Msiri wako ni nani JF?

Msiri wako ni nani JF?

Naye ana mtihani mkubwa jamani, ana kikundi hakilali kinamfuatilia mienendo yake sio poa! Bado watasema hana kazi anakuja kuwinda jf, sijui hawajawahi kuwaona wanaowahisi ni matajiri jf wakaacha ujinga! 🤣
Bahati nzuri wanaofanya hivyo wana akili ndogo mno,, wengine wamekana jinsia zao.
 
Bahati nzuri wanaofanya hivyo wana akili ndogo mno,, wengine wamekana jinsia zao.
Na bado wako vifua mbele kujadili mapungufu ya mtu mwingine! 🚮
12657571-A771-4885-B13E-294F0B3E192E.jpeg
 
Just simple reminder! Even a barren land can bear fruits..😀 how come🤨 (fruits of the loom)
Haha i see but let’s be real even the finest fruits of the loom eventually wear thin and reveal what's underneath.

Nature might surprise us, but a loom only repeats the cycle.

Let’s hope the harvest is worth the labor.
 
Asilimia 90% za story zinazo letwa jukwaani ni uwongo ni kuchafuana tu.
sasa member wengi wa humu wakiona wanasemwa vibaya ndo wanaanza kujitetea, wanawapa vichwa hao waongo,, hapa issue ni moja mtu akikushutumu kwa habari za uongo we mute tu abwabwaje akichoka atafunga bakuli lake ukisema ukimbizane na chizi na wew unaonekana chizi pro max
 
Back
Top Bottom