Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

The fact kwamba mmekasirika na kutetea mkataba kwa nguvu zote inaonyesha jinsi mlivyo.....biased (one sided thinkers)
Mkataba wa aina hii ni Upendeleo and injust
hakuna service ya kanisa inayotolewa bure "kila mtu analipia shule na hospital big junk of money to have servie" name any church school linganisha bei yake na shule za serikali
kama wana pata pesa toka serikalini
then watoe huduma kwa bei poa! otherwsie ni mafisadi kwa jina la kanisa...

Hivi unajua kusoma kweli? Nitateteaje kitu ambacho ni forgery? Au ni wewe uliyeuandika maana naona hata wewe haujui tofauti ya "chunk" na "junk".

Kwa nini unataka tulinganisha shule za wamisheni na za serikali badala ya za kiislamu ( Al Muntazir etc. etc.)?

Ungeenda shule za wamisheni pengine ungeweza hata kuandika sentensi inayoeleweka! Unashindwa kweli na mtu wa darasa la nne Peramiho?

Amandla.......
 
Hivi unajua kusoma kweli? Nitateteaje kitu ambacho ni forgery? Au ni wewe uliyeuandika maana naona hata wewe haujui tofauti ya "chunk" na "junk".

Kwa nini unataka tulinganisha shule za wamisheni na za serikali badala ya za kiislamu ( Al Muntazir etc. etc.)?

Ungeenda shule za wamisheni pengine ungeweza hata kuandika sentensi inayoeleweka! Unashindwa kweli na mtu wa darasa la nne Peramiho?

Amandla.......

Kuna wenzio wakishindwa hoja wataanza kurukia na kusema unaleta udini. Siku zote mtu akikosa hoja lazima ajaribu kuingizia kitu sensitive ajaribu kushinda sympathy. Ndiyo maana hata bungeni kwetu kuna watu wanaitwa "waheshimiwa" lakini akifungua mdomo aongee lazima ujiulize mara mbili mbili if it's possible kwa mtu mwenye akili kutamka kitu kama hicho.
 
Acheni ujinga jadilini mambo ya maendeleo kwa watanzania wote na si mambo ya udini hapa kwenye jf
 

... the JK government has not suddenly fallen in love with the Churches. It is simply worried sick about losing the next elections, and it will do and promise anything to win. I assume that Church leaders will not be swayed by these moves.

Mtu yeyote anaesema CCM wanahofia kushindwa 2010 aidha anaota njozi au hana clue, hajui kinachoendelea.

Kikwete ameshapakwa mafuta kuwa mgombea asiye na mpinzani mnamo 2010, hana homa ndani ya CCM. Upinzani, well, hata ramli za Shehe Yahaya zinaonyesha kuidondosha CCM tutahitaji kufunga na kuomba!
 
Mtu yeyote anaesema CCM wanahofia kushindwa 2010 aidha anaota njozi au hana clue, hajui kinachoendelea.

Kikwete ameshapakwa mafuta kuwa mgombea asiye na mpinzani mnamo 2010, hana homa ndani ya CCM. Upinzani, well, hata ramli za Shehe Yahaya zinaonyesha kuidondosha CCM tutahitaji kufunga na kuomba!
lakini bado kuna tatizo kenye ushindi kwa sababu kuna visababishi vingine vya nje ambavyo hawajavi-control ipasavyo na wanaweza wasivi-control kabisa
 
The fact kwamba mmekasirika na kutetea mkataba kwa nguvu zote inaonyesha jinsi mlivyo.....biased (one sided thinkers)
Mkataba wa aina hii ni Upendeleo and injust
hakuna service ya kanisa inayotolewa bure "kila mtu analipia shule na hospital big junk of money to have servie" name any church school linganisha bei yake na shule za serikali
kama wana pata pesa toka serikalini then watoe huduma kwa bei poa! otherwsie ni mafisadi kwa jina la kanisa...

Wewe unayetoa hukumu kabla hata ya kujua lengo la hiyo MoU ndiyo uko biased. Haiwezekani kabla ya kujua kilicholeteleza hiyo MoU isainiwe ni nini uanze kuhukumu. Hayo ndiyo majungu ya mtaani!
 
