Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Naona kuna tatizo mahali flan. Iweje ameenda kiongozi kwenda kuwatia moyo nyiye mnaichukia timu yetu?? Mbona walienda wabunge wa vyama mbalimbali hamkuwazomea??
Jamani, tuache chuki binafsi tujiunge kwa pamoja kuiombe dua njema Taifa Stars yetu. Hivi tuseme; Kama mchawi wetu alifanya vyema halafu ghafla mkasikia kuwa Mbweha wa jangwa wameuogopa mwanga wa Nyota yetu halafu wakachapwa 1 - 0 tu mtalala wapi nyiye wenye roho ya korosho??
Nawaombea Taifa Stars nyota iwake wawalambe 1 - 0 hao mafisi wa jangwani. Sina chama ila ushindi wa Stars ni wetu sote ila kama ni kweli, warudishiwe ile chenji yao waliyoibiwa
Stars ni timu la kipumbavu kama alivyobashite! Ni kichwa cha mwendawazimu. Lazima wanyolewe bila maji.
 
Yaani acha tu Mtani. Ila watakaokuja na kelele Mtani wote sitawajibu ata. 😀😀😀😀

Sababu nilichokiona humu ukiwa against na uzi unavyosema hata kama sio mpenzi wa siasa wanajua basi we ni CCM.
hahaha ntakuwepo kukulinda mtani;
jukwaa la sports tumeongeza wadau wa kutosha
 
Hahahaa. Hivyo mumewasusa Mtani.

Japo nawaza mbona kabla ya kauli ya yule wa Daslam wote mlikuwa Stars kwenye ile mechi ya kwanza?
hahahaha yule jamaa sijui ana nini
au haogagi maji ya bahari.

Watanzania wengi wanaipenda sana taifa stars mtani ila huwa kuna maswala sensitive sana ambayo ukiyagusa unagusa hisia za watu mambo kama dini, kabila, na sasa siasa ni hatari sana mtani. Afu na jamaa huwa ni mbovo kwenye speech si MNA kumbuka hata nyinyi pale diamond jubilee mlimbania nafasi ya kuzungumza. Kuna hekima na busara flani anazikosa

Kiongozi unavyoongea epuka sana toka kauli zinazo base katika hayo makundi utaleta mtafaruku. Ndiyo haya unayo yaona hapa.
 
hahahaha yule jamaa sijui ana nini
au haogagi maji ya bahari.

Watanzania wengi wanaipenda sana taifa stars mtani ila huwa kuna maswala sensitive sana ambayo ukiyagusa unagusa hisia za watu mambo kama dini, kabila, na sasa siasa ni hatari sana mtani. Afu na jamaa huwa ni mbovo kwenye speech si MNA kumbuka hata nyinyi pale diamond jubilee mlimbania nafasi ya kuzungumza. Kuna hekima na busara flani anazikosa

Kiongozi unavyoongea epuka sana toka kauli zinazo base katika hayo makundi utaleta mtafaruku. Ndiyo haya unayo yaona hapa.
Ni kweli usemacho na anajulikanaga mbona sababu si mara ya kwanza kutoa kauli ka hizo.

Hivyo nawaza Akiondoka pale kwenye kile kiti wakakaa wengine hii kauli itafutika au ndio itatumika kuichukia Taifa Stars miaka nenda rudi?
 
Ni kweli usemacho na anajulikanaga mbona sababu si mara ya kwanza kutoa kauli ka hizo.

Hivyo nawaza Akiondoka pale kwenye kile kiti wakakaa wengine hii kauli itafutika au ndio itatumika kuichukia Taifa Stars miaka nenda rudi?
Hii kauli ni ya makonda na wala sio ya serikali: unajua anapenda sana kumfurahisha mkulu sasa kwenye kujipendekeza kwake kuna pitiliza mpaka unakuta unakuta anakengeuka na kuongea vitu visivyo na mantiki; sasa hata bunge zima ni kama linamchukia.

Serikali wa naweza tuharibia mpira kabisa
ona kauli ile kama ile ya mwakyembe kwamba wachezaji wa kigeni mwisho kucheza wa 5. siku zote tumekuwa tukitumia wachezaji wa nyumbani taifa stars ilifika wapi;

Hahaha au joto la Brazilian limemwingia pia.
ama lengo ni ku waakoa na hamsa tulizopanga kuwapiga mwaka huu
 
saaa zingine waeza waza kwamba mwajenga nyumba moja kumbe kila mmoja anajenga kwake...mwisho wa siku jengo labomoka kumbe kila mmoja alikuwa akijiiibia/akiiba vitendea kazi vya kuimarisha ujenzi huooo....

"...Eeee Mungu tuangalie kwa jicho jingine la pilii.."
 
Back
Top Bottom