Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,504
113,620
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
 
Serikali yetu imejijengea hofu isiyokuwa na maana kwa kuogopa maandamano, hata kama wakiambiwa ni ya amani hawasikii, wameamua kwa makusudi kabisa kuitupilia mbali sheria inayoruhusu haki hiyo bila kuona aibu yoyote, tena ni kama wameshaisahau kabisa.

Kiubinaadamu, ukiona mtu ana hofu kwa kawaida basi ujue ana kosa, kama hujakosea popote huwezi kuishi kwa hofu ya kuogopa kitu kilichoruhusiwa kisheria, tena kinachoitwa cha amani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Umeandika vizuri
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Kumbe ukiandika kwa ufupi unaeleweka vizuri zaidi kuliko zile Makala zako ndefu Mkuu?!
😁😁😁😁😁
Anyway I'm just kidding Mayalla.
Naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.
 
Niko najiandaa kutoka hapa Chato, niende Dar nikashiriki maandamano japokuwa mimi si mwanachama wa CHADEMA. Huwa simkubali Mbowe, ila kwa hili, nimeanza kujenga imani kwa CHADEMA na Mbowe.
Sidhani kama watani- disappoint this time
 
Je!
Ni lini Chadema iliandamana kwa ajili ya watanzania?
Juzi kwenye sakata la DP-WORLD, Chadema wamesahau jinsi walivyowazimia simu kina Mwabukusi na sauti ya watanzania?

Leo hii mnataka wananchi tuandamane kuwasaidia Chadema kupata uongozi ili waibe zaidi?

Mbona hatujaiona Chadema ikiitisha maandamano ya kupinga Tozo wala ugumu wa Maisha?

Msipende kuwatumia watanzania kwa maslahi yenu binafsi.
Itisheni familia zenu nchini kutokea huko ughaibuni waje kushiriki nao mstari wa mbele!
 
Maandamano ni haki ya kikatiba, lakini ni lazima vibali vitolewe na wizara ya mambo ya ndani, baada ya kujiridhisha hasa katika masuala ya usalama wa mali na wengineo, je chadema wameshapata kibali cha "secured sphere of the deed"
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Siyo tu, this time. Everytime. Haki yetu haina this time.
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Umesema ukweli Pascal. Nchi hii tumekuwa kichekesho kwa kuigiza demokrasia na viongozi watawala kufanya umafia usio na aibu kwa wapinzani. Tutaona kama kweli mama anamaanisha maridhiano na kama hizo 4R zina maana yoyote au ni umbea tu.
 
Back
Top Bottom