Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,640
- 9,263
Wanaboaje wakati ndiyo ukweli wenyewe? Acha watu wafunguke ili serikali ijue wapi inakosea. "Taifa stars itashinda kama vile inavyoshinda kwenye chaguzi"Ni kuboa wanaboa,too much.
Samata naye anasema timu inamwakilisha Magufuli na serikali ya awamu ya tano. Sasa utasemaje watu wanaboa wakati timu ni ya CCM na ya Magufuli?
Wao walikuwa huru na hawakujua kama watawaboa watu kwahiyo acha watu wazungumze kwa sababu nao hawajui km wanawaboa watu
Algeria piga hao CCM Stars 7-0 ili watie akili