Je, mentor wako ni nani?

Je, mentor wako ni nani?

Papillon 1906

Senior Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
188
Reaction score
653
Nani mtu wako wa kwanza kumcheki pale unapotaka kufanya maamuzi ya jambo Fulani mathalani masiala ya kifedha,kazi,mahusiano n.k

Yani likitokea Jambo tu lazima umcheki ni nani huyo?
 
Sina menta, najiongoza mwenyewe!

Yani nivuje jasho nipate pesa nikakuombe ushauri niitumieje ??

... Nigombane na king'ast wangu nikakuombe ushauri ? Nitadili nae mwenyewe !!!!!!
 
Nani mtu wako wa kwanza kumcheki pale unapotaka kufanya maamuzi ya jambo Fulani mathalani masiala ya kifedha,kazi,mahusiano n.k

Yani likitokea Jambo tu lazima umcheki ni nani huyo?
Kuna watu hawa:
1. Mentor
2. Mshauri
3. Rafiki
4. Msiri
5. Mshenga
6. Mshikaji

Usichanganye hawa watu kila mmoja ana kazi yake. Kwa suala lako unaulizia mshauri na sio mentor. Mentor anafanya kazi ya kukufundisha (grooming) jambo flani na anaweza asiwe mshauri mzuri.
 
Back
Top Bottom