tafiti then jadili
Senior Member
- Aug 24, 2006
- 123
- 21
Mzee Es said:The main thing is, ".....then the gun went off accidentally killing......", tuitoe hukumu kabla ya kesi,
Tafiti iachie mahkama iamue kama ni kweli hiii kesi ipo!
Haya kati yangu na wewe nani anaonekana kumtetea huyu mzee ambae hii ni wikiendi yake ya kwanza akiwa ndani pengine tangu baada ya uhuru?
tusiwachoshe watu na malumbano yako yasiyo na msingi.
I have to know when to quit kwa vile umeshawahi kusema unaishi ili ulumbane....
Naam narejea tena ijapokuwa huyu inasemwa ni mwanajeshi mstaafu taratibu za kimsingi kabisa ni kwamba you only use CHA MOTO wakati ukiwa katika hostile environment na pia ikiwa unataka kufanya self defence.
My heart goes to the familly ya wafiwa na kama kuna aliedhurika mwingine yeyote,
Habari za kwenye uhuru www.uhuru.info zinasema kwamba Ditopile aliondoka katika eneo la tukio lakini polisi walimkamata, kakamatwaje?