Msiri wako ni nani JF?

Msiri wako ni nani JF?

Nipo kipenzi nashangaa nipo nareply coment yako mara ghafla wewe na cocastic mna ban. Labda mlikula ban kwa kushadadia ugomvi 🤣🤣🤣🤣🤣
😹😹😹 Pole itakuwa nguchiro walijua na wewe mmbea mwenzetu wakakuchoma..!!
 
kwanza kuna mahali nilisoma kwamba unatudinya sana,, alf na yule babu Grahams nae nilisoma et anatoa laki kwa kila bao moja😂😂😂 ila JF khaaaa
Kumbe anatoa laki tu😆
Hebu ngoja kwanza.. wamelombwa wa ngapi na huyu babu lol🤣
 
Back
Top Bottom