Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Mcheza rede wa CCM stars a.k.a mwendawazimu mlinda goal naye wamooo,kha
si mtoto wa 1995 huyu?picha kwa hisani ya dada langu la nguvu, sky eclat
1561900745303.png
 
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
ndugu zake kina le kibamia,j muro
najuana na mafundi kama watano waliojenga kasri lake pale igoma mwanza ambalo furnitures zake tu zimecost 54 millions ths,ni hivi mama yake,mrs albert bashite hana shida kabisa ni mtu poa na wamefanana hadi sura na shape la msambwanda ila mzee albert bashite ex soldier aliyepigana vita ya idd amin ana roho mbaya sana iliyorithiwa na Daud sema yeye anajua kuificha kwa kivuli cha dini
mzee bashite hata mafundi walikuwa wakinywa maji kwenye bomba akikuona unafukuzwa kazi...kama unakumbuka kipindi wanahojiwa na zamaradi mwanzoniiiiiiiii wakati wananchi tunampenda mzee alikuwa mkavu kauzu kishenzi ,mama wakati anataja jina la paul makonda alikuwa very uncomfortable hadi anajikunakuna shingoni
 
Naona kuna tatizo mahali flan. Iweje ameenda kiongozi kwenda kuwatia moyo nyiye mnaichukia timu yetu?? Mbona walienda wabunge wa vyama mbalimbali hamkuwazomea??
Jamani, tuache chuki binafsi tujiunge kwa pamoja kuiombe dua njema Taifa Stars yetu. Hivi tuseme; Kama mchawi wetu alifanya vyema halafu ghafla mkasikia kuwa Mbweha wa jangwa wameuogopa mwanga wa Nyota yetu halafu wakachapwa 1 - 0 tu mtalala wapi nyiye wenye roho ya korosho??
Nawaombea Taifa Stars nyota iwake wawalambe 1 - 0 hao mafisi wa jangwani. Sina chama ila ushindi wa Stars ni wetu sote ila kama ni kweli, warudishiwe ile chenji yao waliyoibiwa
 
Back
Top Bottom