Msiri wako ni nani JF?

Msiri wako ni nani JF?

Uduguu em tutulizane, [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana watu wako hae hae, hawataki kukubalii.

Imekuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23]
Nishikie niwadunge sindano vizuri 😹😹😹

Wanabweka tu ila washakubali hizo zilizobaki ni maumivu ya sindano..!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu tutasekwa lupango, wee hayaaa.
Miaka hii tuogope lupango uduguu?? 😹😹
Tushazoea afu kwanza tukiwekwa lupango kutaboa humu. Nguchiro wenyewe walitumiss basi tu hawataki kusema ukweli..!! 🤣😹😹😹
 
Manguchiro ni mengi afu ukiyauliza wana chuki gani haswa kwangu hayana majibu ya kueleweka..!!

Na mi nafanya makusudi yanacheza beat langu vile ninavyotaka. Kama huyo mweusi bonge na top yake ya afu tatu anayarudi kweli na mwenye kibwaya pembeni yake..!!😹😹😹

Buanaa adui zangu wa kuchovya mnanipa rahaaaaaa..!!!
🤣🤣🤣🤣
 
Raha ya JF ujiaminii na uwe unajiweza kwa njegeka na heka heka zotee.

Yaan shengeshaa uzimudu haswaaa!! Tulishavuka hukoo, watu walikimbia na kuzitelekeza I'd zao, ila sisi wakongwe tuko nginja nginja hapa na I'd zetu OG.

watu tulishawafurusha kundi zima na wakapoteana mmoko baada ya mwiunee, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mnayoyafanya huko PM nyie wenyewe mnatuletea sisi washika masijala incase mkikwazana mkiyaleta hapa, sisi tusawazishe mtanange.

Kulikoniiii??? Mkiyaleta hapa sisi tunapiga beat, na waja wanaanza kusakata rhumba. [emoji23][emoji23][emoji23]

Afu umbea na udaku wowote hapa JF bila sisi haunogi, ndo maana mnatusogezea wenyewee kwa ridhaa yenu, kwani tunawaita au kuwaagiza mtuletee? [emoji23][emoji23][emoji23]

Em waja msichoke kuleta kiu zenu kwetu, sisi tuko hapa kuwakata kabisaa.
Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka hii tuogope lupango uduguu?? [emoji81][emoji81]
Tushazoea afu kwanza tukiwekwa lupango kutaboa humu. Nguchiro wenyewe walitumiss basi tu hawataki kusema ukweli..!! [emoji1787][emoji81][emoji81][emoji81]
Umejuajeee mahiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu weuweeeeeeeeee!!
 
Nishikie niwadunge sindano vizuri [emoji81][emoji81][emoji81]

Wanabweka tu ila washakubali hizo zilizobaki ni maumivu ya sindano..!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguuu kwani tunapigajee? Ujue nacheka nini? Debo na fake p wako pembeni, wameibuka wapyaa kulikoniii?

Mie nataka Debo na fake P wamalizie pambano sikubaliii nikose hitimisho.
Wee!!
 
Raha ya JF ujiaminii na uwe unajiweza kwa njegeka na heka heka zotee.

Yaan shengeshaa uzimudu haswaaa!! Tulishavuka hukoo, watu walikimbia na kuzitelekeza I'd zao, ila sisi wakongwe tuko nginja nginja hapa na I'd zetu OG.

watu tulishawafurusha kundi zima na wakapoteana mmoko baada ya mwiunee, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mnayoyafanya huko PM nyie wenyewe mnatuletea sisi washika masijala incase mkikwazana mkiyaleta hapa, sisi tusawazishe mtanange.

Kulikoniiii??? Mkiyaleta hapa sisi tunapiga beat, na waja wanaanza kusakata rhumba. [emoji23][emoji23][emoji23]

Afu umbea na udaku wowote hapa JF bila sisi haunogi, ndo maana mnatusogezea wenyewee kwa ridhaa yenu, kwani tunawaita au kuwaagiza mtuletee? [emoji23][emoji23][emoji23]

Em waja msichoke kuleta kiu zenu kwetu, sisi tuko hapa kuwakata kabisaa.
Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23]
Woyoooooooo..!!! 🤸‍♀️
Umemala umemaliza uduguu leka minguchiro..!! 😹😹😹

Yani kwanza umbea wowote ukishikiliwa bila sisi hata haunogi ndiomana hata mods hawana time nao..!! 😹😹

Wao waendelee kutupia piem na sisi wambea mafile tukiyapata tunaruka nayo na sio shida zetu..!!