Ni vizuri hoja inapoletwa kwa ajili ya kujadiliwa iwe katika namna ambayo kila kitu kiko bayana. Si busara kulazimisha watu watoe maoni kwa kufuata mtazamo wa mtu binafsi vile ambavyo suala linamgusa.
Ingependeza sana iwapo mtoa mada angetuletea hiyo MOU tuione ilivyo ndipo tutoe maoni yetu. Tungekuwa na uwanja mpana zaidi wa kuijadili kuliko sasa.
 
MoU ni kitu muhimu sana kisheria, pale ambapo kuna makubaliano kati ya pande mbili au zaidi. Kuingia makubaliano bila maandishi ni hatari iwapo upande mmoja utakiuka makubaliano hayo.

Kwa mantiki hiyo, serikali ya Nkapa ilipotoa chuo cha Tanesco Morogoro ili kiwe chuo kikuu cha kiislamu, inatarajiwa kwamba walitengeneza MoU, vinginevyo, si ajabu siku moja chuo hicho kikakombolewa na Tanesco.
 
makubwa tena haya. Ingekuwa waislamu wamefanya hivi ingekuwa NONGWA.

Kwani Waislam kuanza kutoa taaluma kuhusu uchaguzi kila mtu anapiga kelele japo malengo ake ni sawa na a kanisa


tunavumiliana tu ....mbona kuna wanaofundishana hadi karate kwenye nyumba za ibada.....na watu wanavumilia na kuwaambia kistaarabu....?
 
MoU ni kitu muhimu sana kisheria, pale ambapo kuna makubaliano kati ya pande mbili au zaidi. Kuingia makubaliano bila maandishi ni hatari iwapo upande mmoja utakiuka makubaliano hayo.

Kwa mantiki hiyo, serikali ya Nkapa ilipotoa chuo cha Tanesco Morogoro ili kiwe chuo kikuu cha kiislamu, inatarajiwa kwamba walitengeneza MoU, vinginevyo, si ajabu siku moja chuo hicho kikakombolewa na Tanesco.

........jamani hivi hicho chuo kwani walipewa jumla?.............kuna mtu mwenye MoU yake atuwekee please............
 
Hivi unajua kusoma kweli? Nitateteaje kitu ambacho ni forgery? Au ni wewe uliyeuandika maana naona hata wewe haujui tofauti ya "chunk" na "junk".

Kwa nini unataka tulinganisha shule za wamisheni na za serikali badala ya za kiislamu ( Al Muntazir etc. etc.)?

Ungeenda shule za wamisheni pengine ungeweza hata kuandika sentensi inayoeleweka! Unashindwa kweli na mtu wa darasa la nne Peramiho?

Amandla.......
Ulijuaje kuwa ni Forgery mambo mangapi hapa yanajadiliwa huna uhakika navyo?
Shule za kiislamu hazipewi ruzuku na serikali kama za kanisa? huo ni UFISADI (MoU=Ufisadi) kwasababu tunalipa kodi wote?
You are just frusted mind =hasira kwasababu ya kusema ukweli?
 
Ulijuaje kuwa ni Forgery mambo mangapi hapa yanajadiliwa huna uhakika navyo?
Shule za kiislamu hazipewi ruzuku na serikali kama za kanisa? huo ni UFISADI (MoU=Ufisadi) kwasababu tunalipa kodi wote?
You are just frusted mind =hasira kwasababu ya kusema ukweli?

Unaogelea kile chuo cha Tanesco Morogoro walichopewa wakristo na Mkapa (ambaye ni muislam)? ooopppssss ... hata umenichanganya na maneno yako yaliyojaa udini hapa.

Mkiambiwa kuna udini Tanzania, mipovu inawatoka. Ona sasa mnavyojidhihirisha kuwa miafrika ndivyo mlivyo na ndivyo mtaendelea kuwa.
 
Unaogelea kile chuo cha Tanesco Morogoro walichopewa wakristo na Mkapa (ambaye ni muislam)? ooopppssss ... hata umenichanganya na maneno yako yaliyojaa udini hapa.

Mkiambiwa kuna udini Tanzania, mipovu inawatoka. Ona sasa mnavyojidhihirisha kuwa miafrika ndivyo mlivyo na ndivyo mtaendelea kuwa.

duh!

kazi kweli kweli
 
Hii MoU ilisainiwa mwaka 1993.

timeline.jpg
 
Last edited:
Back
Top Bottom