Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,640
- 9,263
Algeria 3-0mkuu naomba updates za mechi husika.
Algeria 3-0mkuu naomba updates za mechi husika.
Mpira umeisha mkuu?Algeria 3-0
Mungu yupo kasikiaInafurahisha hata mataifa tuliyodhani yana matatizo ya kisiasa na kikabila kama vile Algeria na Kenya kutumia yanayoendelea huko Misri kuleta Umoja wa Kitaifa na kuwa kitu kimoja ila hali hiyo ni tofauti hapa kwetu ambapo tusio wana CCM tumetangaziwa wazi kwamba ile team ya CCM ambao kila mtu anajifunzia kunyoa haituhusu.
Kesho CCM hao wanaenda kukutana na mbweha the fox wa jangwani toka Algeria. Mara ya mwisho CCM hao wa Lumumba walipigwa 7-0.
Naomba nichukue nafasi kumuomba Mungu awabariki Algeria wapige goals 9-0 hapo kesho.
Amen.
Tayari tena walicheza karibu na uwanja wa ndege. Nafikiri kwasasa wapo njiani wanakuja ili tuanze kampeni ya kuhamasisha uuzwaji wa korosho maana zinaongeza nguvu za kiume.Mpira umeisha mkuu?
Tuombe tupate timu ya taifa sasa, hii wabaki nayo wenyeweTayari tena walicheza karibu na uwanja wa ndege. Nafikiri kwasasa wapo njiani wanakuja ili tuanze kampeni ya kuhamasisha uuzwaji wa korosho maana zinaongeza nguvu za kiume.
subiri ktk mapokezi ya team pale AIRPORT uone yatakayo zungumzwa na mwenye mkoa wakeRich acha masikhara kabisaa
Tatu Algeria imekuwa Kenya? Subiri mvua ya magoli hahahaha
Mpira hauna chama!! Are you in the cave?? Come out from the cave to see reality outside!