johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,956
- 141,943
Msajili wa Vyama vya Siasa amemtaka Katibu Mkuu wa CHADEMA J J Mnyika kujieleza kufuatia kauli yake kuwa katika mahojiano ya BBC Rais Samia alisema uongo.
Msajili amesema lugha hiyo dhidi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni kinyume kabisa cha maadili.
Mnyika ameandika katika ukurasa wake wa twitter.
Mungu ni mwema wakati wote!
Pia soma: John Mnyika: Rais Samia "aidha amepotoshwa au ameamua kusema uongo”
Msajili amesema lugha hiyo dhidi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni kinyume kabisa cha maadili.
Mnyika ameandika katika ukurasa wake wa twitter.
Mungu ni mwema wakati wote!
Pia soma: John Mnyika: Rais Samia "aidha amepotoshwa au ameamua kusema uongo”