Msiri wako ni nani JF?

Msiri wako ni nani JF?

Siri ni nini? Siri maana yake nini?
Sina msiri, ila nina siri za watu. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkitaka muwe safe humu acheni kuselfika na kuanzisha mahusiano yasiyo na tija humu JF.

Ukipata akili ya kutambua Lamomy anaweza kuwa I’d nyingine yoyote humu JF basi elewa hakuna siri yoyote hapa.
Namaanisha hivi mtu mmoja anaweza kukutongoza mara nyingi awezavyo kwa ID’s tofauti na usielewe. Na epuka convo za kijinga huko piem mingine ni mitego.

Pia acha kuamini mtu kiasi cha kujiachia na kutuma picha zako naked lazima KITAKULAMBAAA hiyo weka akilini.
Humu JF watu ni vichaa kuliko mnavyofikiri..!!

Sema ndo hivyo malaya wa JF hawawezi kunielewa ni sikio la kufa. [emoji26][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Nna kifua sana. Nishawahi kupewa file la kutisha na mtu ninayegombana naye kwa muda huo lakini nikachagua kumuacha na kumpa soft michambo…!!

Kwa akili za mwingine humu JF hatujuani hiyo ndo ingekuwa kete yake ya kumaliza mchezo..!!

Halafu mimi sina rafiki wala adui wa kudumu, utashangaa siku nakuwa upande wa adui yangu namkingia kifua nikiona anaonewa..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani my wii siku siri zako zikivuja sijui itakuwaje una maadui wengi😁😁
Manguchiro ni mengi afu ukiyauliza wana chuki gani haswa kwangu hayana majibu ya kueleweka..!!

Na mi nafanya makusudi yanacheza beat langu vile ninavyotaka. Kama huyo mweusi bonge na top yake ya afu tatu anayarudi kweli na mwenye kibwaya pembeni yake..!!😹😹😹

Buanaa adui zangu wa kuchovya mnanipa rahaaaaaa..!!!
 

Attachments

  • export_1777157062815.mov
    5.2 MB
Mpenzi wangu ndio msiri wangu, huwa ananiambia kabisa huendani na personality yako ya JF. Hasa siku umbea ukikolea humu jinsi ninavyofukua makaburi wakati mpole mwenyewe ananifichia mengi babe wangu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo kipenzi nashangaa nipo nareply coment yako mara ghafla wewe na cocastic mna ban. Labda mlikula ban kwa kushadadia ugomvi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatariii sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
JF mambo hiya hiyaa.
 
Uduguu, mbona uzi umejaa sumu sana, kwani kimeguswa kitufe gani?
Lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Kitufe cha donati kimeguswa wamepoteana nguchiro 😹😹😹

JF haipoi wala haiboi 🤣🤸‍♀️
 
Njoo tubadilishane uduguu [emoji81][emoji81]
Uduguu em tutulizane, [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana watu wako hae hae, hawataki kukubalii.

Imekuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitufe cha donati kimeguswa wamepoteana nguchiro [emoji81][emoji81][emoji81]

JF haipoi wala haiboi [emoji1787][emoji2222]
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu tutasekwa lupango, wee hayaaa.
 
Manguchiro ni mengi afu ukiyauliza wana chuki gani haswa kwangu hayana majibu ya kueleweka..!!

Na mi nafanya makusudi yanacheza beat langu vile ninavyotaka. Kama huyo mweusi bonge na top yake ya afu tatu anayarudi kweli na mwenye kibwaya pembeni yake..!![emoji81][emoji81][emoji81]

Buanaa adui zangu wa kuchovya mnanipa rahaaaaaa..!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Back
Top Bottom