavunjika vipande vipande