Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 12,932
- 25,479
Kwamba hujawahi kutumiwa na ma mtu?š«¢
Never! Kila mtu ni mshamba kwenye eneo flani, mtu unaanzaje kuomba picha ya "duka la mzungu" kwa demu?
Kwamba hujawahi kutumiwa na ma mtu?š«¢
Unaomba ulumagie ugali au hujui kulumagia karibu mwambao wa pwaniNever! Kila mtu ni mshamba kwenye eneo flani, mtu unaanzaje kuomba picha ya "duka la mzungu" kwa demu?
Pole sana! Leo jaribu uone kama hajakutumia.. utashangaa hana shida kabisa!Never! Kila mtu ni mshamba kwenye eneo flani, mtu unaanzaje kuomba picha ya "duka la mzungu" kwa demu?
Haha usijali kuwa mpoleNataka kujua nani hyo mwenye siri za rasi wangu š
Picha za naked tusitume sawašMkitaka muwe safe humu acheni kuselfika na kuanzisha mahusiano yasiyo na tija humu JF.
Ukipata akili ya kutambua Lamomy anaweza kuwa Iād nyingine yoyote humu JF basi elewa hakuna siri yoyote hapa.
Namaanisha hivi mtu mmoja anaweza kukutongoza mara nyingi awezavyo kwa IDās tofauti na usielewe. Na epuka convo za kijinga huko piem mingine ni mitego.
Pia acha kuamini mtu kiasi cha kujiachia na kutuma picha zako naked lazima KITAKULAMBAAA hiyo weka akilini.
Humu JF watu ni vichaa kuliko mnavyofikiri..!!
Sema ndo hivyo malaya wa JF hawawezi kunielewa ni sikio la kufa. š„š¹š¹
ššš niache šKwani ya ngapiš
Wazee bn! Sasa huyo mda wa kupumzika nae unatoa wapi? Huyo inatakiwa saiv nyap* inavuja goal aamue kufuta au kuosha.
Pole sana! Leo jaribu uone kama hajakutumia.. utashangaa hana shida kabisa!
Ngoja tuone hawa vijana siku hizi wamerahisisha sana maisha.Swali zuri mkuu, akijibu ShesRise_1 nitag. š
Mimi pia, ni muda wa kupunguza watu humu šNimeshtuka sanaš±
Khee! Uko serious sana mkuu! Kwahiyo hamnaga muda wa kubembelezana wala nini ni kazi kaziš«¢Seran , mimi siwezi kuomba hiyo! Mimi nikimhitaji, akinihitaji tuaonana live live.
Mambo ya kutumiana picha kwa mbali mbali, ndo chanzo cha "kuchukua sheria mikononi". Tumemisiana, tukutane kwisha. š
Mimi pia, ni muda wa kupunguza watu humu š
Mashoga mbuzi na mandumila kuwiliš¤£Mimi pia, ni muda wa kupunguza watu humu š
Nna kifua sana. Nishawahi kupewa file la kutisha na mtu ninayegombana naye kwa muda huo lakini nikachagua kumuacha na kumpa soft michamboā¦!!Na umbea wote na bado una kifua koongole kwako sisi watu waongeaji sana hua tuna siri mnooo šÆ
Usikute una file langu hukoš«¢š
Kwani hua mnatumiana wapi? Mi najua ni PM au kuna features zingine humu mm sijui?Mkuu kwanini handaki lakini𤣠huamini kama njia nyembamba zipo sio, kwanini nikaianike pm sasaš
Mfano wewe, mazoea yatabaki kwa mbali sana, ni silent observer na nyie ni watu hatari sana šKwanini upunguze watu?
Kuwa na amani. š
Takataka kabisa š®š®š® mtaniondolea upako J2 hii, ngoja nitoke humuMashoga mbuzi na mandumila kuwiliš¤£
Toxic people lazima wapunguzwe mkuu!Kwanini upunguze watu?
Kuwa na amani. š
Khee! Uko serious sana mkuu! Kwahiyo hamnaga muda wa kubembelezana wala nini ni kazi kaziš«¢