Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

unajua huyu kondakta anatufanya tuikane nchi yetu..... halafu samata naye kuna kauli alizitoa sasa ikabidi niwe mkimbizi senegal, kenya na sasa algeria.

Mjirudi sasa. Nchi n yenu na siyo yake
 
Kichwani uki jaza upuuzi unakuwa mpuuzi kweli yani kwani taifa staz ni ccm mbona vyumba unayo fanyia kazi pia ni ccm si uhamie ugenini ukafanye kazi tuna pigwa tu kwa kuto jiamini wenyewe na kuji sahau tu uo nimpila so kombolela wakuu
 
Starz inashinda na inafuzu round ya 16 bora. Hayo mapepo yenu ya kuiombea mabaya starz peleka motoni huko.
 
Kiuhalisia mwenendo wa Taifa Star's Misri umetoa picha ni kiasi gani CCM inapendwa
 
lawama atatoa kwa wapinzani wa serikali na kusema ndio chanzo cha taifa stars kukanyagwa goli 3
Rich acha masikhara kabisaa
Tatu Algeria imekuwa Kenya? Subiri mvua ya magoli hahahaha
 
Back
Top Bottom