ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,314
- 41,023
Kuna miungu watu humu wanajifanya wako perfect sana! Kila utakachofanya humu unakosea wao ndio matajiri, wao ndio hawalombwi na members wa jf, wao ndio warembo, wao ndio wanajua kujiepusha na watu wabaya na bla bla kibao! Wengine naona ni mapunguwani! Wamemdhalilisha mdada wa watu humu balaa.. kisa bwana!Kuna mambo huwa yanaendelea humu hata sijui ni nini kilitokea 😁
😹😹😹 Unajua mimi mwenyewe nashangaa. Hivi kweli mwanamke mwenye stara zako unatumaje picha la uchi lako?Kwanza kwa nini Mwanamke utume picha ya utupu hiyo ni akili ya kikahaba yaani ya kutojali utu wako.
ndo hivyo na ukiwakuta wanavyo kukandia kwa story za kutunga utadhani wao ni malaika watakatifu😆😆, na mtu wa hivyo siku zote ni hamnazo sas mimi ndo nianze kujitetea kwa mtu ambae dishi lake limeyumba,, bora nicheze makopo💃Asilimia kubwa humu watu hawajuani ila mki tofautiana jukwaani anatunga uwongo ili udhalilike kwa kuwaaminisha watu uwongo.
Umenichekesha, mwenyewe ninajua kama hushei umbile lako na mtu why watu waumie kiasi hiki? as long as hakuna k ilopotea huko! Sasa hivi kila mtu humu malaya kasoro wao🤣siri gani bwana😅😅 mfano hiyo issue ya D hatuwezi kuiita siri hata kidogo mtu kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja ni kawaida kabisa kwanza K ni yake anaitumia anavyotaka kikubwa hajabeba ya mtu wala kumwambia mtu amuinulie labia majora ila Penis ipite,,
Mimi nikipata muda wala sipepesi jicho! Hujanizaa nikuwazie we kama nani yani? Ukiletea shobo nakupa unachostahili..mimi nguvu ya jicho kwa jicho sina kabisa labda nikuone unaninyang'anya tonge nililo lipambania kwa udi na uvumba😄😄😄 vingine naacha tu wabweke
Yaani mwanamke wa hivyo wala simuonei huruma anatumia kitumbua chake kukitangaza,Mwanaume kwanza ana anzaje kuniambia nitumie picha ya kitumbua mamaee atachezea brock na ukoo wake wote.😹😹😹 Unajua mimi mwenyewe nashangaa. Hivi kweli mwanamke mwenye stara zako unatumaje picha la uchi lako?
Hizo ni tabia za makahaba wala hujakosea wifi yangu..!! Kahaba pekee ndo mwenye guts hizo..!!
Huyu Chivundu haujui sijui😆Kifuniko cha anjari😋😂
Wengine mbona tunalala nje afu freshy tu! Kosa kubwa ni kujichekesha na vibwana vyao! Wenyewe hawataki🤣dj atulete na kale ka wimbo ka zuchu
🎶 alokwambia kahadithiwa, alohadithiwa kakosea kukwambia, na alie mwambia alihadithiwa na yeye akakosea kukwambia🎶🎶
nimnyenyekee mtu wakati sijaua?,, humu umbea mwingi ni mambo ya kudinyana na mambo ya financial situation,, wakija na suala la kuliwa niliipeleka mwenyewe sikulazimishwa why niumie? kama ni mambo ya kuishi maisha ya chini au kukoswa pesa kwani mimi ndo natoa ridhiki mpka tufanane kipato?,, hata nikilala kwenye mkeka wenyew wakiamua kuongea watanipunguzia nini😆😆
Asilimia 90% za story zinazo letwa jukwaani ni uwongo ni kuchafuana tu.ndo hivyo na ukiwakuta wanavyo kukandia kwa story za kutunga utadhani wao ni malaika watakatifu😆😆, na mtu wa hivyo siku zote ni hamnazo sas mimi ndo nianze kujitetea kwa mtu ambae dishi lake limeyumba,, bora nicheze makopo💃
Njoo tucheze makopo! Naona hutaki kujitetea kwa ndugu hakimu wa jeihefu🤣ndo hivyo na ukiwakuta wanavyo kukandia kwa story za kutunga utadhani wao ni malaika watakatifu😆😆, na mtu wa hivyo siku zote ni hamnazo sas mimi ndo nianze kujitetea kwa mtu ambae dishi lake limeyumba,, bora nicheze makopo💃
😹😹😹🤣🤣🤣Yaani mwanamke wa hivyo wala simuonei huruma anatumia kitumbua chake kukitangaza,Mwanaume kwanza ana anzaje kuniambia nitumie picha ya kitumbua mamaee atachezea brock na ukoo wake wote.
Watajua wenyewe humu waoaji kwanza hamna labla kama wanataka kuwa Single Mama.😹😹😹🤣🤣🤣
Nacheka km mazuri ila wifi wewe piga block mpk mbwa na paka zao zote..!!
Watu wa aina hiyo hawafai hata kuwa kwenye watu wako elfu moja wa muhimu..!!
hakuna siri ya wawili bwana,, alf ili iitwe siri ni ile umeishuhudia kwa macho yako kutoka kwa muhusika ilihali yeye alikua anaficha,, mimi siwezi kukusimulia jambo langu mwenyew alf tuiite siri wakati najua binadam hawana kaba
alf mbona vitu vyote vinavyo vujishwa jf nivya kawaida sana jamani😄😄 mambo ya kifamilia au mahusiano sijui flani kamla au kaliwa na flani guys hiyo nayo mnaita siri? acheni ufwala wa kujidai mna mafile ya watu wakati hao watu ndo wameruhusu muwe na hayo mafaili ebo😅,, wew ukileta hizi habari humu huo unakua umbea usiseme umevujisha siri
Sema wataongezewa mana tayari ni masingle mama 😹😹😹Watajua wenyewe humu waoaji kwanza hamna labla kama wanataka kuwa Single Mama.
Wewe kila sehem una kiri ushamba eboo😆Mimi nakiri ushamba wangu kwenye hilo. 😁