Msiri wako ni nani JF?

Msiri wako ni nani JF?

Unafunga mdomo wa juu unafungua wa chini 👍
Weee mtoto😂🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
b31e3167-128d-4f1b-bc8c-3d64d4f81c5b.jpeg
 
akuuuu mimi nyuchi yao ya kazi gani mailord😆
Sindo pale! Namsikia mchungaji hapa anasema hakuna changudoa atakepita na bwana ako😆
acha tu nikutangaze unapenda dagaa wa kukaanga na tembele lenye limao ya kutosha😅😅 nakapilipili kichaa mwa mbaaaali
Mate yamentoka mie, mdada wangu kaniita acha nikajilambe!🤤
 
sasa member wengi wa humu wakiona wanasemwa vibaya ndo wanaanza kujitetea, wanawapa vichwa hao waongo,, hapa issue ni moja mtu akikushutumu kwa habari za uongo we mute tu abwabwaje akichoka atafunga bakuli lake ukisema ukimbizane na chizi na wew unaonekana chizi pro max
Mi kuna mmoja alinifunguliaga uzi kwa hasira zake baada ya kutojibu ujinga wake pm,alijua nitakuja na paniki kwenye ule uzi niliishia kuusoma na kupita kama sio mimi.
 
safiiii, ila ungeanza kujieleza uone watu wanavyo kukandia,, ila naamini wachochea ugomvi hawakukosa😆
🤣🤣Alafu nilivyo na bahati ule uzi kila mtu aliukataa wakawa upande wangu na ulifutwa chapu kama uwongozi niliwatuma kumbe wala🤣🤣
 
Back
Top Bottom