Bana kwanza tumtafute kamanda aje amalizie ubuyu au novena ya kimalaya ishamfikia kapigwa upofu 🤣😹😹😹
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguuu kwani tunapigajee? Ujue nacheka nini? Debo na fake p wako pembeni, wameibuka wapyaa kulikoniii?

Mie nataka Debo na fake P wamalizie pambano sikubaliii nikose hitimisho.
Wee!!
Safari za mamba kenge hawakosi ndo hao nguchiro..!!

Watu pekee tunaowataka ni Depal na fake P tu..!! Sisi tunaongea na wafuga mbwa na sio mbwa..!! 😹😹😹

Wao wajisemeshe mpaka waingie period ila hatutoi kiki..!! 😹😹😹
 
Woyoooooooo..!!! [emoji2222]
Umemala umemaliza uduguu leka minguchiro..!! [emoji81][emoji81][emoji81]

Yani kwanza umbea wowote ukishikiliwa bila sisi hata haunogi ndiomana hata mods hawana time nao..!! [emoji81][emoji81]

Wao waendelee kutupia piem na sisi wambea mafile tukiyapata tunaruka nayo na sio shida zetu..!!

Bana kwanza tumtafute kamanda aje amalizie ubuyu au novena ya kimalaya ishamfikia kapigwa upofu [emoji1787][emoji81][emoji81][emoji81]
Ena wenga Mlongo!!

Kwanini Nguchirooo? Ila Msigwa ana mambo, ko hasahau kabisa kunyumba.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unamjua nguchiro mahi? Woiiiiih.

Modes wenyewe wanajua JF bila sisi haitembeii, wanatu ban huku roho zinawauma, maana reports za waja zinawakera. Lol

Yaan kamanda aje atuletee final episode, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kutuacha na to be continued, sijapendaaaa.
 
Raha ya JF ujiaminii na uwe unajiweza kwa njegeka na heka heka zotee.

Yaan shengeshaa uzimudu haswaaa!! Tulishavuka hukoo, watu walikimbia na kuzitelekeza I'd zao, ila sisi wakongwe tuko nginja nginja hapa na I'd zetu OG.

watu tulishawafurusha kundi zima na wakapoteana mmoko baada ya mwiunee, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mnayoyafanya huko PM nyie wenyewe mnatuletea sisi washika masijala incase mkikwazana mkiyaleta hapa, sisi tusawazishe mtanange.

Kulikoniiii??? Mkiyaleta hapa sisi tunapiga beat, na waja wanaanza kusakata rhumba. [emoji23][emoji23][emoji23]

Afu umbea na udaku wowote hapa JF bila sisi haunogi, ndo maana mnatusogezea wenyewee kwa ridhaa yenu, kwani tunawaita au kuwaagiza mtuletee? [emoji23][emoji23][emoji23]

Em waja msichoke kuleta kiu zenu kwetu, sisi tuko hapa kuwakata kabisaa.
Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23]
Visit TikTok to discover profiles!.jpeg
 
Ena wenga Mlongo!!

Kwanini Nguchirooo? Ila Msigwa ana mambo, ko hasahau kabisa kunyumba.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unamjua nguchiro mahi? Woiiiiih.

Modes wenyewe wanajua JF bila sisi haitembeii, wanatu ban huku roho zinawauma, maana reports za waja zinawakera. Lol

Yaan kamanda aje atuletee final episode, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kutuacha na to be continued, sijapendaaaa.
😹😹😹
Nguchiro ana harufu mbaya.!!

Bana JF ukiwekwa umbea haunogi bila sisi na ule uzi tunao sana..!! Wataturudisha wenyewe..

Kamanda safari hii asijibu nguchiro wowote yeye ashushe missile tu..!! Na D naye aje ashushe tuone nani mkali wa vita..!! 😹😹😹
 
Back
Top Bottom