Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,665
- 46,352
To where?Bomba la mafuta from Qatar.
To where?Bomba la mafuta from Qatar.
Kama ndio hivyo sasa mbona unauliza tena ISIS wanafaidika nini kuishambulia Ruzzia?!ISIS was formed na CIA&MOSSAD clue zipo , Urusi alimsaidia mshirika wake ambaye Marekani alikuwa anataka kumtoa
Kiufupi tutegemee muelekeo mpya wa vita na siasa za Dunia , may be WWW3 is approaching
Sent using Jamii Forums mobile app
RUSSIAN MEDIA REJECTS SPECULATION THAT ISIS WAS BEHIND TERRORIST ATTACKISIS 🐼
Sasa hivi urusi inamambo mengi sana ndiyo maana inapanua idala zake za kijeshi na ujasusi mara 3 ya ilivyo kuwa kabla ya mzozo wa ukrain ...kazi ya ujasusi siyo kuzuia tu tukio ila na kulikabili vyema ikiwa litafanikiwa kutukia ...nikama kanuni za ugonjwa kuna kinga na kuna tiba ..ukishindwa kwenye kinga basi uweze kwenye tibaYaani Urusi anawekewe Security updates kama Tanzania?? Na wanashindwa kutrack tukio.huu ni ujinga
Siyo kwamba marekani ni noma kwenye ujasusi bali marekani ni kama rostam azizi huyu yeye ni kumwaga pesa tu na marekani ana print dolla na kuzimwaga ili kupata taharifa nyingi ...marekani yupo vizuri kwenye kumwaga pesaUSA sio wa mchezo mchezo
Russia kanyooshwa alijua ni propaganda.
Israel ilionywa na USA Kupitia Egypt kwamba Kuna mashambulizi yameoangwa wakazingua saizi wanaua wapalestina wasio na hatia baada ya Mashoga kufanyiwa kitu mbaya na Hamas.
VyawaHuyo wa 3 ni mtoto wa 2000? Dah, huku kwetu wale wa w000 ni maboya sana
Ristam naye kafanyajeSiyo kwamba marekani ni noma kwenye ujasusi bali marekani ni kama ristam azizi huyu yeye ni kumwaga pesa tu na marekani ana print dolla na kzimwaga ili kupata taharifa nyingi ...marekani yupo vizuri kwenye kumwaga pesa
Kwanini Ruzzia haprinti Rubo na kuzimwaga tu ili apate "taharifa" nyingi??Siyo kwamba marekani ni noma kwenye ujasusi bali marekani ni kama ristam azizi huyu yeye ni kumwaga pesa tu na marekani ana print dolla na kzimwaga ili kupata taharifa nyingi ...marekani yupo vizuri kwenye kumwaga pesa
halafu inafikirisha hii 😅Matukio kama haya huwezi kujua wapi kitanuka!US matukio kama haya yanatokea sana!
Ajabu US huwa hanusi matukio kama haya kwake!
Ni Waislam 🤣 🤣 🤣 🤣
THIS ALERT WAS PUBLISHED BY THE US EMBASSY IN RUSSIA 2 WEEKS AGO.
TAHADHARI HII ILICHAPISHWA NA UBALOZI WA MAREKANI NCHINI URUSI WIKI 2 ILIYOPITA
The Embassy is monitoring reports that extremists have imminent plans to target large gatherings in Moscow, to include concerts, and U.S. citizens should be advised to
avoid large gatherings over the next 48 hours.
Wqlijuaje?
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1771254913634296186?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ipo mbali wali kila siku wamauliwa na mabomu hizo propaganda jaribu kuwaeleza wajinga wajinga.seriously walijuaje?
counterIntelligence ya US ipo mbali wameshikilia kila means ya mawasiliano ni ngumu kuwakwepa Ata ukitumia codes kuna watu wana uwezo mkubwa ku dicipher
ili uwakwepe usitumie teknolojia kabasi so wanajua mambo mengi kabla halijatokea Ata hapa kwetu Mala nyingi tu US ambassy waga wanachapisha taarifa za tishio la kiusalama na watu na wahusika wanazifanyia kazi kudhibiti mashambulizi
Unajua kuna huu siano gani kati ya kwnuni ya kuprint dolla na dolla kuwa ndiyo pesa ya dunia ? Ndiyo maana urusi anajaribu kuipiga marekani kwenye pesa ya dunia kwa kuanzisha mfumo mpya kupitia bricsKwanini Ruzzia haprinti Rubo na kuzimwaga tu ili apate "taharifa" nyingi??
Hao hawaitwi magaidi kwani wanaongozwa na "roho mtaka vitu"Tunaaminishwa waarabu tu ndio magaidi kumbe na wazungu magaidi yapo mengi tu.
Huenda ndio waliolipanga na kulifadhili tukio hiloMarekani yuko mbele ya muda
Yaan unauwezo mdogo sana wa kufikiriIt seem naongea na mtu alie shallow
Wanaoshabikia ushoga na mashoga wanaumia sana wakisikia hayoRUSSIAN MEDIA REJECTS SPECULATION THAT ISIS WAS BEHIND TERRORIST ATTACK
The attackers were 'Slavs, above average height, probably using fake beards and mustaches', and were likely part of the Ukraine-backed 'Russian Volunteer Corps'
- Kommersant, one of Russia's largest newspapers.